UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

Wewe ni mshamba kwelikweli. GPA haina uhusiano wowote na siasa. Si onawaona Ma-prof wengi wanaingia ulingoni wanachemka?

Kwani maprofesa walipata nao GPA kubwa kama yake?
Nyerere alikuwa hachukui vilaza ndio maana kina Jakaya wakatupwa huko Tabora wenzake wakabaki Ikulu
 
Anaongelea chuo kikuu alichosoma Seif we Pimbimaji
sio kila mtu anafahamu, ukisema pale, pale wapi chooni au?? tuliza mori arifu, swali dogo tu, unalia, angalia usije zeeka haraka kwa strees toka kwa watu usiowafahamu na hasahasa kwenye vitu ambavyo havina msingi kama hivi. tumia kichwa sio ma.kalio kufikiri.
 
BA ni kitu gani? Inaweza kuwa na maana nyingi vyuo tofauti eg Business Administration, Bachelor of Accounting, Bachelor of Arts. Jaribu kwa specific ndugu.

Political science and public administration
 
Wewe ni mshamba kwelikweli. GPA haina uhusiano wowote na siasa. Si onawaona Ma-prof wengi wanaingia ulingoni wanachemka?

Nawe sasa haya mahasira ya GPA ndogo. Unawezaje kusema maprofesa wakati mifano uliyonayo ni limited?
GPA ni ishara ya uwezo sawa na upana wa kifua ni ishara ya kuweza mizigo mikubwa. Ukishindwa hiyo ni kinyume na mategemeo tu!
 
Okay. Nimesikia kuna binti hivi majuzi alipata GPA ya 4.8 inagawa sikumbuki alisoma kozi gani.

Duh huyo haoleki maana ni shida nyingine duniani! Haya masomo mpaka upate first class lazima unalala library
 
Minaongezea hapo vip ya MBOWE?
Mbowe sasa anakujaje hapa? Una chuki binafsi naye maana........ All in alll ma-GPA and ma-degree , ma-books na ma-dictionary ni huko shuleni, uraiani ni how much you deliver to your needy society! Kama mnaweza ku-interchange patients for head and leg surgery, then GPAs are a curse!
 
Back
Top Bottom