UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

iseme hiyo GPA ni ngapi ili tujue kama imevunjwa ama la itakuwa ni vigumu kama haijavunjwa kama watu hawajui alipata GPA ya ngapi
 
Kila mtu mwenye kichwa cha kukariri hupata matokeo ya juu katika chuo kikuu Dar. Si kuelimika, ni kukariri tu! Ndio maana tunawashangaa sana maprofeseri wetu, kwani pamoja na kuonekana wasomi, IQ zao zinaonekana za kawaida saaaana.
 
Ni aibu sana mwenye GPA hiyo kukubali kuhongwa na LOWASSA kirahisi hivi, amewadhalilisha wasomi.
 
Pascal Ndege correction first ni 5.0 mpk 4.4, 4.3-3.8 upper second na kurudi nyuma...Thats how S.U.A wana grade na nahisi its universal kwa vyuo vya serikali apa bongo

Duh hata mimi nina first class but chuoni 4.4 imekula kwako ni sawa Na division 2 point 18 yani one point to division one
 
Last edited by a moderator:
Mbowe sasa anakujaje hapa? Una chuki binafsi naye maana........ All in alll ma-GPA and ma-degree , ma-books na ma-dictionary ni huko shuleni, uraiani ni how much you deliver to your needy society! Kama mnaweza ku-interchange patients for head and leg surgery, then GPAs are a curse!

ni kweli ndugu tunaye mwingine alikua anajisifu kweli eti yeye ni mchumi wa fast class ok tukaona isiwe shida tukampa unaibu wizara ya fedha matokeo ya hiyo mikitu inaitwa fast class ni dola kupanda kutoka 1800$ mpaka 2300$ sasa mimi nauliza hizo sijui fast class zinakuwa kichwani au zinaishia kwenye makaratasi?
 
unajua lkn maana ya disco au unaongea tu! kama ali disco alimalizaje sasa au alienda kusoma chuo gani mbadala!

wewe unatuuliza alisoma chuo gani mbadala? waulize wachina na huko maleshia watakujibu ndio maana anaitwa le profesa vasko da gama
 
kweli zero kichwani! uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo. hahaaa. angalia post yako. utajua kuwa haieleweki. ndo maana wamekuuliza gpa ipi aliyopata ambayo haijavunjwa kirekodi. umejibu kuwa alipata A. Is A a gpa.? I am real empty headed my friend. take time, think before you raise your tongue,
Babaake mbona kama wewe ndie usieeleweka zaidi?
Hasa hili 'Yai' lako duu!
Fulu matege baba.
Thamaani lakini,Thija tukana.
 
Back
Top Bottom