Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Hii ndio dhambi ya kudhani hapa JF ni jamvi la kujadili mambo negative tu!!!
Kwa hiyo kila mtoa hoja anajaribu kuleta lenye negative!!! angalia asilimia 75% ilivyopatikana.
1. Mwenyekiti, Katibu, Makamu wa Kwanza, Makamu wa Pili!
Data Sample =4 people,
sasa 3 are muislam, hence 3/4 x 100 = 75% conclusion CCM 75% ni waislamu.
Takwimu hizo, kila mtu anatumia atakavyo,,, bila kujali kwamba makamu wa pili wa CCM lazima awe Mzanzibar na Wanzanibar ni waislamu by >95%
Upuuzi Mtupu...
Kilitime,
Mimi nimekuwa napinga sana suala la udini hapa na utakumbuka ugomvi wangu na Mchambuzi kuhusu mgombea wa ccm kuwa mkristo.
The same standard imekuwa inatakiwa kutumika kwa wanaccm hapa ambao wamekuwa wanakiita chama cha CUF kama cha kidini na cha waislam. Ni juzi tu hapa wanasisiemu tena wameanza issue kuwa chama cha CHADEMA ni cha watu wa kaskazini na cha kikabila.
Hii generalization ilikuwa tamu kwenu wanaccm na hata wewe you never said a thing about it. Leo kwa sababu ni ccm ndio inasemwa then unaiita upuuzi.
Haijalishi formula gani imetumika, ukweli ni kwamba members wa CC na NEC ya ccm ni asilimia 75 au zaidi waislam. Kubishana kuhusu formula sio tatizo wala solution.
Issue iwe kwamba, udini iwe kwa CUF au CCM usitumike kugeneralize mambo. Mimi nauona huo ukweli kuwa viongozi wengi wa ccm sasa ni waislam lakini ugomvi wangu hauko dhidi ya dini zao au mambo yao ya kikubwa. Ugomvi wangu ni juu wa wizi na ufisadi. The same standard from you guys should be used wakati mnapotumia mbinu chafu dhidi ya upinzani!