Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Naona tumeishiwa nyimbo na miluzi.
Gamba la Nyoka is being objective. AS 4 the REV, Mhh, you better think twice.
Yeah...unyama unyama tu na undava undava tu. Ukikamata piga ua....who cares. Na wewe ukileta nyodo unafanyiwa vile vile....ndio karne ya 21 hiyo ebo!!
mtu huyu shalow naona anakuja na kuchungulia hapa, halafu anamchokonoa kada sijui kwa nini ! yaani he is used to it !
Ben,usiseme Kada tu hata wewe yawezekana umejisajili nick zaidi ya moja.Hapa wapo kibao tu wamejisajili majina zaidi ya moja.
je ni kosa kujisajili hivyo?
Hata moderators na may be Adm mwenyewe anaweza kuwa kajisajili zaidi ya mara moja
Rev. Kishoka,
Uncle nipo nawe, wewe mwanamme rijal haswa...
Enyi bandugu, jamani mahakama ya kadhi hai deal na vitu hivyo kabisa Ama ndio ktk kuponda kupaka na kunyanyambua!.
I think mnachukua njia mbovu sana kufikiria viongozi hao wana nia gani kwani mara nyingi mtu anayemshuiku mwenza (Kutembea nje) na kulaumu kila siku ni kwa sababu yeye mwenyewe malaya!...Inawezekana vipi mtu kujua kile anachofikiria mtu mwingine?...Au ndio njama za Bush kwa Saadam hizi?.. Yes CCM wabovu lakini mnapochukua njia hii wajomba tutakosa mwelekeo kabisa! JF itakuwa kijiwe cha Unazi...
Isije kuwa hili ndio lengo lenu kila mnapochukua madaraka maanake sasa Siasa zimekuwa dini baada ya kiongozi wenu Mtikila kukiri kuwa ameingia Siasa kueneza neno la Mungu. Hivi kweli statement hii angeitoa Muislaam sijui kama hapa pangekalika!
Je, mnafahamu kwamba kuna nchi nyingi za Kiislaam kama mnavyoziita - viongozi 100% waislaam, na wananchi wake 99% waislaam lakini hawafuati sheria ktk judicial system yao. Sidhani kama hili linawezekana ktk dini nyingineyo!..
Napenda kupinga huo unaodaiwa udini Ccm kuwa na asilimia 75. naomba nitoe majina ya waliochaguliwa NEC naanza na viti 20 vya bara ambalo no kundi la kifo.
1-Edward Lowassa 2-Andrew Chenge 3-Makamba 4-Membe 5- Jaka Mwambi-6- Kapuya 7-Kinana, 8- Gachuma 9-mwangi 10-mahanga makongoro 11-Sumaye 12-Komba, 13-kingunge 14-Lukuvi 15-John Chiligati 16-Amos Makala 17-profesa Wangwe 18-Profesa Mwakyusa na Jackson Msome bila kumsahau Mzee Wassira. hapo utaona waislam ni Kinana, Kapuya na Makamba kati ya watu 20 waislam ni watatu tu.
kundi la vijana ni zainab Kawawa, Mzindakaya,Nape Nauye, Jerry Slaa,Msafiri Ally,Beno Malisa, Sanga na lucy Mayenga hapo wislam ni Zainab Kawawa, Msafiri Ally na Lucy (Laila) Mayenga.
Kundi la UWT ni Mama Sitta,Diana Chilolo, Anne Malecela,Sofia Simba,Rehema Nchimbi, shamsa Mwangunga,DR.Asha Kigoda, DR.Pindi Chana na Zakia Meghji.
hapa waislam ni watatu ambao ni Zakia Meghji,dr.Asha Kigoda na Shamsa Mwangunga.
kundi la Wazazi kuna Stella Manyanya, dr.Zainab Gama, Zungu, Adam Malima, Richard Nyaulawa. hapa waislam ni watatu.
Wenyeviti wa mikoa wa bara 20 waislam ni ni nane tu.
Makatibu 20 wa bara waislam ni sita kati ya 20.
wenyeviti wa wilaya wakristu ni 80 na waislamu ni 47.
Makatibu wa wilaya wa ccm wakristu ni 86 na waislamu ni 43.
na mwenyekiti JK amewachagua Mkuchika-mkristu, John Chiligati- mkristu na Makamba- Muislam.
jamani hiyo asilimia 75 inatoka wapi? acheni majungu.
Mwafrika wa Kike. naomba kukuliza wakati DR. Gharib Bilal alipotaka kugombea urais wa Zanzibar na wazanzibar walimkubali akapitishwa vikao vyote. lakini kwa vile Bara alikuwa hakubaliki hakuweza kufika popote kwa nguvu za Bara.
tunaposema CCM tuna maana Tanania Bara na nimekuwekea takwimu zote kuwa watendaji wengi ni wakristu hilo lazima ukubali kama wenyeviti na makatibu wa wilaya waislam hawafiki nusu ya wakristu bado unasema chama cha waislam mimi sikuelewi.
turejee kipindi cha Mkapa kuwa rais yeye alikuwa mkristu kama mtendaji mkuu wa serikali na waziri mkuu mkristu.
mwenyekiti wa CCM alikuwa Mkapa- mkristu, makamu mwenyekiti malecela-mkristu, katibu mkuu alikuwa Mangula mkristu, katibu mwenezi- Jacksom Msome Mkristu, hadi kwenye kinyanganyiro cha kugombea urais fomu lazima ukabidhiwe na mkristu- Matson Chizi.
spika nae ni mkristu hakuna aliyesema CCM ni chama cha kikristu.
Mwafrika wa Kike usipindishe mada wajumbe wa Zanzibar hawatuhusu hawana athari yeyote. chama ni bara nao wanajua.
au muulize Dr. Salmin Amour atakwambia.
nipe watendaji wa chama Tanzania Bara dada yetu.
sipendi hata kuchagia headings kama hizi maana ni kama kuendeleza udini tuu