KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 93
Mwafrika wa Kike. naomba kukuliza wakati DR. Gharib Bilal alipotaka kugombea urais wa Zanzibar na wazanzibar walimkubali akapitishwa vikao vyote. lakini kwa vile Bara alikuwa hakubaliki hakuweza kufika popote kwa nguvu za Bara.
tunaposema CCM tuna maana Tanania Bara na nimekuwekea takwimu zote kuwa watendaji wengi ni wakristu hilo lazima ukubali kama wenyeviti na makatibu wa wilaya waislam hawafiki nusu ya wakristu bado unasema chama cha waislam mimi sikuelewi.
turejee kipindi cha Mkapa kuwa rais yeye alikuwa mkristu kama mtendaji mkuu wa serikali na waziri mkuu mkristu.
mwenyekiti wa CCM alikuwa Mkapa- mkristu, makamu mwenyekiti malecela-mkristu, katibu mkuu alikuwa Mangula mkristu, katibu mwenezi- Jacksom Msome Mkristu, hadi kwenye kinyanganyiro cha kugombea urais fomu lazima ukabidhiwe na mkristu- Matson Chizi.
spika nae ni mkristu hakuna aliyesema CCM ni chama cha kikristu.
Mwafrika wa Kike usipindishe mada wajumbe wa Zanzibar hawatuhusu hawana athari yeyote. chama ni bara nao wanajua.
au muulize Dr. Salmin Amour atakwambia.
nipe watendaji wa chama Tanzania Bara dada yetu.
Mswahili,
hapa watu tupo kufidiana nyuzi kama hizi, na watu wanapokataa ukweli that just shows how UPSET they are, maana hata kama wakiambiwa "mmechelewa", wao still watataka kusema "tumewahi", na nini solusheni yao, ni kupindisha mada !
mwenye macho haambiwi ona, mwenye akili atajua tu nini Mswahili anachosema ! NI FACTS TUPU !