Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Na kweli mjadala huu ufungwe unaleta kichefuchefu sana. Atakayeufungua na laana iwe juu yake.
Ikurudie kwa Jina la Yesu. Amina.
Na kweli mjadala huu ufungwe unaleta kichefuchefu sana. Atakayeufungua na laana iwe juu yake.
I agree, close it!
Mgaya, hawa CCM siku zote hutumia ujanja wao na umbumbumbu wa Wtz kwa maslahi yao kisiasa; ni hao hao ndiyo huanzisha propaganda chafu dhidi ya wapinzani wao kisiasa kwa kuwaita CUF ni chama cha kidini na CHADEMA chama cha kifamilia!
Nijuavyo mimi siku zote composition ya NEC ya CCM na CC yao wengi wao ni Waislam kwa maana ya kuwa NEC ya CCM huwa na idadi sawa ya wajumbe toka pande zote za Muungano. Mara nyingi utakuta upande wa Bara Wakristo wanazidi kidogo au inakuwa 50:50 lakini kwa sababu nusu ya Wajumbe wengine hutoka Zanzibar basi kule utakuta 99% ya wajumbe niu Waislam na hapo lazima NEC ya CCM inakuwa na Waislam wengi vivyo hivyo CC.
Kwa miaka mingi hilo halikuwa tatizo hadi pale Mwalimu Nyerere alipofariki ndipo likanza kuw issue maana hatuna tena mtu wa kukemea upuuzi huo. Sasa hili suala la kazi linapata nguvu kwa kuwa Mwalimu hayupo na Serikali kwa influence ya Waislamu wengi kuwepmo katika NEC na CC ya CCM usishangae hayo unayosema yakawa kweli maana hili suala halikuwahata la kujadiliwa, lingekemewa mapema lakini kwa kuwa wanahisi umaarufu wao (CCM) umepungua wemelazimika kuweka hilo katika Ilani kwa ahadi ya kulitafutioa ufumbuzi suala hilo na ukweli ni kuwa hawawezi kulipatia ufumbuzi sahihi hadi pale watakaporuhusu Mahkama ya Kadhi ianzishwe.
Kwa maoni yangu, madai hayo yanatiwa nguvu na udhaifu uliomo katika Serikali hii ya CCM.
Who cares if 75% of leadership belongs to Masjid? the question is not their religion but their organizational skills, efficiency, capability to lead and standing tall to deliver.
Dini ni hisia and as long as people continue to feel inferior, they will always be inferior in their minds and actions.
Wanaolalamika hata mkiwapa viti vyote vya Bunge kamwe hawataweza kuwa na maendeleo bali ni kubadilisha mbinu za kisisasa na kutumia udini badala ya kuleta maendeleo ya kweli kuondoa Ujinga, Umasikini na Maradhi!
Do not worry, let them be 100%