FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Mugongo Mugongo yupo kwa jina lingine. Kwani ulifikiri kapotea?
Murangira yupo wapi? jibu yupo.
Chief Ihunyo yupo wapi? jibu yupo.
Jamani wananchi, kwanza naomba mtuletee maandiko tuliyosema KHAF ni chama cha kidini, isije ikwa maneno ya mtaani mnayaleta hapa!
Kitila umenichekesha kweli, Kama kweli CCM imemteua Kada (utani km ulivyosema) kuwa msemaji wao kwenye NET, basi ningemshauri Tendwa akifutilie mbali maana kitakuwa kimekosa dira na mwelekeo!
Murangira yupo wapi? jibu yupo.
Chief Ihunyo yupo wapi? jibu yupo.
Jamani wananchi, kwanza naomba mtuletee maandiko tuliyosema KHAF ni chama cha kidini, isije ikwa maneno ya mtaani mnayaleta hapa!
Kitila umenichekesha kweli, Kama kweli CCM imemteua Kada (utani km ulivyosema) kuwa msemaji wao kwenye NET, basi ningemshauri Tendwa akifutilie mbali maana kitakuwa kimekosa dira na mwelekeo!