RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,578
Mungu ninayemfahamu ni Mungu wa Haki, Utakatifu na mwenye hasira kali Kwa waovu na ameweka siku Moja ambayo atawahukumu waovu wote Kwa Matendo Yao. Kwa Mungu huyu, hakuna dhambi ndogo Wala kubwa, wote ni waasi.Huo upendo wa Mungu anaye acha mabaya yatokee, Uovu utendeke watu wake wafe na majanga ya asili kama mafuriko, tetemeko la ardhi, vimbunga n.k
Ni Mungu gani huyo?
Kuhusu ulimwengu kuwa na matatizo sio kosa la Mungu, ni makosa yetu wenyewe na pia Mungu hajihusishi na Serikali za Dunia hii, zinatawaliwa na negative forces, ila mwisho unakuja.