Umeona nini?Dah nmeenda kumgoogle mammon aisee ni hatar
Majibu ya uoga! Wee umewahi kufa?Siku ukifa utajua kua mungu ni nani hasa...mkuu na utajua hata ule utajiri uliokua ukiuabudu hauna maana yeyote baada ya kufa
🤣🤣Mi naona kama wewe ndo mchawi iv..
Na pisi kali je?Umeitwa duniani kuja kumtumikia yeye tu, hizo Mali unazozililia Ni uroho tu
Ngoja na mie Nika googleDah nmeenda kumgoogle mammon aisee ni hatar
[emoji23][emoji23][emoji23] walokole watapata shida sanaUSIINGILIE UGOMVI WA MUNGU NA SHETANI ATA HAUJUI CHANZO CHAO ILIKUWA NI NINI WEW MWANADAMU WA JUZI TU, VITA VYAO HAVIKUHUSU,
IPO SIKU WAKIJA KUPATANA SIJUI UTASIMAMA UPANDE UPI
Nicheki PM tafadhaliMm mungu namuomba ila uchawi usiohusisha kuabudu miungu.kutoa kafara au kumumiza mwingine sifanyi.
Ila niashindwe hata kutambika kwa babu zangu?? Nishindwe toa kafara ya wanyama kwenye kuita mazao?? Mtoto kachizika niache kwenda kwenye kuagua ? Na kunywa dawa za miti na kuoga chumvi tu .mfano kusafisha mikosi unaweka glas za maji safi ya Bomba au kisima kila kona ya nyumba Kisha unaomba yanakaa usiku 2 Kisha unaenda yamwaga mbal hapo nimememkosea nn muumba
ukristu=ukristoMimi niligundua Ukristu ni usanii nikaacha, nimejikita kwenye imani yangu ya asili.
Mungu atakuokoa na utamtunikiaHivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.
Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?
Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?
Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?
Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?
Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?
Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?
Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu
Jifunze kuishi kwa technique.
Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Kwa imani yangu mimi Muislam kifo,vita,khofu,maradhi,njaa mitetemeko ya ardhi na Majngaa mengine yote hayo ni mitihani ya Mwenyeezi Mungu aliyotupa sisi viumbe wake tunachotakiwa tusubiri kwa hiyo mitihani na turejee kwake muumba tulete toba juu makosa yetu tunayo mkosea Mungu atatusamehe na kutondolea hayo Mabalaa yote.Usifanye attack kwa mtoa mada, JIBU HOJA.
Na wale watoto wachanga na Mifugo wanaokufa kwenye Majanga, NAO WAMEPEWA MITIHANI?
#YNWA
Kwa imani yangu mimi Muislam kifo,vita,khofu,maradhi,njaa mitetemeko ya ardhi na Majngaa mengine yote hayo ni mitihani ya Mwenyeezi Mungu aliyotupa sisi viumbe wake tunachotakiwa tusubiri kwa hiyo mitihani na turejee kwake muumba tulete toba juu makosa yetu tunayo mkosea Mungu atatusamehe na kutondolea hayo Mabalaa yote.
Qur'an Sura Al-Baqara 2: 155. Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wabashirie wanao subiri,
156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea
157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka
Tafsiri yake . 155. Subira ni ngao na silaha ya Muumini ambayo kwayo hushindia kila shida na mashaka. Na nyinyi zitakuja kupateni shida nyingi. Tutakujaribuni na kukufanyieni mitihani kwa vitisho vya maadui, kwa njaa, na uchache wa vifaa, na kupungukiwa mali, na watu kufa, na kupotea mazao. Na hapana la kukulindeni katika mtihani huu mkali ila Subira. Basi Ewe Nabii! Wape bishara nzuri wanao subiri kwa moyo na ulimi
156. Wale ambao kwamba yanapo wateremkia machungu ya kuwaumiza wanaamini ya kuwa hakika kheri yote na shari inatokana na mwenyewe Mwenyezi Mungu, na ya kwamba amri yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hao husema: Sisi ni milki ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, na sisi ni wenye kurejea kwake Yeye. Sisi hatuna letu jambo lolote. Na Yeye ni mwenye kustahiki kushukuriwa kwa anacho toa, na juu yetu kusubiri wakati wa kujaribiwa, na kwake Yeye ndiyo zipo thawabu na malipo.
157. Basi hao wenye kusubiri, wenye kumuamini Mwenyezi Mungu, wanapewa bishara njema kuwa watapata msamaha na ihsani ya Mwenyezi Mungu, na wao ndio wenye kuongoka njia ya kheri na uwongozi mwema.