Mkuu wewe unamuabudu Mungu yupi? Au huamini kwenye Mungu huyu wa Israel unaamini kwenye mababu? Je, Mungu unayemuabudu anasikia sala zako na kukupa mahitaji yako umuombayo? Kanuni zake ni zipi?[emoji23][emoji23]Hamna mkuu.
Mleta mada hajibiwi vyema, mme kaa kumtisha tu nahuyo mungu wenu
Na vimifano vyenu vya ajabu ajabu.
Ndio sababu ya Mimi kuketi upande huu ili mjue haogopwi huyo baba yenu asiye na mama.
Hupewa na nani?utajiri ha utafutwi bali mtu hupewa atafutae utajiri huisjia kuuwa watu
Ili kusudi la MUNGU la KUCHAGUA lisimame.....SAWA, KWAIYO APO DHAMBI AMEIPATA NANI, MUNGU AU FARAO.
Kwanini umeji ita baraka?😂😂Hamna mkuu.
Mleta mada hajibiwi vyema, mme kaa kumtisha tu nahuyo mungu wenu
Na vimifano vyenu vya ajabu ajabu.
Ndio sababu ya Mimi kuketi upande huu ili mjue haogopwi huyo baba yenu asiye na mama.
Uki ingia darasani kubukua na kusoma Kuna nadharia tatu za umaskini.....Uzi wako naunganisha na wazo langu ninaloliamini kuwa "dini ni umasikini".
Hapa umepiga siasa tuu hamna kitu.Hata wewe ukikaa vizur naamin hujajua ulichoandika hapaShida hujui purposes ya wewe kuweko duniani, laiti ukija kujua huta kuwa na akili na maono uliyonayo sasa. Cha maana saiz nikupe Pole tu.
Nitajie Binadamu yeyote mwenye uwezo wa kulipia thamani ya pumzi (uhai) aliyonayo tangu alipozaliwa, anavyoishi hivi sasa na hata miaka yake baadaye ili nitambue kuwa kuna Matajiri duniani.Masikini
Sasa kuna faida gani mkuu kuishi duniani masikin wakat ma role model wa kwenye maandika walikua madoninwa kutupwaa walikua na mali hatar na wako heaven na kwenda mbinguni kwenyewe unaweza usiende ukiwa masikin maana masikin ndio tunaongoza kwa makasiriko na roho mbaya na wivu juuShetani ndiye mtawala wa ulimwengu huu na ndiye chanzo cha mambo yote mabaya.
Ni maskini duniani ila kwa Yehova sisi ni matajiri.
Hazina zetu tunaweka mbinguni huko mchwa, nondo hawawezi kiziharibu. Hata wezi hawawezi kutuibia...
Utakua umepungukiwa niulize kivip?Kanuni na viwango vyake vipo kutulinda.
Hata tusipomkuta bado hatutokuwa tumepungukiwa na chochote.
Mkuu mbona unajishitumia na kuogopa kuhusu MUNGU wa Israel.....mmedai MUNGU wa israel ,na MUNGU wa wa frika ni yupi? mbona MUNGU aliye abudiwa na mababu zet aliwajibu haraka kuliko MUNGU huyu wa israel,kama mvua zilinyesha kwa wakati,matasa walizaa,ushoga haukutambulika, je tulifanya makosa kumuacha MUNGU wa wa africa na kumfuata MUNGU wa israel? maana huyo ni kwa ajili ya waisrael tu.jst why we call MUNGU wa israel. samahan MUNGU kama nimekufuru, nawasilisha
Mungu anajitetea, hatumtetei, shetani hakuumba chochote ktk Dunia hii, Mali na vyote vijazavyo ni Mali ya Mungu,Kwanini usitoke FACTS.
Kumtetea Mungu wako huwezi?
#YNWA
Nakubaliana na weweUtajiri au umasikini ni ujanja wako tu, haihusiani na Mungu