Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Nakuuliza swali, je ukitengeneza kitu kikafanya kazi usiyoitaka si unaivunja?
Kwanini umpangie Mungu Cha kufanya Kwa viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
apo itakuwa ipo wazi kwamba utengenezaji wako ni batili, haujiamini kwa ufundi wako, MUNGU mkamilifu anawezaje kumuumba mwanaadamu alafu amkosee alaf ambomoe tena.

Tunamashaka na ufundi wake
 
Asante. Key word ni mantiki. Kwa kweli ukifuata mantiki kubishana nami kwenye hizi mada za Mungu/dini/uchawi/supernatural powers ni vigumu.

Maana, hizi si hoja zangu tu, ni hoja za siku nyingi zenye mantiki yenye kina kirefu na historia kubwa.

Tatizo linakuja watu wengi, mara nyingi, hawajui au wanakataa mantiki, wakifikiri kwamba, kwa kukataa mantiki wanaweza kupinga hoja zangu kirahisi zaidi.

Huku wakishindwa kuelewa kwamba hoja zangu zina msingi thabiti sana, kiasi kwamba, wakikubali mantiki zinashinda, kwa sababu zimejengwa katika mantiki, lakini pia, wakikataa mantiki, wanajiondolea hata wao wenyewe hoja za kunipinga, kwa sababu, ili kupinga hoja kikamilifu, inabidi utumie mantiki.

Tatizo ni kwamba, watu wengi hawawezi au hawataki kufikiri kwa kina, wanaridhika na kufikiri kijuujuu, wanakariri tu na kwenda na hadithi za mapokeo, wanajiridhisha kwa wanasaikolojia wanachokiita "cognitive dissonance", wanaishia kwenye imani tu, ambayo haina haja ya kupasi mitihani ya uthibitisho, wengine wananinyanyapaa kwa ad hominem attacks ( kumshambulia mtu yeye binafsi, badala ya kujibu hoja zake) kwa sababu nasema wasichopenda tu.

Wengine wanabishana kwa "identity politics" tu.Mtu anatetea dini yake, imani yake, kwa sababu ni yake tu.Ni kama ule ushabiki wa mpira ambao mtu anaitetea timu yake, hata kama timu mbovu anaitetea tu, kwa sababu ni yake.

Ila, nikipata hata mtu mmoja anayeweza kusema kama wewe, kwamba, zamani nilikuwa sikuelewi, lakini sasa nakuelewa, napata faraja sana, kwamba, the situation is not that hopeless, kuna watu angalau wachache wanafunguka macho kwa majadiliano tunayofanya hapa JF.

Shukurani nyingi sana kwa kufuatilia kwa makini mazungumzo haya ambayo si mepesi na mara nyingine yanaweza kukera watu.
So if there is no God
Where did natural and physical laws that governs the universe came from?
Because within those laws, there are mathematics phenomenon inside it, and it has been proven over and over again, it's just like jamiiforums, created by someone who coded this website with a mathematical algorithms supporting this website formation, so then where did the laws come from?
Don't say it's nature, for we will ask you, who is nature?
 
apo itakuwa ipo wazi kwamba utengenezaji wako ni batili, haujiamini kwa ufundi wako, MUNGU mkamilifu anawezaje kumuumba mwanaadamu alafu amkosee alaf ambomoe tena.

Tunamashaka na ufundi wake
Me as a mere being created by a supernatural being cannot sit here and fight for this supernatural being, This Creator of all universe knows how to fight for himself, so sooner or letter you will realize it is foolish to say there is no Maker of the Universe.
 
Mnatoaga wapi huu ujasiri jamani?
Kuna atheist anaitwa David Wood amekuwa atheist kwa muda mrefu na kuwapinga theist ila baadaye akaona hizi beliefs ni za kijinga akampa maisha yake Yesu Kristo, sasa hivi yeye ana convert atheists na Muslims wale washika dini na wasomi wakubwa wa Holy Qur'an kama Nabeel Qureshi (Mungu ampumzishe kwa amani) na amefanikiwa sana.
David Wood aliona baadaye ni ujinga kuamini kuwa Mungu hayupo.
 
Al-Baqarah 2:268

ٱلشَّيْطَٰنُ يَعِدُكُمُ ٱلْفَقْرَ وَيَأْمُرُكُم بِٱلْفَحْشَآءِۖ وَٱللَّهُ يَعِدُكُم مَّغْفِرَةً مِّنْهُ وَفَضْلًاۗ وَٱللَّهُ وَٰسِعٌ عَلِيمٌ

Shet'ani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo machafu. Na Mwenyezi Mungu anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa, Mwenye kujua.
 
Saba' 34:20

وَلَقَدْ صَدَّقَ عَلَيْهِمْ إِبْلِيسُ ظَنَّهُۥ فَٱتَّبَعُوهُ إِلَّا فَرِيقًا مِّنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ


Na bila ya shaka Iblisi alihakikisha ile dhana yake juu yao. Nao walimfuata, isipo kuwa kundi la Waumini.


Saba' 34:21

وَمَا كَانَ لَهُۥ عَلَيْهِم مِّن سُلْطَٰنٍ إِلَّا لِنَعْلَمَ مَن يُؤْمِنُ بِٱلْءَاخِرَةِ مِمَّنْ هُوَ مِنْهَا فِى شَكٍّۗ وَرَبُّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَىْءٍ حَفِيظٌ


Na yeye hakuwa na mamlaka yoyote juu yao, ila kwa sababu ya kuwajaribu tujue nani mwenye kuamini Akhera, na nani anaye tilia shaka. Na Mola wako Mlezi ni Mwenye kuhifadhi kila kitu.
 
Quran
Saba' 34:22

قُلِ ٱدْعُوا۟ ٱلَّذِينَ زَعَمْتُم مِّن دُونِ ٱللَّهِۖ لَا يَمْلِكُونَ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَلَا فِى ٱلْأَرْضِ وَمَا لَهُمْ فِيهِمَا مِن شِرْكٍ وَمَا لَهُۥ مِنْهُم مِّن ظَهِيرٍ


Sema: Waite mnao wadaia kuwa ni badala ya Mwenyezi Mungu. Hawamiliki hata uzito wa chembe hichi katika mbingu wala ardhi. Wala hawana ushirika wowote humo. Wala Yeye hana msaidizi miongoni mwao.
 
Hahahaha hehehhehhe hohoho
Yehova[emoji23]
Una uhakika gani kama utamkuta Mungu huko mbinguni, kuna mtu amewai kurudi akakuambia??
Toa fact acha utoto
Vp ukifika huko ukakutana na yale yote ambayo ulikuwa ukiyadhihaki?
 
Kuna atheist anaitwa David Wood amekuwa atheist kwa muda mrefu na kuwapinga theist ila baadaye akaona hizi beliefs ni za kijinga akampa maisha yake Yesu Kristo, sasa hivi yeye ana convert atheists na Muslims wale washika dini na wasomi wakubwa wa Holy Qur'an kama Nabeel Qureshi (Mungu ampumzishe kwa amani) na amefanikiwa sana.
David Wood aliona baadaye ni ujinga kuamini kuwa Mungu hayupo.
Yaani huwa sielewi yaani ndio mtu kazaliwa bila kulelewa kwenye Imani au ndio kaamua mwenyewe kuwa reasonable
 
Nakuuliza swali, je ukitengeneza kitu kikafanya kazi usiyoitaka si unaivunja?
Kwanini umpangie Mungu Cha kufanya Kwa viumbe aliowaumba yeye mwenyewe?
Hatumpangii Mungu cha kufanya, tunasema habari za uwepo wake zinajipinga zenyewe kwa namna inayoonesha kuna mushkeli mkubwa sana, huenda hayupo kabisa.

Mfano, inakuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote apate hasira kwa sababu viumbe aliowaumba hawajafanya anavyotaka yeye?

Yeye kama Mungu mjuzi wa yote hakujua kwamba hilo litatokea?

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote anawezaje kupata hasira?

Hasira ni hisia za yule asiye na control, ambaye kapata matokeo asiyoyapenda, hakuyategemea, hakuyajua, sasa huyo Mungu anayejua kila kitu, anayeweza kila kitu, mwenye upendo wote, anaanzaje kupata hasira?

Tena anapata hasira na kuteketeza watu karibu dunia nzima.

Hapo huoni kwamba huyu Mungu katungwa na watu tu, tena kapewa mpaka tabia za watu, anakasirika, anafurahi, ana wivu, ana upendeleo.

Huoni huyu Mungu katungwa na watu tu, na kapewa tabia za watu?
 
Yaani huwa sielewi yaani ndio mtu kazaliwa bila kulelewa kwenye Imani au ndio kaamua mwenyewe kuwa reasonable
Kaamua mwenyewe, wengi huwaga hivyo ikiwa walijaribu kuwa na mawasiliano na Mungu bila majibu, so mawazo yanakuja kuwa inawezekana kuwa Mungu hayupo.
I think inakuwaga hivi.
Au sometimes kitu akitakacho kwenye maisha asifanikishe
 
Hatumpangi Mungu cha kufanya, tunasema habari za uwepo wake zinajipinga zenyewe kwa namna inayoonesha kuna mushkeli mkubwa sana, huenda hayupo kabisa.

Mfano, inakuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote apate hasira kwa sababu viumbe aliowaumba hawajafanya anavyotaka yeye?

Yeye kama Mungu mjuzi wa yote hakujua kwamba hilo litatokea?

Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote anawezaje kupata hasira?

Hasira ni hisia za yule asiye na control, ambaye kapata matokeo asiyoyapenda, hakuyategemea, hakuyajua, sasa huyo Mungu anayejua kila kitu, anayeweza kila kitu, mwenye upendo wote, anaanzaje kupata hasira?

Tena anapata hasira na kuteketeza watu karibu dunia nzima.

Hapo huoni kwamba huyu Mungu katungwa na watu tu, tena kapea mpaka tabia za watu, anakasirika, anafurahi, ana wivu, ana upendeleo.

Huoni huyu Mungu katungwa na watu tu, na kapewa tabia za watu?
Ok naomba ujibu swali langu nililokuquote hapo juu.
 
suala la Mungu linatuKomfyuzi sana ukicheki maafa yanayotokea yanasomba adi vitoto vichanga kwa maumivu makali, wazee wasio na nguvu adi mifugo adi unajiuliza kama yupo si angesimamia aya ameshindwa nini.

ALL IN ALL INABIDI TU TUAMINI UWEPO WAKE MAANA UKITAZAMA MAMBO YA UUMBAJI WA VITU NA WATU BASI INATUBID TU TUAMINI KILAZIMA ATA KAMA UWA HAJITOKEZI WAKATI WA MAAFA, AMEN.
Labda ufahamu tu kuwa Mungu ndiye mfalme na mmiliki pekee wa ulimwengu (mbingu na ardhi).

Ukifahamu kuwa kila kitu humu duniani kipo katika milki yake utajua pia kuwa Mungu hapangiwi wala haulizwi bali hufanya yale atakayo kutokana na elimu na hekima zake.

Mungu ndiye tajiri na mmiliki wa hazina zote za mbinguni na ardhini .Hivyo humpa amtakae na humnyima amtakae kama wewe kiumbe ambae ukiwa na pesa yako mfukoni hakuna akupangiae matumizi ya mali zako,unaweza ukampa pesa umtakae na ikamnyima umtakae kutokana tu na sababu na uamuzi wako.
 
Ok naomba ujibu swali langu nililokuquote hapo juu.
Umeuliza.

"Nakuuliza swali, je ukitengeneza kitu kikafanya kazi usiyoitaka si unaivunja?"

Mimi sina uwezo wote, sina ujuzi wote, sina upendo wote.

Hivyo, naweza kutengeneza kitu kwa nia ya kunipa matokeo A, kikawa hakinipi matokeo hayo, nikaghairi kuendelea nacho, nikakivunja.

Sina ujuzi wa yote, kufanya hilo si ajabu. Naweza kutenegenza kitu, nikaona hakijanipa matkeo niliyotaka, nikaghairi.

Sasa,

Mungu mnayemsema mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, inakuwaje atengeneze kitu, halafu hicho kitu kimpe matokeo asiyoyataka, halafu akakasirika, akaghairi kwa hasira kama hakujua hilo linakuja?

Huoni hapo kuna contradiction?

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, alitakiwa ajue yatakayotokea kabla hayajatokea, sasa kwa nini anaghairi kwa hasira matokeo ambayo alishayajua yatatokea?
 
Asante. Key word ni mantiki. Kwa kweli ukifuata mantiki kubishana nami kwenye hizi mada za Mungu/dini/uchawi/supernatural powers ni vigumu.

Maana, hizi si hoja zangu tu, ni hoja za siku nyingi zenye mantiki yenye kina kirefu na historia kubwa.

Tatizo linakuja watu wengi, mara nyingi, hawajui au wanakataa mantiki, wakifikiri kwamba, kwa kukataa mantiki wanaweza kupinga hoja zangu kirahisi zaidi.

Huku wakishindwa kuelewa kwamba hoja zangu zina msingi thabiti sana, kiasi kwamba, wakikubali mantiki zinashinda, kwa sababu zimejengwa katika mantiki, lakini pia, wakikataa mantiki, wanajiondolea hata wao wenyewe hoja za kunipinga, kwa sababu, ili kupinga hoja kikamilifu, inabidi utumie mantiki.

Tatizo ni kwamba, watu wengi hawawezi au hawataki kufikiri kwa kina, wanaridhika na kufikiri kijuujuu, wanakariri tu na kwenda na hadithi za mapokeo, wanajiridhisha kwa wanasaikolojia wanachokiita "cognitive dissonance", wanaishia kwenye imani tu, ambayo haina haja ya kupasi mitihani ya uthibitisho, wengine wananinyanyapaa kwa ad hominem attacks ( kumshambulia mtu yeye binafsi, badala ya kujibu hoja zake) kwa sababu nasema wasichopenda tu.

Wengine wanabishana kwa "identity politics" tu.Mtu anatetea dini yake, imani yake, kwa sababu ni yake tu.Ni kama ule ushabiki wa mpira ambao mtu anaitetea timu yake, hata kama timu mbovu anaitetea tu, kwa sababu ni yake.

Ila, nikipata hata mtu mmoja anayeweza kusema kama wewe, kwamba, zamani nilikuwa sikuelewi, lakini sasa nakuelewa, napata faraja sana, kwamba, the situation is not that hopeless, kuna watu angalau wachache wanafunguka macho kwa majadiliano tunayofanya hapa JF.

Shukurani nyingi sana kwa kufuatilia kwa makini mazungumzo haya ambayo si mepesi na mara nyingine yanaweza kukera watu.
Ukiona sehemu nimekugongea thanks ujuwe namaanisha, na nikikugongea kicheko ni kweli umenichekesha.

Mimi button kwangu ni useful hupati like, thanks or whatever ya kinafki kutoka kwangu.

Kwahiyo consider ukiona thanks kutoka kwangu maana yake hiyo post ya mtu nimeielewa, Mimi siclick tu kujifurahisha au kufurahisha wengine.
 
So if there is no God
Where did natural and physical laws that governs the universe came from?
Because within those laws, there are mathematics phenomenon inside it, and it has been proven over and over again, it's just like jamiiforums, created by someone who coded this website with a mathematical algorithms supporting this website formation, so then where did the laws come from?
Don't say it's nature, for we will ask you, who is nature?
Kiranga swali langu ni hili
 
Ukiona sehemu nimekugongea thanks ujuwe namaanisha, na nikikugongea kicheko ni kweli umenichekesha.

Mimi button kwangu ni useful hupati like, thanks or whatever ya kinafki kutoka kwangu.

Kwahiyo consider ukiona thanks kutoka kwangu maana yake hiyo post ya mtu nimeielewa, Mimi siclick tu kujifurahisha au kufurahisha wengine.
Much appreciated.

You are a gentleman and a scholar.
 
Umeuliza.

"Nakuuliza swali, je ukitengeneza kitu kikafanya kazi usiyoitaka si unaivunja?"

Mimi sina uwezo wote, sina ujuzi wote, sina upendo wote.

Hivyo, naweza kutengeneza kitu kwa nia ya kunipa matokeo A, kikawa hakinipi matokeo hayo, nikaghairi kuendelea nacho, nikakivunja.

Sina ujuzi wa yote, kufanya hilo si ajabu. Naweza kutenegenza kitu, nikaona hakijanipa matkeo niliyotaka, nikaghairi.

Sasa,

Mungu mnayemsema mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, inakuwaje atengeneze kitu, halafu hicho kitu kimpe matokeo asiyoyataka, halafu akakasirika, akaghairi kwa hasira kama hakujua hilo linakuja?

Huoni hapo kuna contradiction?

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, alitakiwa ajue yatakayotokea kabla hayajatokea, sasa kwa nini anaghairi kwa hasira matokeo ambayo alishayajua yatatokea?
Mungu aliweka Kanuni katika kila jambo.
Pili Mungu alimuumba mwanadamu akiwa na mawazo chaguzi, huku akimuonya kuwa akienda against na yeye Kuna matokeo hasi.
Kwanini alifanya hivyo?
Kwa kuwa yeye ndo aliumba na ndo mwenye maamuzi.
Tatu hatujui mpaka sasa Siri za Mungu huyu so hakuna haja ya kutengeneza hoja wakati yeye hajataja kufungua sababu ya mambo yote haya.
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
🤣🤣🤣 Mkuu naona umefikia hatua ya mwisho ili Ufe
 
Back
Top Bottom