Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Mhhh. Mi nadhani ungelianza na kujishangaa kwanza ww mwenyewe unayemkandia hivi halafu bado Mungu huyo huyo anakuwezesha kuendelea kuvuta hewa yake bure na unaendelea kudunda.
Kama unaamini kwamba Mungu yupo, basi kwa hoja yako hiyo mwache Mungu aitwe Mungu. La; kama hauamini uwepo wake, basi usijishughulishe na mambo yake we achana naye kafanye shughuli zako - Hudaiwi.
 
Umasikini unatokana na Mazingira unayoishi na namna wazazi wako walivyojiandaa kukuleta Duniani ,

Swala la Mafanikio ni kanuni Wala sio la kiroho Mungu ubariki Kazi ya mikono ya Binadamu .

Nadharia za kutumia uchawi au kuamini umasikini wako chanzo ni uchawi Basi tatizo linaweza kuwa kwako Mkuu na sio Mungu Tena


Mbona mtu masikini akienda ulaya anafanya Kazi na anatoboa vizuri na kumiliki majumba na Magari so why Mwanzo kufanikiwa Katika Ardhi ya nyumbani.

Niseme hizi nchi zetu zimejaa umasikini wa kila Aina kuanzia fikra na kila kitu so ni ngumu mtu kutoboa .

Mwaka 2015 Kuna Jamaa alikuwa bodaboda akawa na mikakati mirefu ya kutunza hell so mwaka 2022 kanunua tax gari anafanya Uber huyu na yeye utasema ametumia uchawi

Mfano wewe Dr wa Kaliua kijana wa maso unasoma uchumi na unajua huna connection na ajira ni za shida hivi tuseme ukikaa benchi jobless miaka 10 utasema Kuna uchawi hapo?

Mimi naamini mtu ambaye kalelewa vizuri na kakuta wazazi au ndugu zako wanamsaport vizuri na ana nidhamu ya pesa na kutanguliza malengo Mbele ,Basi naamini hata akiuza kuni Huwezo wake wa kutoboa ni Mkubwa Sana all we need is to keep focus and to bealive in God the Father of universe.
 
Umasikini unatokana na Mazingira unayoishi na namna wazazi wako walivyojiandaa kukuleta Duniani ,

Swala la Mafanikio ni kanuni Wala sio la kiroho Mungu ubariki Kazi ya mikono ya Binadamu .

Nadharia za kutumia uchawi au kuamini umasikini wako chanzo ni uchawi Basi tatizo linaweza kuwa kwako Mkuu na sio Mungu Tena


Mbona mtu masikini akienda ulaya anafanya Kazi na anatoboa vizuri na kumiliki majumba na Magari so why Mwanzo kufanikiwa Katika Ardhi ya nyumbani.

Niseme hizi nchi zetu zimejaa umasikini wa kila Aina kuanzia fikra na kila kitu so ni ngumu mtu kutoboa .

Mwaka 2015 Kuna Jamaa alikuwa bodaboda akawa na mikakati mirefu ya kutunza hell so mwaka 2022 kanunua tax gari anafanya Uber huyu na yeye utasema ametumia uchawi

Mfano wewe Dr wa Kaliua kijana wa maso unasoma uchumi na unajua huna connection na ajira ni za shida hivi tuseme ukikaa benchi jobless miaka 10 utasema Kuna uchawi hapo?

Mimi naamini mtu ambaye kalelewa vizuri na kakuta wazazi au ndugu zako wanamsaport vizuri na ana nidhamu ya pesa na kutanguliza malengo Mbele ,Basi naamini hata akiuza kuni Huwezo wake wa kutoboa ni Mkubwa Sana all we need is to keep focus and to bealive in God the Father of universe.
sasa kununua tax ndo utajiri?
 
Ninavyoona hakuna anaemwendekeza Mungu, ni FIX tu!! Kama anasali bila fix ujue ni masikini wa kutupwa.
 
Binafsi naamini Mungu yupo tena sana tuu LAKINI kitu ambacho nimekikataa na huwa nakichukia na kumkasrikia Mungu Ni suala la mimi kuishi kifala fala kipumbavu kimasikini kisa tu dini .Hicho kitu nimemwambia Mungu SIKITAKI. Sasa heshima ya Mungu iko wap kama sis watoto wake tunakua masikin hohe hahe??

Mimi kama baba wa kibinadam siwez kubali watoto wangu wa kuwazaa wavae kishenzi..wale kimaiskin ..wakose matibabu bora wakiugua WAKATI UWEZO NA MALI NINAZO.

watoto wangu hali zao zina reflect status ya mimi baba yao.
Sasa kama mimi tu nawaonea huruma wanangu licha ya udhaifu wangu je HAIPASWI KUWA ZAID KWA MUNGU MWENYE UWEZO WOTE????
Upo sahihi kabisa. Watu wanafiki kweli. Yaani wanaogopa kumuomba Mungu utajiri wazi wazi kupitia maarifa ya kuupata. Upo kama mimi. Mimi sinaga unafiki aisee. Yaani niishi kifala na tunaishi mara moja? Impossible!
 
Hakuna mtu mbishi kama humu Jf kama Kiranga likija swala la IMANI za dini....
Still na wew nakuingiza kwenye list yangu kuwaombea Ili siku Moja muitangaze injili ya Yesu kristo wa Nazareth kua ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu....

Nakusalimia🤚
Huhitaji kuniombea, unahitaji kuthibitisha Mungu yupo, kuondoa contradictions zilizo kwenye Biblia na kuondoa contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo Mungu.
 
Tafakari kwa makini "utajiri wa hii Dunia" ni uchawi na ushirikina. Kumbuka alichoambiwa Yesu na shetani pale mlimani.
 
Shetani ndiye mtawala wa ulimwengu huu na ndiye chanzo cha mambo yote mabaya.

Ni maskini duniani ila kwa Yehova sisi ni matajiri.
Hazina zetu tunaweka mbinguni huko mchwa, nondo hawawezi kiziharibu. Hata wezi hawawezi kutuibia...
Hakika una busara sana
 
Huhitaji kuniombea, unahitaji kuthibitisha Mungu yupo, kuondoa contradictions zilizo kwenye Biblia na kuondoa contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo Mungu.
Kwa Sasa Bado upo kwenye maombi....
Maombi Yana nguvu sanaaa....

Nikutakie wakati mzuri kwako...
 
Mungu hawapi wanadamu maradhi huu ni uongo 100%. Mungu sio katili bali Mungu ni Pendo.
Huyo pendo Anao malaika wa vita.
Huyo pendo alimtuma malaika wake wakamdanganye mfalme ahabu.
Huyo pendo kwa nini awe na falme juu ya anga letu na sisi wanawe twafa kwa njaa.
Kwanini umeji ita baraka?
Kwanini za kujiuliza ni nyingi MNO................
Kwanini wewe haukuzaliwa simbilisi.........
Kwanini wew sio jongoo,konokono,samaki mchele..............
Kwann wewe sio Mbwa jike 🤣
Kwanini wewe sio Mbuzi
Kwanini wew sio Nguruwe
Kwanini wew sio Ng'ombe
Kwanini wewe una type Jf muda huu........
Kwanini za kujiuliza ni nyingi MNO jibu kwanza hio assignment.
Zakujiuliza ni nyingi kwa sababu tuna utafuta ukweli mkuu.
 
Shida, umasikini, maradhi uletwa na mawakala wa shetani na sio Mungu
 
Back
Top Bottom