Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Shetani ndiye mtawala wa ulimwengu huu na ndiye chanzo cha mambo yote mabaya.

Ni maskini duniani ila kwa Yehova sisi ni matajiri.
Hazina zetu tunaweka mbinguni huko mchwa, nondo hawawezi kiziharibu. Hata wezi hawawezi kutuibia...
1. Mungu aliumba Dunia na vyotee vizuri, Kwanini alimpa Shetani mamlaka ya kutawala?
2. Kwahiyo kama hazina zetu zipo mbinguni, hapa duniani ni sawa kuteseka?

#YNWA
 
Hapa tu siishi nao nakosa amani, ndomana nataka kuwachukua

Mi naona kama wewe ndo mchawi iv..

Mtoa mada, ukichaa unakuzidi!

Shida hujui purposes ya wewe kuweko duniani, laiti ukija kujua huta kuwa na akili na maono uliyonayo sasa. Cha maana saiz nikupe Pole tu.

shetani umeshindwa kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth!!

Hebu JIBUNI HOJA yake tuone facts zenu.

#YNWA
 
Acha Kufuru zako Mungu Amekamilika na sifa zako pungufu .Mungu Ametuumba na kutupa akili na Mungu ametupa mitihani kama wewe ulivyokwenda shule huw aunapewa mtihani ukifeli hauoendelee na shule ukipasi unaendelee mbele na shule masomo ya juu.Na hivyo hivyo Mungu anatupa mtihani matatizo njaa dhiki shida maradhi vifo, Umasikini uUtajiri kwakle yote hayo ni mtihani tuna angalia je tutapasi au kufeli? Tukikufuru tunaingia mpotoni tukipasi tunaingia peponi uchaguzi ni wako.Acha kufuru zako na kejeli zako Mungu amekupa akili ,mikono miwili,miguu miwili pua mdomo kichwa moyo figo bandama maini matumbo.Na Kitu kimoja kikubwa alichokupa Mungu ni hiyo uhai aka pumzi zinazo kufanya ulete kufuru na jeuri zako je unaweza kumlipa kitu gani Mungu? Fadhila zote alizokupa Mungu je unawezakulipa japo moja?Achaupumbavu wako wakukukufuru na jeuri zako usiye kuwa na fadhila kwa Muumba wa mbingu na nanchi.Utaingia motoni shauri yako.
Usifanye attack kwa mtoa mada, JIBU HOJA.

Na wale watoto wachanga na Mifugo wanaokufa kwenye Majanga, NAO WAMEPEWA MITIHANI?

#YNWA
 
Shetani ndiye mtawala wa ulimwengu huu na ndiye chanzo cha mambo yote mabaya.

Ni maskini duniani ila kwa Yehova sisi ni matajiri.
Hazina zetu tunaweka mbinguni huko mchwa, nondo hawawezi kiziharibu. Hata wezi hawawezi kutuibia...
1 yohana 5:19.
 
Uyu Binti mdogo wa miaka 13 aitwae Omyra Sanchez alikwama apo kwenye kifusi ndani ya maji kwa siku tatu adi anafariki, walokolo mtasema Mungu alikuwa anamjaribu ampime imani yake. View attachment 2599693View attachment 2599694
View attachment 2599696
Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
 
Hapo Ziwa Victoria Kisiwa cha Ukala Meli ilizama na kuua watu takribani 500+ kwa mpigo.
Sijui Mungu alikuwa amelala?
Unaweza kuona kama tuna dhihaki lakini tunajaribu kuwaza tu kama viumbe wake Mungu mtakatifu
Mtetemeko wa Ardhi uliotokea nchini Uturuki umeuwa zaidi ya watu laki 5. Mungu ndio aliye andika vifo vyao viwe hivyo sisi waafrika tunakufa kwa maradhi na maafa ya maji kuzama kwa meli na maajali.Wakati wenzetu wanakufa kwa mtetemeko wa Ardhi yote hayo ni mapenzi yake Mungu. Mungu hana makosa alilo lipanga linakuwa na wewe ipo siku utakufa na kufa kwako sio kwamba
Mungu amekuonea hapana kama ulivyo zaliwa ujijuwe siku moja utakufa tu ukitaka usitake.
 
Watu wanaishi kichawi, utakuta mtu anapasua sana Sala kumbe "bonge la mchawi na mshirikina". Anaejua maisha ni mchezo ataishi vizuri hapa duniani. Hao waliokufa huko Kenya hawajui maisha ni mchezo, walidanganywa kuna Mbinguni na wakakubali tu kizuzu.
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom