Matokeo ya uchaguzi ya Arumeru alikuwa ni Nape aliyewahi kukubali kushindwa wakati wenzake kina Mwigullu wakipanga namna ya kubadilisha Matokeo .........
Tofauti ya Nape na Mwigullu ni kuwa Nape propaganda zake ni za maneno...na hazihusishi mauwaji na uovu ....wakati Mwigullu yupo tayari hata kuuwa Watu ili kufanikisha propaganda zake.........jambo ambalo linaiuwa CCM taratibuu....
Nape ukiacha mapungufu machache ni mwana siasa wakati Mwigullu yeye labda ni Gaidi
Bwana Nape Nnauye,
Nawashauri mwendelee sana kumtumia Mwigulu Nchemba,
Jamaa ni "Jembe" kweli kweli na tunaona matokeo yake CCM mnapolitumia kukatia shamba la miwa
Hivi tuliposhindwa Arumeru tulikataa kumbe?
Katika demokrasia si jambo la ajabu kupongezana,na ili kuonyesha kweli tunataka kujenga mazingira ya ushindani wa kimokrasia inabidi CCM muje hadharani na kuwapongeza CHADEMA kwa ushindi wa kata zote nne.
Nasubiri pongezh kwa
Mwigulu,kinana,nape,mwenyekiti wa Ccm arusha.
Na wengine pia Shonza,Mtela,shigela,beno malisa nk.
Hata hivyo, tangu mzee Mwenye kichwa cheupe apate nguvu ndani ya ccm mpaka Obama akatumika kwenda kuitakasa Simbion iliyonunua mitambo ya Richmond, naona umeanza kuandika hoja zenye hadhi yako. Hongera.
Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jamba pole savimbi hii ndo Arusha ulifikiri upo Iramba???
Marahaba CCM, haujambo, haya nenda kajipange upya.Shikamoo chadema
Roho ya Nape na Mwigulu ni moja kwani mchezo wao wa kuuwa uwa raia ili kutisha watu wa CDM na kupelekea CDM kufutwa ni mkakati wa baadhi ya watu ndani ya CCM, na ukitaka kuwajua wahusika wakuu wa mpango huo ni wale wanaotoa matamko ya utabiri wa tukio kabla ya tukio kutokea na wale ambao hutoa matamko haraka sana baada ya tukio eg Chagonja, Pinda, Mwigulu, Kamuhanda, Lukuvi, Nchimbi, Nape, Wassira... et al
Hivi tuliposhindwa Arumeru tulikataa kumbe?