Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Hivi tuliposhindwa Arumeru tulikataa kumbe?

CCM mliposhindwa Arumeru, mlimalizia hasira zenu kwa kuua. Hata hapa Arusha, mlipoona mtashindwa mlilipua mabomu na kusababisha mauaji. Mambo ya kishetani kabisa haya.
 
Ndugu yangu Tiba ; Tatizo ndani ya CCM sasa kila mtu na lwake. Ukimuambia Nape awashauri wenzake, ukumbuke ni Nape huyu huyu aliekuwa kwenye harakati za uvuaji magamba.Akatuambia magamba wamepewa siku ngapi vile? Nadhani ndani ya CCM, sasa kila mtu anafanya kinachomjia kichwani na hataki ushauri.Wangekuwa ni watu wakushaurika, basi mwigulu angekuwa ashasikia ushauri anaopewa humu.

Hapa Nape lazima ajitokeze kwani ushindi wa CHADEMA Arusha ni wake pia,maana hapa wameshindwa
kambi ya wale alioshindwa kuwavua magamba,Mwigulu hapa hawezi onekana maana ameshindwa mara
mbili,ameshindwa na CHADEMA na pia ameshindwa kwa wanaccm wenzie kambi ya pili'
 
chadema mwigulya mwigulya,mwigulya zigi zigi hahahaha unaona sasa mpaka naongea kilugha.chadema juu juu,juu zaidi

Kunaa ndugu yangu alinambia hilo neno huko Singida linamaanisha ASANTE SANA siyo?!
 
siasa chafu zinafanya kushindwa kuume sana.....
Wakina Mwigulu wanaharibu chama , siasa na demokrasia tanzania......
Inauma sana Mtu una mtisha mpaka kwa kumuua lakini bado anakukana kata kata
 
Hivi tuliposhindwa Arumeru tulikataa kumbe?

Usimsikilize huyo vyama vyetu vimekuwa vinajitahidi sana kuepusha damu kumwagika ndiyo maana hata Uchaguzi wa Rais wa 2010 Tume iliagizwa imtangaze Kikwete Dr Slaa akakaa kimya lakini ingekuwa nchi nyingine damu ingemwagika. Naipenda sana Tanzania walaaniwe wanaosababisha kupungua kwa amani yetu ili waendelee kukaa madarakani
 
Kaka kaka! CCM mko Imara? kwa lipi, maana kila ukifanyika Uchaguzi mnaweka record mpya ya kupoteza na kuzidiwa na CHADEMA,Mtafanya vema mkijitambua mapema na kujiandaa kuwa Wapinzani mahiri.
 
Nape sasa umeokoka, Maneno haya ya busara ungekuwa nayo tangu mwanzo tungekuona kijana mwana mapinduzi lakini angalia usije ukasahau siku moja ukasema peeples jukwaani kama mwenyekiti wako Muleba jana baada ya kusikia CDM imeshinda akapita kwenye kijiwe cha kahawa akisema peeeeeeeeeeples watu poweeeeeeer mikina mwigulu itakumwagia tindikali.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

Pole san mkuu, sasa mpunguze matumizi ya nguvu na mabavu. kutumia polisi katika siasa kutawaghalimu.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
Nape Nnauye team CHADEMA inazidi kuwasha indicators za kuashiria ushindi 2015,Team CCM chini ya Mwigulu Nchemba inazidi kuipeleka CCM kaburini. Wananchi wa Arusha wameamua kusema kwa niaba ya watanzania wengine,
 
1003668_555318464530346_1865973630_n.jpg
 
Mkuu siyo ukweli apo something fishing, ilo ni dogo kwa mwingulu, wewe ujui kama mambo siyo shari uko Lumumba? but nice comment Nape if u mean what u talk!!! we need change and u can do it, tushindane kwenye itikadi but siyo kujenga uadui, sisi sote ni wamoja na ndugu Moja aijalishi nimetoka wapi na wala kabila gani. tubadilike tujenge Nchi.

well said mkuu.....lakin hilo kwa mwigulu aliwezekani
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

Inawezekana umekubali ili kuficha udhalimu wa mauaji ya Soweto.
 
Kwa mara ya kwanza tokea kuumbwa kwa Binaadamu ndio CCM mnakubali kushindwa. Sasa anzeni kufunga virago 2014 na 2015 ndio tunamaliza

kama ni werevu wa mambo watafanya ivyo
 
lakini hata ninyi mmeshinda kwa kumwaga damu za watu wasio na hatia

Nilitemea wapumbavu kama wewe mtaongea kitu kama hiki, kwahiyo sasa unataka kuniambia wapiga kura wameogopa ndo wakawapigia kura?
 
Back
Top Bottom