Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).[/QUOTE]
Kama hayajaenda sawa, yule ambaye hayajamwendea sawa afanyeje hasa kwa upande wa Urais kwa sasa?
View attachment 102310
Kijana alitumika lakini watu wa Arusha wakagundua kuwa kijana hajielewi,
Wakaipa haki yake ccm. ccmView attachment 102310
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
pole gamba naona umenyeshewa mvua
naona gamba linalouwa watu kichwa chini
![]()
mara haba jamaangu. ndo ushindi halisiShikamoo chadema
siyo brash tu bal ni super brushccm wamepigwa brash
Hongera sana Mh.
Nape kwa maneno ya busara, huu ndo ukomavu wa siasa za ushindani.
Binafsi nakukubali sana ila mnahitaji kureview mbinu zenu za kampeni
pamoja na timu mnayoitumia kwenye uchaguzi.
Ok, umekubali kushindwa au? Na vipi umerizika, kama jibu ni ndio, nini unadhani ni sababu ya kushindwa, timu yako ya kampeni, sera zenu
, wananchi wamekichoka chama chenu au Chadema wamewachakachua? Lakini pole yenu
Nape kabla ya kuwajibu sentensi ndeeeeefuuuu ambazo kimsingi hazijabeba jibu la maswali yao ulipaswa kwanza Ukiri kuwa " Uchaguzi wa Arusha mmeshindwa" mana hili ndo jibu la msingi la maswali uliyoulizwa then baada ya hapo ndo uendelee na dibaji.Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).