Kwa mara ya kwanza tokea kuumbwa kwa Binaadamu ndio CCM mnakubali kushindwa. Sasa anzeni kufunga virago 2014 na 2015 ndio tunamaliza
Arusha Jiji, haiwezi kuifungisha virago CCM maana mji huu siyo siyo Tanzania Nzima, na wala siyo Arusha nzima, na kumbuka CCM ndicho chama chenye msingi imara. Uwe na AMANI sisi bado tupo tu