Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Mkuu umeongea jambo la maana sana wenye takwimu za uchaguzi uliopita

Upi?
Mbona hata wa jana ni uchaguzi uliopita?!
Sasa mmeanza kuzifanyia kazi TAKWIMU za zamani siyo?
POA.
TAKWIMU za uchaguzi uliopita zinasema kwamba kwa upande wa URAIS,
CCM 80% mwaka 2005,
CCM 60% mwaka 2010,
Kwa hiyo,
CCM 40% mwaka 2014/2015
 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jamba pole savimbi hii ndo Arusha ulifikiri upo Iramba???
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

Leo umeamua kutumia ID yako halisi baada ya ile HAMDY, poleni, nadani umeona kazi ya Red Bregedi, hakuna kuibiwa.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

MWISHO WA UCHAGUZI HUU, NI MWANZO WA UCHAGUZI UJAO, #julianaSHONZA #mwiguluNCHEMBA ndo sababu kubwa ya ccm kuambulia patupu kwa uchaguzi huu kwa maana waliacha hoja za msingi na badala yake wakajikita #siasaZAuzandiki !!!!!!!!!!!!!!!!
 
UNLESS YOU ARE A "PROPER-GAMBA" DONT USE PROPAGANDA!!! Kwa kifupi Nape Moses Nnauye, ushindi wa Arusha ni beacon muhimu sana tunapoelekea kwenye chaguzi kubwa zijazo. Matokeo ya uchaguzi huu wa chini ni salamu kwa watu hawa muhimu na sababu kwenye mabano:Kwanza, Mwenyekiti Taifa - kwa kutokutoa pole kwa wafiwa arusha wakati wa mlipuko wa bomu katka mkutano wa CHADEMA. Alikubali kushiriki dirty politics. Kumbuka wananchi wa Arusha hata kama ni CCM wanaumia ndani kwa ndani. Pili, kwa Mwigulu Lameck Nchemba -kwamba CCM inaelekea shimoni kwa kauli zake zisizojenga. Yeye anafikiri ni wakati wote propaganda hufanya kazi. Nafikiri ni wakati wa kubadili tabia kama hawezi avae kondomu ya mdomo. Tatu, Moses Nape Nnauye, Abdulrahman Kinana na Wiliam Lukuvi - Kwamba watanzania wa leo siyo wa Enzi zile na pia kupigiwa makofi na meza bungeni haimaniishi kuwa usemacho kimekuwa na mashiko saaaana! Watanzania wanaona na kuchekecha kila kinachotokea. CCM inajizika yenyewe mchana kweupe. Nne kwa Makamnda wa juu jeshi la polisi -kwamba wananchi wakiamua hakuna linaloshindikana. Wacheze fair play na popote duniani serikali nyingi zimeanguka kwa wanajeshi, polisi na usalama kuingia katika siasa. Mimi naamini kesho kutwa Said Mwema akistaafu utasikia anagombea ubunge huko Hai au Moshi Mjini. Na mwisho, matokeo haya yanamuumbua moja kwa moja Anna Semamba Makinda Spika wetu-Kwamba Tanzania ni jadi yetu kushirikiana katika misiba na majanga. Kitendo cha kuendelea na mikutano ya bunge ili kukifurahisha chama chake kiliwaumiza wananchi wengi. Lusinde kule Arumeru alitukana jukwaani wananchi wakamshangilia lakini mioyoni wakaumia na wakafanya kweli kwenye sanduku la kura. Wananchi kila sehemu wana misiba mioyoni. Wataitoa tu kwa kuwatandika kwenye sanduku la kura!!! Tafakari!!! WAO WANA DOLA SISI TUNA MUNGU..........!
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
 
lile bomu ilikua mbinu chafu ya Mwigulu ili chama kionekane kichafu mbele ya wananchi wake CCM walikosea kuwapa wananchi elimu afadhal wangewajengea kumbi za sherehe hapa wananchi kila mlifanyalo wanalichuja na kuliangalia kwa makini *ziheshmiwe fikra za mwenyekiti* swaga hzo hazipo cku hz
 
Naamini chama chako kitafanya Review hasa ya kikmkakati kwa kubadilisha wapiga kampeni wenu,kuweni makini sana Mwigulu Nchemba amechafuka sana jipangeni upya.
Halafu Mkuu, amini usiamini huyu mwigulu, kama umeligundua! chembe ya uzalendo na hicho chama hana, ima hata ule uchu wa kushinda haupo kwake, ni sawa na askari wa kukodiwa tu! yaani kilicho domoni si kilicho rohoni ni ili mradi muda upite tu!
 
Last edited by a moderator:
siipendi CCM toka damuni ila kwa statement hii (kama kweli yatoka moyoni), nakupongeza Nape. Katika watu ambao mikono yao imejaa damu na wana laana ya watu wengi ni Mwigulu.
 
Kuna watu wameulizza
sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika
kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima
ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo
yote yamekwenda sawa).
sio kila wakati mshinde nyie,acha maneno ya mfa haachi kutapatapa,kubali matokeo maisha yaendelee
 
Nape wewe si ndio ulisema CDM wamepiga mabomu kwa sababu wameona wameshindwa? au sio wewe? kweli wewe ni NAPE
 
Sasa nimeelewa ni kweli palipo na Mwigu hapana Nape,na palipo na Nape hapana Mwigu.kaka ulikuwa kimyaa,jamaa tumemfungia juzi tu,leo umejaa jamvini!kuna kitu!si useme tu siasa za jamaa yako huzipendi ndio maana hamuivi chungu kimoja?anyway,bora wewe uwepo humu kuliko yule "mitusi".pole na "Lemafobia" ya Arusha kaka!
 
Hata Arumeru mlikubali na Nape ulitoa pongezi kwa Chadema, mimi ninaamini kama chama hakuna tatizo, isipokuwa Mwigulu. Huyu anatamani kupasuka. Roho ya nape ni tofauti na ya mwigulu, hata hivyo anayo nafasi ya kujifunza!

Roho ya Nape na Mwigulu ni moja kwani mchezo wao wa kuuwa uwa raia ili kutisha watu wa CDM na kupelekea CDM kufutwa ni mkakati wa baadhi ya watu ndani ya CCM, na ukitaka kuwajua wahusika wakuu wa mpango huo ni wale wanaotoa matamko ya utabiri wa tukio kabla ya tukio kutokea na wale ambao hutoa matamko haraka sana baada ya tukio eg Chagonja, Pinda, Mwigulu, Kamuhanda, Lukuvi, Nchimbi, Nape, Wassira... et al
 
Ninyi CCM; Damu ya watu Mliyo mwaga Arusha na maeneo mbalimbali nchini haitaenda bure. Kwa Arusha tunajua mlikuwa mshashindwa mbinu zote na mkaona mbinu iliyobakia ni kuwatisha wananchi waogope kujitokeza kupiga kura. Hata hivyo kwa kiasi mlifanikiwa kwa kuwa idadi iliyojitokeza ilikuwa si kubwa sana.Lakini kumbe hata hao wachache nao wanataka ukombozi wa kweli.Ndugu Nape Nnauye ; Ijapokuwa hata mkifanya siasa safi, kwa sasa hatua mliyofikia lazma muanguke ifikapo 2015, lakini mkiendelea na Siasa chafu mtaanguka zaidi tena kwa kudhalilika. Sasa chaguo ni lenu.Mfanye siasa safi mshindwe kistaarabu, au mfanye unyama mshindwe kwa kudhalilika.Kupanga ni kuchagua.
 
Last edited by a moderator:
Upi?
Mbona hata wa jana ni uchaguzi uliopita?!
Sasa mmeanza kuzifanyia kazi TAKWIMU za zamani siyo?
POA.
TAKWIMU za uchaguzi uliopita zinasema kwamba kwa upande wa URAIS,
CCM 80% mwaka 2005,
CCM 60% mwaka 2010,
Kwa hiyo,
CCM 40% mwaka 2014/2015

Mkuu niliandika coments jana na si leo pole hata hivyo nazungumzia uchanguzi katika kata nne zilizofanyika jananadhani ulikurupuka hukufuata flolw ya thead pole sana.
 
UNLESS YOU ARE A "PROPER-GAMBA" DONT USE PROPAGANDA!!! Kwa kifupi Nape Moses Nnauye, ushindi wa Arusha ni beacon muhimu sana tunapoelekea kwenye chaguzi kubwa zijazo. Matokeo ya uchaguzi huu wa chini ni salamu kwa watu hawa muhimu na sababu kwenye mabano:Kwanza, Mwenyekiti Taifa - kwa kutokutoa pole kwa wafiwa arusha wakati wa mlipuko wa bomu katka mkutano wa CHADEMA. Alikubali kushiriki dirty politics. Kumbuka wananchi wa Arusha hata kama ni CCM wanaumia ndani kwa ndani. Pili, kwa Mwigulu Lameck Nchemba -kwamba CCM inaelekea shimoni kwa kauli zake zisizojenga. Yeye anafikiri ni wakati wote propaganda hufanya kazi. Nafikiri ni wakati wa kubadili tabia kama hawezi avae kondomu ya mdomo. Tatu, Moses Nape Nnauye, Abdulrahman Kinana na Wiliam Lukuvi - Kwamba watanzania wa leo siyo wa Enzi zile na pia kupigiwa makofi na meza bungeni haimaniishi kuwa usemacho kimekuwa na mashiko saaaana! Watanzania wanaona na kuchekecha kila kinachotokea. CCM inajizika yenyewe mchana kweupe. Nne kwa Makamnda wa juu jeshi la polisi -kwamba wananchi wakiamua hakuna linaloshindikana. Wacheze fair play na popote duniani serikali nyingi zimeanguka kwa wanajeshi, polisi na usalama kuingia katika siasa. Mimi naamini kesho kutwa Said Mwema akistaafu utasikia anagombea ubunge huko Hai au Moshi Mjini. Na mwisho, matokeo haya yanamuumbua moja kwa moja Anna Semamba Makinda Spika wetu-Kwamba Tanzania ni jadi yetu kushirikiana katika misiba na majanga. Kitendo cha kuendelea na mikutano ya bunge ili kukifurahisha chama chake kiliwaumiza wananchi wengi. Lusinde kule Arumeru alitukana jukwaani wananchi wakamshangilia lakini mioyoni wakaumia na wakafanya kweli kwenye sanduku la kura. Wananchi kila sehemu wana misiba mioyoni. Wataitoa tu kwa kuwatandika kwenye sanduku la kura!!! Tafakari!!! WAO WANA DOLA SISI TUNA MUNGU..........!

Mkuu ulipitia ulichoandika kweli mbona hakuna para hata moja inatia uvivu kusoma
 
Afadhari NAPE!
Mwenzike Mwigulu Nchemba aki-post mada huwa harejei kujibu hoja hata moja!
Huonekana tena akileta mada mpya....!
Hii ni dharau kwa JF....
Kwa hilo, hongera Nape ila pole kwa kuwa mwna-CCM!
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
Nape kabla ya kuwajibu sentensi ndeeeeefuuuu ambazo kimsingi hazijabeba jibu la maswali yao ulipaswa kwanza Ukiri kuwa " Uchaguzi wa Arusha mmeshindwa" mana hili ndo jibu la msingi la maswali uliyoulizwa then baada ya hapo ndo uendelee na dibaji.
 
hamkucheza 'fair' we nape na ccm yenu, mmecheza faulo nyingi sanaa, mojawapo kutisha watu ili wasijitokeze kupiga kura, but trust me hata wangejitokeza wapiga kura kumi tu kila kituo hakika bado mngeangukia pua pwaaahh!
 
Nape, wewe angalau una busara kiduchu, washauri wazee wa chama, kwamba Mwigulu na mbinu zake zinazidi kuimaliza CCM. Single ya Ugaidi haina nguvu kama mlivyofikiria.

Tiba
Ndugu yangu Tiba ; Tatizo ndani ya CCM sasa kila mtu na lwake. Ukimuambia Nape awashauri wenzake, ukumbuke ni Nape huyu huyu aliekuwa kwenye harakati za uvuaji magamba.Akatuambia magamba wamepewa siku ngapi vile? Nadhani ndani ya CCM, sasa kila mtu anafanya kinachomjia kichwani na hataki ushauri.Wangekuwa ni watu wakushaurika, basi mwigulu angekuwa ashasikia ushauri anaopewa humu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom