kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,885
Hiki kidemu kipimwe akili, kiliweka topic hapa kikaongea upuuzi mpaka nikamsujudia Muumba kumshukuru kuwa kametoka kwenye chama chetu chenye akili. Kilisema MAGAMBA wameshashinda na CDM wanatapatapa, sasa kamelala mbele kwa kasi ya ajabu.
mwenzio akifanya hivyo ndio anaonekana kafanya siasa kweli kweli,ni ukweli usiopingika kuwa huko ccm hakuna ata mmoja alie na akili timamu,wote ni mburulaz.