Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Re: Toa maneno yako machache kwa wana CCM kutokana na matokeo ya uchaguz wa udiwan Arkama nguvu za polisi jeshi na matumizi ya silaha Kali yanaingizwa katika kampeni
2015 ngoma itakuwa nzito kwa CCM pale nguvu ya ushawishi wa hoja itakapo shinda siasa za pesa uhuni na vitisho kwa wananchi

Wabarikiwe waTanzania wote na hekima iwe juu yao
 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

KILIOOOOOOOOOOOOOOO.Kwendeni huko mirija na wanyonyaji wakubwa
 
Niipongeze kamati na halmashauri kuu ya Chadema kwa kufanya kampeni za kiungwana, za kistaarabu ndio democrasia ilivyo. Kwa ccm nadhani kushindwa kwenu ni matokeo ya ubabe unaofanywa na viongoz wao kimkoa akiwemo Mkuu wa Mkoa Arusha Magesa mulongo na wengneo. Pia akna Mwigulu ni 7babu 1wapo ya kushindwa kwa matokeo haya
 
Waache CCM walale. Its good for the sake of this country.

Hawa watu wamezoea propaganda,kuibadili nyeusi kuiita nyeupe halafu wanajisifu.
Najua hata sasa wanasubiri kupongezwa. Ngoja niwape wanachohitaji,

Congratulations Magamba and Senkyu vere macheee...
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

teh teh teh arusha bana hata ungesimamisha ccm na dog,dog angeshinda kwa kishindo! Chezea a town weye!?
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

huna chako nape na siasa zenu za urithi.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

Waambie magamba hao walokuwa wakigoma kusaini
 
lakini hata ninyi mmeshinda kwa kumwaga damu za watu wasio na hatia

hahaha yamekua hayo tena...kuua muue nyie leo useme tumemwaga damu sie..kubali tu bana katika hali ya kawaida bila kutumia nguvu kufikiri nyie ndo mlitupiga bomu kuvuruga uchaguzi kumbe mmeahirisha tu ttzo..watz wa leo wanajua ipi nyeupe na ipi nyeusi
 
Sioni busara katika uzi wa Nape, maana ni huyu huyu aliyekuja hadharani kusema kwamba CDM wamejilipua wenyewe tarehe 15 Juni ili wapate kura za huruma kutoka kwa wananchi! Hiyo kweli ni akili ya kawaida kwa kijana kama yeye au ndio kupumbazwa na mapenzi kwa chama badala ya nchi na watu wake?!
 
Back
Top Bottom