FATHER OF HISTORY
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 947
- 669
Unajua ukisema hakuna uvumbuzi wowote uliowahi kufanyika katika vyuo vya tanzania utakuwa unakosea kabisa kwa sababu:
1.Sina uhakika kama utakuwa umefanya "Literature Review" ya kutosha ili kujiridhisha kwa kwa hoja zako.
2.Labda ni ugunduzi wa nyanja ipi ambao unataka,maana kila uvumbuzi lazima uwe umejengwa katika wazo(ideas)flani,then unadevelop theory juu ya jambo hilo,kitu ambacho naamini vimefanyika hapa Tz
3.Hata hao panya wa SUA,hakuna chuo kingine kilicho vumbua hilo nje ya Tanzania
4.Ni lazima upitie kataika kila KITIVO tangu chuo kimeanza mpaka sasa ndiyo ujue nini kimevumbuliwa na kwa kutumia IDEA ya wapi na nani au lini.
5.Pengine hata huo uvumbuzi tunaosema vyuo vya nje vimevumbua unatokana na Ideas za watu wengine,kama Vile IRAN,ilipoiangusha DRONE ya USA, 2011 nakusema itazalisha DRONE kama zile kutoka nchini mwake
1.Sina uhakika kama utakuwa umefanya "Literature Review" ya kutosha ili kujiridhisha kwa kwa hoja zako.
2.Labda ni ugunduzi wa nyanja ipi ambao unataka,maana kila uvumbuzi lazima uwe umejengwa katika wazo(ideas)flani,then unadevelop theory juu ya jambo hilo,kitu ambacho naamini vimefanyika hapa Tz
3.Hata hao panya wa SUA,hakuna chuo kingine kilicho vumbua hilo nje ya Tanzania
4.Ni lazima upitie kataika kila KITIVO tangu chuo kimeanza mpaka sasa ndiyo ujue nini kimevumbuliwa na kwa kutumia IDEA ya wapi na nani au lini.
5.Pengine hata huo uvumbuzi tunaosema vyuo vya nje vimevumbua unatokana na Ideas za watu wengine,kama Vile IRAN,ilipoiangusha DRONE ya USA, 2011 nakusema itazalisha DRONE kama zile kutoka nchini mwake
uko deep in shallow waters. Izo allegations zifoward