Hapa watu wanazungumzia uvumbuzi na utafiti, sio vitivo vinavyo husika na siasa, biashara na sheria vitivo hivyo ndio utoa wahitimu mahili lakini linapokuja saula la sayasi na engineering hawana lolote la kujivunia wasidanganye watu na majisifu yasiyo na ukweli wowote.
Wakuu wa Chuo na idara wajipange upya waende kujifunza kwa wenzao jinsi wanavyo fanya tafiti, uvumbuzi katika masuala ya sayansi na teknolojia, kuna baadhi ya vyuo vikuu Africa vilivyo piga hatua kubwa kataki nyanja tajwa hapo juu mfano: Afrika Kusini, Kenya, Makerere, Africa magharibi specifically Nigeria - sisi tunakalia majisifu eti UDSM ni Chuo kikongwe atuwezi kuwambia kitu!!
We jaribu kuangalia majibu jibu ya baadhi ya wahitimu wa UDSM yamajaa majivuno na majisifu tu - nenda uwachunguze wanapokuwa kwenye real World ya sayansi na teknolojia - aibu tupu - wala hawajiulizi kwa nini wawekezaji wana prefer kuja na wataalamu wao kuliko walio zalishwa na chuo hicho, hawana handon experince ya masuala haya - tukubali mapungufu yetu na kuyafanyia KAZI.
Kwa taarifa yako Mh.Mkapa alisoma Makerere sio UDSM na Mh.Mwinyi hakusoma Chuo hicho.