I expected alumni wa udsm mtaleta facts at least,
But the thing is hakuna hata mmoja ameelewa hata mtoa mada anataka nini,
I am really shocked,
Is this what you are learning out there?
Tena nadhani hizi ni products za hivi karibuni,
Hii inaonesha jinsi gani elimu yetu imeshuka..
Wizara inatakiwa isifumbie macho hili suala..
Kuna mmoja ameelezea angalau DIT wanafanya something kinaonekana useful..
Na huwa nikipita kule SIDO napata faraja sana, jamaa wanafanya inventions na wengine hata secondary hawajaenda.
Ila jinsi alumni wa udsm tunajibu hoja humu, ni obviously tuna shida kwenye mfumo wetu wa elimu