Ubora wa UDSM ni upi?

Ubora wa UDSM ni upi?

Kuna haja ya kuanzisha thread maalum ambayo itakua inaelezea mambo mazuri yaliyofanywa na yatakayokua yanaendelea kufanywa na UDSM...
kwasababu hii itawasaidia wale wote wanaojaribu kufanya makosa ya kuifananisha UDSM na mambo ya kipumbavu..!
 
Kuna haja ya kuanzisha thread maalum ambayo itakua inaelezea mambo mazuri yaliyofanywa na yatakayokua yanaendelea kufanywa na UDSM...
kwasababu hii itawasaidia wale wote wanaojaribu kufanya makosa ya kuifananisha UDSM na mambo ya kipumbavu..!
Ila pamoja na mbwembwe zenu zote udsm wanaazima walimu wa anatomy kutoka bugando,so sad
Huo ni ukweli usiohitaji kuumiza kichwa kuelewa, Tanzania hakuna chuo chakushindana na udsm labda colleges, schools na Institute zake...ila UDSM in general ni level ya kimataifa.

Kabla sija kuambia ukubwa wa UDSM,naomba nikutahadharishe kuwa kutokana na "URGUMENT" unaweza tiliwamashaka kama kweli umeingia hapokwa sifa sitahiki hapo maana hicho ni chuo cha "GREAT THINKER"
Sasa nakuja kwenye hoja zako:
1.Tunaposema Chuo kikubwa hatumaanishi ukubwa wa eneo,bali ni taaluma inayotolewa kwa kuzingatia wataalamu waliopo chuoni hapoukilinganisha na vyuo vingine.
2.UDSM ndiyo chuo kikuu cha kwanza nchini tangu Tanzania ipate Uhuru.
3.UDSM ndiyo chuo kilichozalisha vyuo vingine vidogovidogo na sasa ni vikubwa kabisa kama vile, SUA,MUHIMBILI,ARDHI, MUCE,DUCE japo bado viko chini yake.
4.UDSM ni chuo bora chenye wataalamu wakutosha ambao vyuo vingi nchini na nje pia wamezalishwa hapo
5.UDSM ni chuo chenye ubora wa kitaifa na kimataifa in its programmes and research qualities
6.UDSM is a University with big reputation
HAYO NI MACHACHE TU
 
Mnaacha hoja mnamkaba mleta hoja...
Kwa upande wangu mwanafunzi anapokuwa chuo ndie anakuwa anajua msitakabali wa maisha yake...akiwa chuo na baada ya kumaliza chuo..(hii ni personality ya mwanafunzi mwenyewe.)

Lakini chuo kama chuo nacho kinaplay part kwa mstakabali wa mwanafunzi huyu..maendeleo ya chuo..utafiti na uzinduzi na mbo muhimu sana hata katika nyanja ya technolijia hivyo lazima kijijenge kumsaidia mwanafunzi na kukiinua chuo..

Mtoa mada ana hoja japo amekosea uwakilishaji wa hoja kwa heading yake...lakini bado hoja ya msingi ipo.. alipoanza na udsm pamoja na vyuo vingine.. huyu udsm ndie baba wa vyuo vyetu tanzania... na ndie anashindanishwa na vyuo vya kimataifa... utafiti na ugunduzi tunategemea uanzie hapa na vyuo vingine vifate..

Sasa wanafunzi wa udsm si kama product za zamani katika nyanja mbalimbali mfano..siasa..sheria..na technolojia.. kushuka kwa ubora wa wanafunzi hawa wa udsm wa sasa ndio unaaksi kushuka kwa elimu yetu. Vyuo vingi sasa vina elimu ya kukalili kumeza madesa tu. Hii huchangiwa sasa na hofu ya kufeli hivyo kutumia muda mwingi kuhangaika na notes za mwalimu..tatizo hili limekumba vyuo vyote na ndio maana product ya wanafunzi wengi wanaohitimu sasa. Hii ni changamoto kwa elimu yetu.
 
kiukwl mm naona km UD jina tuu kwn hat katka fani y ufundi namaanisha engenering y mambo y magari huwezi kufananisha n vyuo km NIT au VETA kwn kiukwl wale vyuo km hivyo huwa wanakuwa n ubora zaidi kuliko w UD kw7bu haw w NIT n VETA wanasoma darasan n baada y hapo huwa wanapelekw kwnda kufanya kw vitendo! Pia nishawahi kuona interview y mambo enginering ktk company fln hiv n walikwepo watu w UD, NIT na VETA. Kwn UD kingerza tuu n jina kw7bu n cha kitambo au ndicho chuo ch kwnza hapa nchini lakini vinginevyo hakuna kitu ch zaidi! NIT n VETA kwny kazi wapo vyema sn kiukwl n wanajua kabisa nn wanafany.
UDSM ni chuo kikubwa na kikongwe je ukubwa wa UDSM ni nini au unatokana na ukubwa wa eneo au ubora wa elimu.

Naomba mnisaidie ukiondoa kuzalisha maprofesa je UDSM imefanya/inafanya tafiti au mradi gani katika kusaidia Taifa.

NB Makerere -wametengeneza gari
SUA-panya wa kutegua mabomu
UDOM-?
DIT-?
Nb:Tutumie vyuo vyetu kama vituo vya utafiti ili tusonge mbele
UDSM ni chuo kikubwa na kikongwe je ukubwa wa UDSM ni nini au unatokana na ukubwa wa eneo au ubora wa elimu.

Naomba mnisaidie ukiondoa kuzalisha maprofesa je UDSM imefanya/inafanya tafiti au mradi gani katika kusaidia Taifa.

NB Makerere -wametengeneza gari
SUA-panya wa kutegua mabomu
UDOM-?
DIT-?
Nb:Tutumie vyuo vyetu kama vituo vya utafiti ili tusonge mbele
 
UDSM ni chuo kikubwa na kikongwe je ukubwa wa UDSM ni nini au unatokana na ukubwa wa eneo au ubora wa elimu.

Naomba mnisaidie ukiondoa kuzalisha maprofesa je UDSM imefanya/inafanya tafiti au mradi gani katika kusaidia Taifa.

NB Makerere -wametengeneza gari
SUA-panya wa kutegua mabomu
UDOM-?
DIT-?
Nb:Tutumie vyuo vyetu kama vituo vya utafiti ili tusonge mbele
Mafisadi wote Udsm wamezalisha
 
Kabla sija kuambia ukubwa wa UDSM,naomba nikutahadharishe kuwa kutokana na "Argument" unaweza tiliwa mashaka kama kweli umeingia hapokwa sifa sitahiki hapo maana hicho ni chuo cha "GREAT THINKER"
Sasa nakuja kwenye hoja zako:
1.Tunaposema Chuo kikubwa hatumaanishi ukubwa wa eneo,bali ni taaluma inayotolewa kwa kuzingatia wataalamu waliopo chuoni hapoukilinganisha na vyuo vingine.
2.UDSM ndiyo chuo kikuu cha kwanza nchini tangu Tanzania ipate Uhuru.
3.UDSM ndiyo chuo kilichozalisha vyuo vingine vidogovidogo na sasa ni vikubwa kabisa kama vile, SUA,MUHIMBILI,ARDHI, MUCE,DUCE japo bado viko chini yake.
4.UDSM ni chuo bora chenye wataalamu wakutosha ambao vyuo vingi nchini na nje pia wamezalishwa hapo
5.UDSM ni chuo chenye ubora wa kitaifa na kimataifa in its programmes and research qualities
6.UDSM is a University with big reputation
HAYO NI MACHACHE TU
Hujatoa hoja hata moja ubora wa chuo unapimwa kwa lipi kwa ukongwe au kutoa wataalam wasio na faida tuambie imetoa mtaalam fulani na kafanya kadhaa na kama chuo kimefanya kadhaa.zaid hakina contribution inayoendana na umri wake.kina umri mkubwa lakn hakiendani na umri.
 
Nitampa secretary idea yeye ataniandikia barua hiyo ndio profession yao, niko mwaka wa pili chuo sijawahi kukutana na course yakuandika barua kwa level ya degree,,, hawategemei sisi kufanya kazi hizo wapo wataalamu wake.
uko chuo gani kaka?hujasoma hata communication skills?
 
DIT wanatengeneza taa za barabarani kule DSM,ukiona taa zozote zina mistari myeusi kama pundamilia na njano basi ujue zimetoka pale,pia wanaproject ya kulisha samaki kwa mashine hasa kwa wafugaji wa samaki na ziko zingine kibao,zicheki kwenye website yao!
 
I expected alumni wa udsm mtaleta facts at least,
But the thing is hakuna hata mmoja ameelewa hata mtoa mada anataka nini,
I am really shocked,
Is this what you are learning out there?
Tena nadhani hizi ni products za hivi karibuni,
Hii inaonesha jinsi gani elimu yetu imeshuka..
Wizara inatakiwa isifumbie macho hili suala..
Kuna mmoja ameelezea angalau DIT wanafanya something kinaonekana useful..
Na huwa nikipita kule SIDO napata faraja sana, jamaa wanafanya inventions na wengine hata secondary hawajaenda.
Ila jinsi alumni wa udsm tunajibu hoja humu, ni obviously tuna shida kwenye mfumo wetu wa elimu
 
UDSM ni chuo kikubwa na kikongwe je ukubwa wa UDSM ni nini au unatokana na ukubwa wa eneo au ubora wa elimu.

Naomba mnisaidie ukiondoa kuzalisha maprofesa je UDSM imefanya/inafanya tafiti au mradi gani katika kusaidia Taifa.
Mfano: Makerere -wametengeneza gari
SUA-panya wa kutegua mabo
angalau swali linasomeka vizuri
 
Am very disappointed kama kweli kwenye thread hii kuna kuna msomi wa Udsm amechangia thread hii, maana nimesoma post zote hakuna mtu aliyejibu hoja.

Well mimi ni form four graduate tu, lakini ukiniuliza swali nikupe tofauti kati ya Tambaza secondary school na Benjamin Mkapa nitakueleza, au ukiniuliza tofauti ya Ilboru na forodhani nitakueleza pia ingawa zote hizi ni shule za serikali.

Nasikitika sana wasomi wetu leo kama mnashindwa kujibu maswali mepesi kama haya sijui ni Taifa gani tunalijenga.

Kitila Mkumbo nakuomba uje hapa jamvini au tuma kijana unayemuamini aokowe hii aibu, vijana wako wanakuangusha na wanatia aibu hapa jukwaani.
 
uko chuo gani kaka?hujasoma hata communication skills?
Acha battle bwana ..nipo udsm. First year Nilisoma communication skills for lawyers hamna uandishi wa barua,barua nimesoma form one na form six language 1 topic ya writing.
 
I expected alumni wa udsm mtaleta facts at least,
But the thing is hakuna hata mmoja ameelewa hata mtoa mada anataka nini,
I am really shocked,
Is this what you are learning out there?
Tena nadhani hizi ni products za hivi karibuni,
Hii inaonesha jinsi gani elimu yetu imeshuka..
Wizara inatakiwa isifumbie macho hili suala..
Kuna mmoja ameelezea angalau DIT wanafanya something kinaonekana useful..
Na huwa nikipita kule SIDO napata faraja sana, jamaa wanafanya inventions na wengine hata secondary hawajaenda.
Ila jinsi alumni wa udsm tunajibu hoja humu, ni obviously tuna shida kwenye mfumo wetu wa elimu
Hujataka kuziona kwasababu umejicondition hivyo....ila jaribu kufikiria udsm isingekuwepo Tanzania ingekua vipi? Kwa kweli Historia ya Tanzania ingekuwa tofauti na tunavyohifamu leo.
 
Nitampa secretary idea yeye ataniandikia barua hiyo ndio profession yao, niko mwaka wa pili chuo sijawahi kukutana na course yakuandika barua kwa level ya degree,,, hawategemei sisi kufanya kazi hizo wapo wataalamu wake.
Hahahahahaaaa
Nitampa secretary idea yeye ataniandikia barua hiyo ndio profession yao, niko mwaka wa pili chuo sijawahi kukutana na course yakuandika barua kwa level ya degree,,, hawategemei sisi kufanya kazi hizo wapo wataalamu wake.
 
Kabla sija kuambia ukubwa wa UDSM,naomba nikutahadharishe kuwa kutokana na "Argument" unaweza tiliwa mashaka kama kweli umeingia hapokwa sifa sitahiki hapo maana hicho ni chuo cha "GREAT THINKER"
Sasa nakuja kwenye hoja zako:
1.Tunaposema Chuo kikubwa hatumaanishi ukubwa wa eneo,bali ni taaluma inayotolewa kwa kuzingatia wataalamu waliopo chuoni hapoukilinganisha na vyuo vingine.
2.UDSM ndiyo chuo kikuu cha kwanza nchini tangu Tanzania ipate Uhuru.
3.UDSM ndiyo chuo kilichozalisha vyuo vingine vidogovidogo na sasa ni vikubwa kabisa kama vile, SUA,MUHIMBILI,ARDHI, MUCE,DUCE japo bado viko chini yake.
4.UDSM ni chuo bora chenye wataalamu wakutosha ambao vyuo vingi nchini na nje pia wamezalishwa hapo
5.UDSM ni chuo chenye ubora wa kitaifa na kimataifa in its programmes and research qualities
6.UDSM is a University with big reputation
HAYO NI MACHACHE TU
Mpaka mda huu UDSM imeleta/imegundua nini??? Mleta mada kawa open...kataja sua walichogundua, makerere pia!!! How about udsm!!???? Maana isijekua jina tu kumbe hamna kitu
 
Back
Top Bottom