Ubora wa UDSM ni upi?

Ubora wa UDSM ni upi?

Umesema kweli, ila sema either umesahau au hujapenda kuweka bayana kuwa wapo wengi tu ambao ni viongozi bora na waadilifu waliotoka hapa, ukizingatia hamna course ya ufisadi apa.
Mi ndhani ipo ila haionekani how to become corrupt
 
Kabla sija kuambia ukubwa wa UDSM,naomba nikutahadharishe kuwa kutokana na "Argument" unaweza tiliwa mashaka kama kweli umeingia hapokwa sifa sitahiki hapo maana hicho ni chuo cha "GREAT THINKER"
Sasa nakuja kwenye hoja zako:
1.Tunaposema Chuo kikubwa hatumaanishi ukubwa wa eneo,bali ni taaluma inayotolewa kwa kuzingatia wataalamu waliopo chuoni hapoukilinganisha na vyuo vingine.
2.UDSM ndiyo chuo kikuu cha kwanza nchini tangu Tanzania ipate Uhuru.
3.UDSM ndiyo chuo kilichozalisha vyuo vingine vidogovidogo na sasa ni vikubwa kabisa kama vile, SUA,MUHIMBILI,ARDHI, MUCE,DUCE japo bado viko chini yake.
4.UDSM ni chuo bora chenye wataalamu wakutosha ambao vyuo vingi nchini na nje pia wamezalishwa hapo
5.UDSM ni chuo chenye ubora wa kitaifa na kimataifa in its programmes and research qualities
6.UDSM is a University with big reputation
HAYO NI MACHACHE TU
Wataalamu kivipi mkuu?? Na mmefanya nini mpaka mjiite wataalamu?? Bora mtu usome Katika chuo cha SUA ambacho kimegundua panya wanaotegua bomu kuliko chuo kinachozalisha watu ambao hatuoni tija yao katika jamii( wataalamu hewa) hata kutengeneza penseli tu hawajui hao wataalamu au utaalamu katika siasa???
 
Naona hoja yangu watu mnaikwepa mimi nataka kujua ni ugunduzi gani au utafiti ulio fanywa UDSM ambao umesaidia TAIFA unaniambia niende coet kwani panya wa kutegua mabomu SUA wamefungiwa sua 2 si wanapelekwa kwa jamii
 
Jibu ninalopewa naambiwa niende COET workshop je diamond angekuwa anajifungia chumbani na kuimba angejulikana kweli
 
Kama Kazi hamna sio kosa la udsm, kupigwa kwenye interview sio sababu ya udsm pia, nashindwa kutofautisha unachosema na ule umbea wa waliokosa chance yakusoma udsm wakitaka kujitetea kwanini hawastahili kuwa udsm, ila nikupe fact tu kwa kozi nnayosoma hakuna ambaye yupo mtaani kwa kukosa ajira.
Fikilieni nje ya box.

Tatizo si ajila au kupata ajira.. mtoa mada anamaanisha tofauti na kupata ajira kama wanafunzi wa chuo cha taifa mmeleta impact gani katika jamii...au chuo chako udsm kimeleta tafiti gani na kiitwe chuo bora kinavhoweza kuiwakilisha nchi kimataifa.

Inshu ya ajila ni soko na kozi uliyosoma.

Hata vyuo vingine kama nyanja ya engineering nao wanafunzi wanapata ajira tena wengine hata wakiwa hawajamaliza vyuo.
Nadhani mtoa mada alitaka kujua "ukuu" wa UDSM kitafiti na kiuvumbuzi sasa naona wachangiaji wengi tumeamua "kurusha mawe".

Anyway ningekua najua ningemjibu, ila kwa sasa wacha nishuhudie mashambulizi makali kuelekea kwa mtoa mada.
 
Kabla sija kuambia ukubwa wa UDSM,naomba nikutahadharishe kuwa kutokana na "Argument" unaweza tiliwa mashaka kama kweli umeingia hapokwa sifa sitahiki hapo maana hicho ni chuo cha "GREAT THINKER"
Sasa nakuja kwenye hoja zako:
1.Tunaposema Chuo kikubwa hatumaanishi ukubwa wa eneo,bali ni taaluma inayotolewa kwa kuzingatia wataalamu waliopo chuoni hapoukilinganisha na vyuo vingine.
2.UDSM ndiyo chuo kikuu cha kwanza nchini tangu Tanzania ipate Uhuru.
3.UDSM ndiyo chuo kilichozalisha vyuo vingine vidogovidogo na sasa ni vikubwa kabisa kama vile, SUA,MUHIMBILI,ARDHI, MUCE,DUCE japo bado viko chini yake.
4.UDSM ni chuo bora chenye wataalamu wakutosha ambao vyuo vingi nchini na nje pia wamezalishwa hapo
5.UDSM ni chuo chenye ubora wa kitaifa na kimataifa in its programmes and research qualities
6.UDSM is a University with big reputation
HAYO NI MACHACHE TU
Ujajibu swali,yani UDSM wamesaidia vipi Taifa au wamevumbua nini? hilo ndio swali.
 
Naona hoja yangu watu mnaikwepa mimi nataka kujua ni ugunduzi gani au utafiti ulio fanywa UDSM ambao umesaidia TAIFA unaniambia niende coet kwani panya wa kutegua mabomu SUA wamefungiwa sua 2 si wanapelekwa kwa jamii
Unaleta ubishi usio na maana yoyoye.. Nimekuandkia mojawapo ya tafiti ambayo imefanywa na dr. Wa CoET nkakuambia ukitaka ujifunze zaidi nenda workshop ya CoET ukajionee vtu wanavyofanya.. Hutoona mtumishi wa chuo anakuja kukujibu humu chuo kina College zaidi ya 6 kina watumishi ngazi ya prof, dr wa kutosha unazani hvyo vyeo wanapewa kama pambo tu..
Kama unataka kweli kujifunza fanya kama nilivyokuambia ila kama unataka ubishani siku njema..
Kuna prof lwambuka wa CoET huyu alifanya study ya effect ya wind kwenye majengo na watu mpaka leo wanatumia study yake.
Kuna dr. Nyaoro mtaalm wa Geotechnical engineering amefanya mambo makubwa sana kwenye soil mechanics.
Hutoona wanakuja kukujibu humu.
Kuna dr. Makunza amefanya research ya low cost building inatumik sasa hv.
Kuna prof Mrema mtaalm wa building materials kafanya research nying kweny building materials..
Hydroelectric power za tanzania zmekua design na prof mtaro wa pale CoET,
Geotechnical engineer wa nyerere bridge ni dr. Wa CoET
 
Unaleta ubishi usio na maana yoyoye.. Nimekuandkia mojawapo ya tafiti ambayo imefanywa na dr. Wa CoET nkakuambia ukitaka ujifunze zaidi nenda workshop ya CoET ukajionee vtu wanavyofanya.. Hutoona mtumishi wa chuo anakuja kukujibu humu chuo kina College zaidi ya 6 kina watumishi ngazi ya prof, dr wa kutosha unazani hvyo vyeo wanapewa kama pambo tu..
Kama unataka kweli kujifunza fanya kama nilivyokuambia ila kama unataka ubishani siku njema..
Kuna prof lwambuka wa CoET huyu alifanya study ya effect ya wind kwenye majengo na watu mpaka leo wanatumia study yake.
Kuna dr. Nyaoro mtaalm wa Geotechnical engineering amefanya mambo makubwa sana kwenye soil mechanics.
Hutoona wanakuja kukujibu humu.
Kuna dr. Makunza amefanya research ya low cost building inatumik sasa hv.
Kuna prof Mrema mtaalm wa building materials kafanya research nying kweny building materials..
Hydroelectric power za tanzania zmekua design na prof mtaro wa pale CoET,
Geotechnical engineer wa nyerere bridge ni dr. Wa CoET
Bro unavyosema research ya building materials tunaomba mfano WA hayo majengo. Maana huku kwetu ujenzi ni mchanga,cement,.
Na kama huo ugunduz ni applicable. Basi udsm haina wataalam wa public relation
 
Kwa wale wahandisi nazani wanajua vzuri changamoto za expansive soil kwenye barabara pamoja na kwenye nyumba. Waliogundua njia za kuzuia effect ya expensive soil by two stage stabilization ni dr. Wa udsm pale CoET na wa Ardhi.
hii njia una add kwanza lime kwa ajili ya kupunguza plasticity na kulower PH value then una add cement kw ajili ya kuipa strength soil yako..

Huu ni uvumbuzi ambao umesaidia sana fani ya uhandisi especially wa barabara.
Ukitaka kuona tafiti nyingi znazofanya na CoET unaweza kuja pale kwenye workshop hope utapata majibu yako mengi.
Nmeipenda hiyo project kwani wamekuja kuintroduce tanzania,lakini hyo tafiti mbona ilifanywa na NATIONAL LIME ASSOCIATION hipo nchini marekani na washaandika vitabu vyake na pia zipo tutorial namna ya kuendesha hyo project........natoa hongera kubwa kwao kwa sababu wenyewe ndo wameintroduce hapa bongo na sio kwa uvumbuzi
 
Bro unavyosema research ya building materials tunaomba mfano WA hayo majengo. Maana huku kwetu ujenzi ni mchanga,cement,.
Na kama huo ugunduz ni applicable. Basi udsm haina wataalam wa public relation
Kuna building materials zaid ya hzo cement.. Mfan kuna pozolana, unaeza tumia volcano ashes kama mbadala wa cement, unaeza kutumia pumba za mpunga pamoja na chokaa ikawa mbadala wa cement.. Na hzo study zote zimefanywa hapa Tanzania n zmeleta positive result.
 
Nmeipenda hiyo project kwani wamekuja kuintroduce tanzania,lakini hyo tafiti mbona ilifanywa na NATIONAL LIME ASSOCIATION hipo nchini marekani na washaandika vitabu vyake na pia zipo tutorial namna ya kuendesha hyo project........natoa hongera kubwa kwao kwa sababu wenyewe ndo wameintroduce hapa bongo na sio kwa uvumbuzi
Ningekua najua jinsi ya kueka link ningekuekea lakini hyo procedure ilikua invented na dr wa CoET na wa ardhi.. Research zingine zilikua zina tumia one of materials either lime au cement sio kwa pamoja.
Na hiki ktu ka mara ya kwanza kilivumbuliwa 2011 na kikawa applied barabara ya chalinze_kibaha
 
Dogo, UDSM unamfahamu Kitila Mkumbo tu? Kwani kama ulikuwa na majibu yako ulileta uzi hapa wanini? swali lenyewe lisingekupa majibu.
Huwezi uliza juu ya TAMBAZA Sekondari halafu utake mifano kutoka VETA.
Cheki hapa:


UDSM ni chuo kikubwa na kikongwe je ukubwa wa UDSM ni nini au unatokana na ukubwa wa eneo au ubora wa elimu.

Naomba mnisaidie ukiondoa kuzalisha maprofesa je UDSM imefanya/inafanya tafiti au mradi gani katika kusaidia Taifa.

NB Makerere -wametengeneza gari
SUA-panya wa kutegua mabomu
UDOM-?
DIT-?
Hivi UDOM NA DIT ni UDSM? Angalau Reference ya MAKERERE na SUA ni sawa,japo hiyo Sua bado ni product ya UDSM
 
Ningekua najua jinsi ya kueka link ningekuekea lakini hyo procedure ilikua invented na dr wa CoET na wa ardhi.. Research zingine zilikua zina tumia one of materials either lime au cement sio kwa pamoja.
Na hiki ktu ka mara ya kwanza kilivumbuliwa 2011 na kikawa applied barabara ya chalinze_kibaha
yah nice tumeikubali hiyo introduction ya hiyo project nchini kwetu ni tija kubwa sana kwa taifa kuwa na huyo msomi ....... lakini usiite ni uvumbuzi.
 
yah nice tumeikubali hiyo introduction ya hiyo project nchini kwetu ni tija kubwa sana kwa taifa kuwa na huyo msomi ....... lakini usiite ni uvumbuzi.
Mkuu wew kwako uvumbuzi ni nn? Hiko ktu kilikua hakijawah kufanyika popote pale na kimefanyika CoET. Sasa utashindwaje kuita uvumbuzi.. Au uvumbuzi mpaka afanye mzungu tu?
 
Kazi ipo sana. Ni wajibu wa UDSM kujiongeza na kuwafikia watanzania. Hivi majuzi April 23, 2016 nilisikia UDSM wana mpango wa kurusha satellite ya mawasiliano ifikapo mwaka 2023. Lakini kwa hali hii inatoa wasiwasi kama hiyo satellite itarushwa kama walivyokusudia.
 
Mkuu wew kwako uvumbuzi ni nn? Hiko ktu kilikua hakijawah kufanyika popote pale na kimefanyika CoET. Sasa utashindwaje kuita uvumbuzi.. Au uvumbuzi mpaka afanye mzungu tu?
pitia majarida ya lime national association ndo utanielewa kwamba nn namaanisha ukisema kwani ukisema ndo hao ndo watanzania wa kwanza kuintroduce project fulani tanzania kuna shida.??........ukisema uvumbuzi maanake ni kitu kipya akijawai kuexist kabisa duniani.....kwa ualisia hakuna chuo chochote kilichovumbua ktu hapa tanzania ila vyuo vingi vmeintroduce tanzania (uvumbuzi ni kama ule aliofanya george hortz kupata magari na baiskeli znazoweza kujiendesha ss mimi nkiileta hyo tanzania haimaanishi kuwa nmevumbua kwa sababu tayari kuna machapisho yake mtandaoni) ndo mana nkakwambia hata hao wasomi wanaointroduce hzo project kwa mara ya kwanza nchini wanatija pia,sipo upande wa uchuo zaidi ....... ila mm na wewe tunapishana uelewa wa kauli tu
 
pitia majarida ya lime national association ndo utanielewa kwamba nn namaanisha ukisema kwani ukisema ndo hao ndo watanzania wa kwanza kuintroduce project fulani tanzania kuna shida.??........ukisema uvumbuzi maanake ni kitu kipya akijawai kuexist kabisa duniani.....kwa ualisia hakuna chuo chochote kilichovumbua ktu hapa tanzania ila vyuo vingi vmeintroduce tanzania (uvumbuzi ni kama ule aliofanya george hortz kupata magari na baiskeli znazoweza kujiendesha ss mimi nkiileta hyo tanzania haimaanishi kuwa nmevumbua kwa sababu tayari kuna machapisho yake mtandaoni) ndo mana nkakwambia hata hao wasomi wanaointroduce hzo project kwa mara ya kwanza nchini wanatija pia,sipo upande wa uchuo zaidi ....... ila mm na wewe tunapishana uelewa wa kauli tu
Mkuu nazani hutaki kukubali tu ukweli.. Wew unachokisema ni kuapply theory.
Nmeptia hayo majarida unayosema na yote yameonsha kuwa wanatumia either lime, or cement lakini sio kwa pamoja. Kutumika kwa pamoja kwa ajili ya kufanya stabilization ilifanywa na hawa wadau ndo mana wakaita two stage stabilization inventors na hili ndo liliondoa tatzo la expansive soil.
Jarida la hawa ma. Dr liliandikwa 2011 nazani hadi humu Jf thread yake ipo..
 
Mkuu nazani hutaki kukubali tu ukweli.. Wew unachokisema ni kuapply theory.
Nmeptia hayo majarida unayosema na yote yameonsha kuwa wanatumia either lime, or cement lakini sio kwa pamoja. Kutumika kwa pamoja kwa ajili ya kufanya stabilization ilifanywa na hawa wadau ndo mana wakaita two stage stabilization inventors na hili ndo liliondoa tatzo la expansive soil.
Jarida la hawa ma. Dr liliandikwa 2011 nazani hadi humu Jf thread yake ipo..
haya bwana tusibishane sana ndugu
 
imebak jina2.. uo ndo ukwel.. fild wanahribu vibayaa... hyo n ixara hta wakmlza wtkua vlaza2.... wanaxndwa hta n SAUT
 
Back
Top Bottom