Bibititi1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 464
- 218
Katika uchumi, sera ya Mhe. Rais Samia Suluhu ni sekta binafsi kufanya biashara na Serikali kuwa mwezeshaji. Hiyo ndiyo njia pekee mataifa makubwa yanajijenga hivi.
Manufaa ya uchumi shirikishi.
Kukua kwa mzunguko wa fedha
Kuboresha biashara kwa wananchi kupitia ushindani na huduma kwa wakati.
Kutaondoa mgongano wa kimaslahi Serikalini.
Muhimu watu kujianda na fursa wajibu kwanza kabla ya lawama.
#MamaYukoKazini
Manufaa ya uchumi shirikishi.
Kukua kwa mzunguko wa fedha
Kuboresha biashara kwa wananchi kupitia ushindani na huduma kwa wakati.
Kutaondoa mgongano wa kimaslahi Serikalini.
Muhimu watu kujianda na fursa wajibu kwanza kabla ya lawama.
#MamaYukoKazini