Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
All is well
tatizo ni kwamba sioni some one anajenga hoja zake for the the benefit of Tanzanians interests,
Jana kuna mtu karusha topic hapa akionyesha namna gani wakulima wa kutoka Marekani (Jimbo la Iowa)
walivyonunua ardhi kubwa sana ya Tanzania kwa Malengo ya kuja kuendesha kilimo cha kisasa, na
kuwatrain watanzania kuendesha kilimo cha kisasa, for whose benefits, I do not know?
Wakulima hawa hawa wa IOWA ndio nasikia wanaongoza kule marekani kwa kupewa subsidy,
subsidy ni socilist practice ambayo bado inakumbatiwa na mabepari in favour of their
agriculturalisits, surprisingly, wakulima hawa hawa wa IOWA two days ago wamemshutumu
Obama on his face kwamba agenda yake ya health insurance ni socialistic and they do not want it?
very contradicting?. they love both socialism and capitalism at a go.
Back to Tanzania, tunacopy economic strategies na kuziimplement bila ya kuziblend zisuit our,
situation, Hakuna ecomomic model ambayo ni mbaya, wala nzuri kuliko nyingine, zote ziko okay,
inategemeana na trend kwenye ecomonies zingine, socialism ikiwa blended inteligently huku ikipewa
pilitical back up yenye masilahi ya uma it can work out anywhere.
yes socialism can be very well practised in capitalistic environment and vise versa, issue ni dhamila
ya kuzitekeleza agenda hizo kwa dhati kabisa, yaani serikali yetu na nyinge yoyote ile inatakiwa
kuangalia interests za majority katika any model. it will work it out. given, ujinga hasa wa rushwa, ubaguzi,
wizi na uovu mwingine unakuwa on check seriously all the time.
Hii mambo amefanya Mwinyi na Mkapa ya kuabandon socialism ya nyerere kabisa kabisa (badala ya kuiblend)
na all of a sudden, tena bila maelezo ya kutosha wakatuletea ubepari, haina tofauti na kuweka barafu
kwenye glass then ghafla unaitoa na kuweka maji ya moto a thousand of centgrade degrees and you brake the glass.
Ndio inatufanya kuhangaika kutafuta the best economic model
All models are okay for some time, it depends how you play them out.
tatizo ni kwamba sioni some one anajenga hoja zake for the the benefit of Tanzanians interests,
Jana kuna mtu karusha topic hapa akionyesha namna gani wakulima wa kutoka Marekani (Jimbo la Iowa)
walivyonunua ardhi kubwa sana ya Tanzania kwa Malengo ya kuja kuendesha kilimo cha kisasa, na
kuwatrain watanzania kuendesha kilimo cha kisasa, for whose benefits, I do not know?
Wakulima hawa hawa wa IOWA ndio nasikia wanaongoza kule marekani kwa kupewa subsidy,
subsidy ni socilist practice ambayo bado inakumbatiwa na mabepari in favour of their
agriculturalisits, surprisingly, wakulima hawa hawa wa IOWA two days ago wamemshutumu
Obama on his face kwamba agenda yake ya health insurance ni socialistic and they do not want it?
very contradicting?. they love both socialism and capitalism at a go.
Back to Tanzania, tunacopy economic strategies na kuziimplement bila ya kuziblend zisuit our,
situation, Hakuna ecomomic model ambayo ni mbaya, wala nzuri kuliko nyingine, zote ziko okay,
inategemeana na trend kwenye ecomonies zingine, socialism ikiwa blended inteligently huku ikipewa
pilitical back up yenye masilahi ya uma it can work out anywhere.
yes socialism can be very well practised in capitalistic environment and vise versa, issue ni dhamila
ya kuzitekeleza agenda hizo kwa dhati kabisa, yaani serikali yetu na nyinge yoyote ile inatakiwa
kuangalia interests za majority katika any model. it will work it out. given, ujinga hasa wa rushwa, ubaguzi,
wizi na uovu mwingine unakuwa on check seriously all the time.
Hii mambo amefanya Mwinyi na Mkapa ya kuabandon socialism ya nyerere kabisa kabisa (badala ya kuiblend)
na all of a sudden, tena bila maelezo ya kutosha wakatuletea ubepari, haina tofauti na kuweka barafu
kwenye glass then ghafla unaitoa na kuweka maji ya moto a thousand of centgrade degrees and you brake the glass.
Ndio inatufanya kuhangaika kutafuta the best economic model
All models are okay for some time, it depends how you play them out.