Ubepari unaporomoka, What's Next?

Mnachoshindwa kuelewa China ni mabepari kuliko US...jumla ya bidhaa made in China zinazonunuliwa US ni merely 2.7%.Na ni upotoshaji mkubwa ukisema China inahodhi 45% of US DEBT,ukweli ni only 8%,wamarekani wanahodhi asilimia kubwa ya deni lao.
Uchumi wa marekani unakua vizuri waki-implement socialistic policies,kuliko wakikumbatia capitalists policies.I got facts,ukiona uvivu kufuatilia I will be more than happy to copy and paste them.
Kobello kweli wewe ni Ho Chi Minh, manake unampenda sana huyo mvietnam, umeweka avatar yake na sasa unaufagilia ujamaa
 
Kobello kweli wewe ni Ho Chi Minh, manake unampenda sana huyo mvietnam, umeweka avatar yake na sasa unaufagilia ujamaa
Mtu anayeipenda nchi na watu wake,anayeheshimiwa na watu wake pamoja na maadui zake.
Ujamaa ndiyo njia pekee au mfumo pekee ambao jamii yoyote ya kistaarabu utaifuata...the rest is just for animals.
 
Ubepari unaweza kustawi vizuri zaidi mahali ambapo:

a. Hakuna usawa (kuna ukandamizaji na unyonyaji)
b. Hakuna usawa wa utu (mahali ambapo wapo watu wanaowaona watu wengine si sawa na wao kwa utu na hivyo mastahili yao yoyote ni out of charity not out of necessity due to their dignity.


Uporomoko wa uchumi umetokana na kushindwa kwa ubepari kusustain policies za kiukandamizaji na kinyonyaji.
 
siyo kureplace capitalism - hatuwezi kuondoka na capitalism; tunazungumzia balancing capitalism au tunaweza tukasema ni modern capitalism in contrast to classical capitalism. In other words we need a new synthesis of a modern economic theory. We are talking about a theory that will describe a modern political system which will explain the relation between private capital and public good, foreign investment and local needs, laws and order as they relate to human rights and justice. Lakini kubwa zaidi ni theory ambyo itaangalia private property and private consolidation of wealth as they impact or relate to the needs of the large community.

Unaongelea Ubepari wa Dola (State Capitalism) au Usoshalisti wa Kidemokrasia (Social Democracy)?
 
siyo kureplace capitalism - hatuwezi kuondoka na capitalism; tunazungumzia balancing capitalism au tunaweza tukasema ni modern capitalism in contrast to classical capitalism. In other words we need a new synthesis of a modern economic theory. We are talking about a theory that will describe a modern political system which will explain the relation between private capital and public good, foreign investment and local needs, laws and order as they relate to human rights and justice. Lakini kubwa zaidi ni theory ambyo itaangalia private property and private consolidation of wealth as they impact or relate to the needs of the large community.

that sounds like NWO
 
ISLAM IS THE NEXT (naona watu wanashindwa kutoa majibu wamebaki tu kujadili bila kutaja mfumo unaotufaa ) tembea duniani kote kwa sasa ISLAM system ndio inayotake place from east to west kazi kwenu anabisha na asuburi na mwenye masikio na asikie
 
ISLAM IS THE NEXT (naona watu wanashindwa kutoa majibu wamebaki tu kujadili bila kutaja mfumo unaotufaa ) tembea duniani kote kwa sasa ISLAM system ndio inayotake place from east to west kazi kwenu anabisha na asuburi na mwenye masikio na asikie

Kuna kaukweli fulani katika hili tukiangalia kukua kwa dini hii Ulaya na Marekani na mifumo yake ya kibenki ila ndio hivyo tena Ubeberu na Ukruzedi unazidi kuzidi kujikita Mashariki ya Mbali, kuipiga Libya, Afghanistan, Iraki na kadhalika!
 
ISLAM IS THE NEXT (naona watu wanashindwa kutoa majibu wamebaki tu kujadili bila kutaja mfumo unaotufaa ) tembea duniani kote kwa sasa ISLAM system ndio inayotake place from east to west kazi kwenu anabisha na asuburi na mwenye masikio na asikie

Kuna kaukweli fulani katika hili tukiangalia kukua kwa dini hii Ulaya na Marekani na mifumo yake ya kibenki ila ndio hivyo tena Ubeberu na Ukruzedi unazidi kuzidi kujikita Mashariki ya Mbali, kuipiga Libya, Afghanistan, Iraki na kadhalika!

pelekeni upuuzi wenu jukwaa la dini. wapuuzi wenzenu wako huko wanatukanana tu
 
Unaongelea Ubepari wa Dola (State Capitalism) au Usoshalisti wa Kidemokrasia (Social Democracy)?
Nadhani anazungumzia social democracy.....ubepari wa dola ni jina ambalo westerners wamelianzisha,kuonyesha kuwa dola ikimiliki capital itaharibu free market.Watanzania kwa sasa hivi wengi wameshtukia mawazo hayo kutoka Washington consesus.
Cha muhimu ni kuwa na serikali ambayo kikatiba inaamini kuwa maliasili yote ya nchi inamilikiwa na wananchi.Na kiongozi yoyote wa nchi tangu ngazi ya kijiji mpaka taifa anachaguliwa kidemokrasia na anaweza kuwajibishwa kidemokrasia.
Pia inasaidia sana kama wabadhilfu na wala rushwa watanyongwa less than a week after being found guilty.
 
pelekeni upuuzi wenu jukwaa la dini. wapuuzi wenzenu wako huko wanatukanana tu
Kama ni upuuzi sema basi wewe unachofikiria ni mfumo gani utatufaa binadamu baada ya huu ubepari sio kazi yako kucrash tu maana hata huko ulaya islamic system ndio inayotaka place zaidi kwenye mifumo yao sasa sema lako na toa wazo lako huu sio udini tunajadili mambo kwa uwanja mpana hebu sema wachangiaji wangapi wametaja mfumo ambao wanautaka mpaka sasa fungua akili mwana jamiii usiwe na mawazo mgando ISLAM ndio inachukuwa hatamu duniani kwa sasa its non stop tembelea ulaya sasa uone
 
Kama ni upuuzi sema basi wewe unachofikiria ni mfumo gani utatufaa binadamu baada ya huu ubepari sio kazi yako kucrash tu maana hata huko ulaya islamic system ndio inayotaka place zaidi kwenye mifumo yao sasa sema lako na toa wazo lako huu sio udini tunajadili mambo kwa uwanja mpana hebu sema wachangiaji wangapi wametaja mfumo ambao wanautaka mpaka sasa fungua akili mwana jamiii usiwe na mawazo mgando ISLAM ndio inachukuwa hatamu duniani kwa sasa its non stop tembelea ulaya sasa uone

unajua hili nimewahi kulifikiria sana na ni vizuri kuuliza: Uislamu kama mfumo wa uchumi unakaribiana na ubepari au ujamaa?
 
Kwa zaidi ya Miongo miwili sasa (2 decade ) nchi zinazoendelea na maskini sana duniani ziliaminishwa kwamba kwa kufuata mfumo wa kibepari nchi hizo zitaokoka katika janga la kuangamia kiuchumi kwenye "dunia kijiji" au al maarufu Global village.

Lakini sasa mfumo huo wa Kibepari unaporomoka kama ulivyoporomoka mfumo wa kikomunisti Urusi. Kama mbadala wa Ukomunisti na Ushoshalisti ulikuwa ni ubepari na ubepari sasa unaporomoka ni nini kitaziba ombwe litakalosababishwa na kuporomoka kwa ubepari? Tulikuwa tunaambiwa hata humu ndani tuliambiwa pia. "ujamaa ulituchelewesha kuendelea" Je sasa tuna haja ya kujivunia ubepari?

Maneno kama vile "Austerity" "Slump" au "Crunch" pia "Recession" tumekutana na " Budget talks stalemate in US" kuna hili pia "china hold 45% of US bond" na mengineyo mengi ni dalili za kuanguka kwa mfumo wa kibepari.

Ni mawazo tu usikasirike.

Ukiangalia Marx's theory of history baada ya ubepari ni ujamaa halafu communism. Na hapa hakuna kuruka stage kama tulivyojaribu sisi kuruka stage ya ubepari!
 
unajua hili nimewahi kulifikiria sana na ni vizuri kuuliza: Uislamu kama mfumo wa uchumi unakaribiana na ubepari au ujamaa?

Nadhani Uislamu - na hata Ukristo ule wa Kitabu cha Matendo - uko karibu zaidi na na Ujamaa ila ndio hivyo tena 'Protestant Ethics/Itikeli ya Kiprotestanti', 'Civilizing Mission/Misheni ya Ustaarabishaji', 'Imperialism/Ubeberu' na 'Crusade/Ukruzedi' vimeuchakachua Ukristo!
 
Kwa Kuongezea hap mifumo ya Kibenki ya Uislamu na Ukristo inapingana na tozo la riba ambalo ni moja ya misingi ya Kibepari!
 
naamini ktk ujamaa but with some capitalism strategies! Tungepata kiongozi mwenye maono atutawale hata kibabe for longtime but japo tuwe na identity ya wapi tunataka tufike,kiongozi mjamaa mwenye msimamo wa wastani
 
Kwa maoni yangu mfumo chotara ndio ilitakiwa kuwa hatua ya juu kabisa ya maendeleo. Katika ujamaa watu wanazalisha, na wanagawana kutokana na kiasi gani mtu kazalisha. Kwenye ukomunist watu wanagawiwa sawa bila kujali umezalisha kiasi gani. Ktkt ubepari inaangaliwa nani mwenye uwezo wa kujilimbikizia mali
 
Nadhani Uislamu - na hata Ukristo ule wa Kitabu cha Matendo - uko karibu zaidi na na Ujamaa ila ndio hivyo tena 'Protestant Ethics/Itikeli ya Kiprotestanti', 'Civilizing Mission/Misheni ya Ustaarabishaji', 'Imperialism/Ubeberu' na 'Crusade/Ukruzedi' vimeuchakachua Ukristo!
Samahani ila nitatofautiana na wewe kwenye hili.Mifumo yote inaruhusu kumiliki watumwa,pia chukulia mfano wa talanta kwenye biblia,utaona kwamba ubepari unafagiliwa kiasi fulani.
 
Nadhani anazungumzia social democracy.....ubepari wa dola ni jina ambalo westerners wamelianzisha,kuonyesha kuwa dola ikimiliki capital itaharibu free market.Watanzania kwa sasa hivi wengi wameshtukia mawazo hayo kutoka Washington consesus.
Cha muhimu ni kuwa na serikali ambayo kikatiba inaamini kuwa maliasili yote ya nchi inamilikiwa na wananchi.Na kiongozi yoyote wa nchi tangu ngazi ya kijiji mpaka taifa anachaguliwa kidemokrasia na anaweza kuwajibishwa kidemokrasia.
Pia inasaidia sana kama wabadhilfu na wala rushwa watanyongwa less than a week after being found guilty.

Hapana, dhana ya Ubepari wa Dola (State Capitalism) wananadharia wake ni wakomunisti wenzako, kina Raya Dunayevskaya na CLR James - cheki:

CLR James and Raya Dunayevskaya (Johnson-Forest Tendency), 1950
State Capitalism and World Revolution

Source: State Capitalism and World Revolution, by C.L.R. James in collaboration with Raya Dunayevskaya & Grace Lee; with a new introduction by Paul Buhle. Chicago: Charles H. Kerr Publishing Company, 1986. Chapter XI, pp. 113-135. Original publication: 1950. Note: Asterisks were changed to numbered footnotes for greater clarity.

When we reach state-capitalism, one-party state, cold war, hydrogen bomb, it is obvious that we have reached ultimates. We are now at the stage where all universal questions are matters of concrete specific urgency for society in general as well as for every individual. As we wrote in The Invading Socialist Society:"It is precisely the character of our age and the maturity of humanity that obliterates the opposition between theory and practice, between the intellectual occupations of the ‘educated' and the masses." (p. 14.)All previous distinctions, politics and economics, war and peace, agitation and propaganda, party and mass, the individual and society, national, civil and imperialist war, single country and one world, immediate needs and ultimate solutions – all these it is impossible to keep separate any longer. Total planning is inseparable from permanent crisis, the world struggle for the minds of men from the world tendency to the complete mechanization of men.State-capitalism is in itself the total contradiction, absolute antagonism. In it are concentrated all the contradictions of revolution and counter-revolution. The proletariat, never so revolutionary as it is today, is over half the world in the stranglehold of Stalinism, the form of the counter-revolution in our day, the absolute opposite of the proletarian revolution.It is the totality of these contradictions that today compels philosophy, a total conception. Hence the propaganda ministry of Hitler, the omnipresent orthodoxy of Stalinism, the Voice of America. The war over productivity is fought in terms of philosophy, a way of life. When men question not the fruits of toil but the toil itself, then philosophy in Marx's sense of human activity has become actual.World War I plunged the world into complete chaos. Lenin between 1914 and 1917 established in theory: (a) the economic basis of the counter-revolutionary Social Democracy (The economic basis of imperialist war had been established before him.); (b) the Soviet democracy in contradistinction to bourgeois democracy. But before he did this, he had to break with the philosophical method of the Second International. He worked at this privately in a profound study of the Hegelian dialectic applied to Marx's Capital, the proletarian revolution and the dictatorship of the proletariat.Thirty years have now passed. Lenin's method of economic analysis is ours to use, not to repeat his findings. His political conception of complete abolition of bureaucracy and all ordering from above is today to be driven to its ultimate as the revolutionary weapon against the one-party state. But today the problems of production which Lenin had to tackle in Russia in 1920 are universal. No longer to be ignored is the philosophical method he used in holding fast to the creation of a new and higher social organization of labor as "the essence" of the dictatorship of the proletariat. It is not the Marxists who have compelled society to face this issue. Today in every layer of society, the great philosophical battles that matter are precisely those over production, the role of the proletariat, the one-party state, and many of the combatants are professed dialecticians.The crisis of production today is the crisis of the antagonism between manual and intellectual labor. The problem of modern philosophy from Descartes in the sixteenth century to Stalinism in 1950 is the problem of the division of labor between the intellectuals and the workers.

Philosophy and State Capitalism by C.L.R. James

 
Kwa Kuongezea hap mifumo ya Kibenki ya Uislamu na Ukristo inapingana na tozo la riba ambalo ni moja ya misingi ya Kibepari!
Riba hulipwa in one way or another...ukiweka fedha benki,fedha hizo hutumika kuleta faida(some sort of interest) kwenye uwekezaji wa miradi mbalimbali....ni changa la macho tu.
 
The only solution is Islamic monetary system.

Most western banks have realized that and are now practicing Islamic banking.

The way, the only way is Islam. Its high noon peoples should realize Islam does not start and end in Madrasas as depicted, it is the only prosperous way of living, may it be economically, politically or socially.

At the time of Abdul Aziz Al Amawi, when Islaam was practiced as it should, politically, economically and socially, there was no "maskin". Peoples were having hard time in finding whom to give their "zakat", all were prosperous.
 
Back
Top Bottom