Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Kwanini sisi?

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,953
4,326
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubelgiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
 
Hivi kweli huoni katika nchi hizo za kaskazini maandamano ya vyama vya wafanyakazi na vile vyama vya siasa wakifanya shughuli zao ikiwa ni pamoja na maandamano n.k

Pengine ni kwa sababu wanatumia lugha ya kigeni ndiyo maana kuna ombwe la habari Tanzania
 
Kama ni kweli hawafanyi hiyo mikutano ya hadhara basi itakuwa ni kwa mujibu wa sheria zao. Japo nina shaka kubwa na hili maana kama USA Trump anafanya kampeni kila kukicha na hapigwi bomu la machozi wala kufungwa.

Kinachofanya liwe swala la mjadala huku kwetu ni sababu kwanza katiba inaruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa ila mbali ya kujinasibu kuwa taifa la kidemokrasia raisi kwa utashi na uoga wake wa kukosolewa kaamua tu kuzuia tu ikiwa muendelezo wa kidikteta wa aliemrithi kiti.

Pili katazo hilo linakosa mashiko sababu linazuia upinzani tu. Chama tawala kinafanya mikutano ya kisiasa bila bughudha.

Tatu na mwisho tuache kujimithilisha na mataifa makubwa maana hawana unafiki wa kuruhusu yale yenye manufaa kwa watawala tu. Kila kilicho kwenye sheria kinafuatwa kama kilivyo na hawana katiba kandamizi inayompa raisi nguvu ya umungu mtu.

Nje ya mada, hayo mataifa uliyotaja wanaruhusu ndoa za jinsia moja. Ushoga unalindwa na sheria, je na sisi tuige hilo pia kwa vile ni mataifa makubwa? Au kuiga kuna vipengele maalum kama ilivyo katazo la mikutano ya hadhara ya kisiasa kuwa kwa upinzani tu na sio CCM??
 
Ndugai namkubali sana .

Kuna aina Fulani ya Upuuzi ilitaka kuhamia Bungeni ya Kutoa kauli za kudhalilisha, kuzomea wengine walitoa hoja ZAO, Kupinga Kila kitu, Kudharau Kila MTU n.k.

Ndugai akasimama imara kuondoa uchafu Huo na kujifanya Bunge linyooke Mstari Mmoja.

Utasikia ,"Halima Mdee Nimekuona unazomea ,,Toka Nje", Nakupa dk Moja ,Toka Nje" .

Hahaaaa .

Halima Kistarabu kabisa anawaaga wenzake anatoka Nje. Esta Bulaya na Wewe Nimekuona , "Toka Nje"

Kama SIO Uimara Wa Job Ndugai Wapinzani 2015 /2020 walidhamiria kujifanya Bunge lisitawalike. Limgekua ni Bunge la fujo na kupigana ngumu.

Jobu Ndugai ni Mtanzania Mwenye Msimamo thabiti Wa kusimamia Sheria .

Wapinzani Wanatumia mikutano ya hadhara KUTUKANA badala ya kuleta será mbadala.

Lakini pia wapinzani wanakosa mbinu za kisiasa zinazoendana na mazingira.

Slaa,Lipumba, Marehemu Seif n.k. WALIKUA wanajua kucheza na Akili za watanzania na kufanikiwa kubadili Upepo Wa kisiasa.

Kwa Mfano Mbali na Kigoma ,hakuna Mwananchi nje ya Twitter anayefaham kuwa Zito ni kitu Gani. Ni MTU au ni Zito Kwa MAANA ya weight.?
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani...
Nchi hizo zimejitoaheleza
  1. Wanaandamana bila kupigwa mabomu
  2. Serikali haziwadukui wala kuwashughulikia wananchi wanaokosoa viongozi hadharani na mitandaoni
  3. Wananchi wasio na ajira wanapewa sociql wage
  4. Huduma za jamii hazina mbambamba
Sasa wewe unanyotoa kipengele cha mikutano ya hadhara pekee ili tujadili unatuona sisi wajinga au?

Wamefikia hapo walipo kupitiamikutano ya hadhara na harakati more than 400 years
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
True 100%
 
Ndugai namkubali sana .
Kuna aina Fulani ya Upuuzi ilitaka kuhamia Bungeni ya Kutoa kauli za kudhalilisha, kuzomea wengine walitoa hoja ZAO, Kupinga Kila kitu, Kudharau Kila MTU n.k.
Ndugai akasimama imara kuondoa uchafu Huo na kujifanya Bunge linyooke Mstari Mmoja.
Utasikia ,"Halima Mdee Nimekuona unazomea ,,Toka Nje", Nakupa dk Moja ,Toka Nje" .
Hahaaaa .
Halima Kistarabu kabisa anawaaga wenzake anatoka Nje. Esta Bulaya na Wewe Nimekuona , "Toka Nje"
Kama SIO Uimara Wa Job Ndugai Wapinzani 2015 /2020 walidhamiria kujifanya Bunge lisitawalike. Limgekua ni Bunge la fujo na kupigana ngumu.
Jobu Ndugai ni Mtanzania Mwenye Msimamo thabiti Wa kusimamia Sheria .

Wapinzani Wanatumia mikutano ya hadhara KUTUKANA badala ya kuleta será mbadala.

Lakini pia wapinzani wanakosa mbinu za kisiasa zinazoendana na mazingira.
Slaa,Lipumba, Marehemu Seif n.k. WALIKUA wanajua kucheza na Akili za watanzania na kufanikiwa kubadili Upepo Wa kisiasa.

Kwa Mfano Mbali na Kigoma ,hakuna Mwananchi nje ya Twitter anayefaham kuwa Zito ni kitu Gani. Ni MTU au ni Zito Kwa MAANA ya weight.?
Uko sahihi. Haya mapinzani uchwara yanalenga fujo tu
 
Nchi hizo zimejitoaheleza
  1. Wanaandamana bila kupigwa mabomu
  2. Serikali haziwadukui wala kuwashughulikia wananchi wanaokosoa viongozi hadharani na mitandaoni
  3. Wananchi wasio na ajira wanapewa sociql wage
  4. Huduma za jamii hazina mbambamba
Sasa wewe unanyotoa kipengele cha mikutano ya hadhara pekee ili tujadili unatuona sisi wajinga au?

Wamefikia hapo walipo kupitiamikutano ya hadhara na harakati more than 400 years
Lete ushahidi hapa.
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!
Huko ndoa za jinsia moja ni ruksa kwa hiyo na hilo tuwaige? Wacha upumbavu wewe!!!
 
Ndugai namkubali sana .
Kuna aina Fulani ya Upuuzi ilitaka kuhamia Bungeni ya Kutoa kauli za kudhalilisha, kuzomea wengine walitoa hoja ZAO, Kupinga Kila kitu, Kudharau Kila MTU n.k.
Ndugai akasimama imara kuondoa uchafu Huo na kujifanya Bunge linyooke Mstari Mmoja.
Utasikia ,"Halima Mdee Nimekuona unazomea ,,Toka Nje", Nakupa dk Moja ,Toka Nje" .
Hahaaaa .
Halima Kistarabu kabisa anawaaga wenzake anatoka Nje. Esta Bulaya na Wewe Nimekuona , "Toka Nje"
Kama SIO Uimara Wa Job Ndugai Wapinzani 2015 /2020 walidhamiria kujifanya Bunge lisitawalike. Limgekua ni Bunge la fujo na kupigana ngumu.
Jobu Ndugai ni Mtanzania Mwenye Msimamo thabiti Wa kusimamia Sheria .

Wapinzani Wanatumia mikutano ya hadhara KUTUKANA badala ya kuleta será mbadala.

Lakini pia wapinzani wanakosa mbinu za kisiasa zinazoendana na mazingira.
Slaa,Lipumba, Marehemu Seif n.k. WALIKUA wanajua kucheza na Akili za watanzania na kufanikiwa kubadili Upepo Wa kisiasa.

Kwa Mfano Mbali na Kigoma ,hakuna Mwananchi nje ya Twitter anayefaham kuwa Zito ni kitu Gani. Ni MTU au ni Zito Kwa MAANA ya weight.?
Umesahau kuweka namba ya simu Lucas
 
Kote duniani mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa hufanyika tu miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu. Hata huko Ubeligiji, Ujerumani, EU na USA ndivyo mambo yanavyokuwaga. Baada ya hapo the winner takes it all na upinzani huhamia bungeni.

Ndiyo maana ya demokrasia: the majority (washindi) rules and the minority (wapinzani) are allowed to talk in parliament and may be listened. Ukiona wananchi wanaandamana kipindi ambacho si cha uchaguzi, ujue ni kwa ajili ya kudai vitu kama kupunguziwa bei ya chakula ambacho kwao ni mkate lakini kwetu ni mchele, sembe na maharage. Au kuongezewa mshahara, kupunguziwa bei ya umeme, maji, dawa, usafiri etc

Sasa sisi ni nani kutaka kufanya mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa anytime every time? Tunataka the minority and the loosens of the election to be our rulers!!

Huko kwao unaona rais akikusanya watu na kufanya mikutano ya hadhara kila siku? Umewahi kusikia kila pesa ya umma ikitolewa huitwa ni fedha za rais? Chaguzi zao ziko huru na za haki, je huu uhuni unaofanyika hapa unaweza kufananisha na huko? Hapo ndipo tofauti zetu zilipo.
 
Back
Top Bottom