Ubalozi wa Tanzania UK Wamwita Kikwete Uingereza

Mapaparazi wameandaliwa ili kujua nini hasa kilichojiri hadi JK awe anakuja London kama jikoni? Hizi shopping za nguvu na utumiaji mbaya wa pesa ya walipa kodi ndio hasa chimbuko la misafara hii kwa kushirikiana na ubalozi kwani kuna pesa nyingi sana za serikali kupitia Ubalozi wetu hapo UK ambazo zinapatikana kwa njia ya VISA n.k. Viongozi kadhaa wa CCM na serikali wamefanya ni nyumba yao ya pili kwa mgongo wa walipa kodi.

Tukumbuke Robert Mugabe alikuwa anafanya safari kama hizi hadi pale wazungu walipomshitukia na kumpiga marufuku. Je, sisi wabongo ambao pesa yetu inachezewa kama upatu tusubiri huruma ya wazungu kumsimamisha huyu mfujaji?

JK hii ni safari ya ngapi unapiga kiguu na njia UK? Hata malkia hataki kukuona maana anajua Tanzania ni nchi masikini na haiwezi ku-afford misafara kama hii ya kila baada ya miezi kadhaa. Ilikuwaje ukubali uvundo kama huu?
 
Kikwete amealikwa mara kibao ila anakimbia! Ubalozi walishachoka simu zetu wengine. Tukipiga wakiona namba wanachunia tu mpaka inabidi kutumia pay phone.

Hongera watu wa UK, labda mtafanikiwa huko!
Usiwe na wasi MWK,ipo siku ataitikia wito tu!.Pakawa na Waafrika Wa Kike Kadhaa,mkaunda kama jumuiya fulani hivi,basi mtafanikiwa tu si unajua Kamanda wetu anaheshima kubwa sana inapofikia kwenye......wa kike? Usisahau pale UK wa-Tz wanawakilishwa na 'mwafrika wa kike' ati!
 
hapa JK kaniangusha ! Naona kama atakuja hapa UK, basi atakuja kwa masuala ya chama na si vingine ! JK umeniangusha mzee ! get your act together mzee !
 
Hakuna tofauti ya watu walio uingereza na watanzania walio nyumbani. Watu wanaokaa uingereza hawana mawazo mapya kwani uingereza ni kama Tanzania. Watanzania wanamapenzi ya kinafiki, kuna mpaka branch ya CCM, na watu wengi bado wana mawazo ya kufikiria watapata madara waibie wananchi. Kunawatu wachache tofauti lakini Uingereza sio Marekani. Kikwete anakimbia watu hapa kwasababu hana ajibu ya maswali. Maswali hajajengi nchi jamani tunataka Action.

Watanzania ni wasanii. Rafiki yangu alikuwa mwanachama wa chama cha viziwi, chama cha elimu ya watu wazima, na vyama vyote unavyojua wewe. Nilipoouliza ana mchango gani kwa vyama vyenyewe? akasema kuwa vyama hivyo vinakuwa na vyama dada vilivyo nje ya nchi na misaada ikitolewa na vyama dada, ni wanachama wanaolamba.

Hizo branch za CCM ni EYES ON PRIZE.
 
According to the dataz, mkulu yuko njiani kwenda huko London, soon kama sio in a few days to come, na kwamba anaenda kuonana na wawekezaji wazawa wanaotaka kuwekeza bongo, I mean it sounds good, lakini

1. kwanza I want to know, ni nani atakayelipia the bill ya hiyo safari kwa ujumla?

2. Why the president? Hivi hiyo ishu kama kweli ni muhimu sana kiasi hicho kwa nini asiende waziri? au balozi mwenyewe na maofisa wake? Why the president? The head of our state anakwenda safari ya kwenda kukutana na wa-Tanzania, eti wawekezaji? Pleeeeeeease!

3. Something is not very right na some ishus huko London, I mean I respect Mama Balozi, and you know that, lakini hebu wekeni mambo wazi zaidi on this, maana sielewi mbona mko mbele mbele sana na rais! rais! na president tuuuuu! huko kuna nini? Why not Waziri Mkuu, au makamu wa rais?

4. Kwenye hili ninasema kuwa I have a problem, unless kuwe na maelezo zaidi, I mean nina wasi wasi kuwa Mama Balozi ana washauri wengi wenye nia za self-promotion, ninahisi kuwa kuna an organized group au m-Tanzania mmoja mwenye uwezo financially ambaye yuko behind this,

Nafikiri wananchi wa Tanzania wanahitaji maelezo zaidi kutoka kwa ubalozi wetu London, na pia ofisi ya rais inahitaji kutoa maelezo mazito, kama kweli hiii safari ipo, unajua siku zote communication ndio mambo yote, I mean wanaohusika tupeni maelezo zaidi, Yes sisi ni wananchi tunazo haki zote za kudai maelezo!

Ahsanteni!
 
According to the dataz, mkulu yuko njiani kwenda huko London, soon kama sio in a few days to come, na kwamba anaenda kuonana na wawekezaji wazawa wanaotaka kuwekeza bongo, I mean it sounds good, lakini

1. kwanza I want to know, ni nani atakayelipia the bill ya hiyo safari kwa ujumla?

2. Why the president? Hivi hiyo ishu kama kweli ni muhimu sana kiasi hicho kwa nini asiende waziri? au balozi mwenyewe na maofisa wake? Why the president? The head of our state anakwenda safari ya kwenda kukutana na wa-Tanzania, eti wawekezaji? Pleeeeeeease!

3. Something is not very right na some ishus huko London, I mean I respect Mama Balozi, and you know that, lakini hebu wekeni mambo wazi zaidi on this, maana sielewi mbona mko mbele mbele sana na rais! rais! na president tuuuuu! huko kuna nini? Why not Waziri Mkuu, au makamu wa rais?

4. Kwenye hili ninasema kuwa I have a problem, unless kuwe na maelezo zaidi, I mean nina wasi wasi kuwa Mama Balozi ana washauri wengi wenye nia za self-promotion, ninahisi kuwa kuna an organized group au m-Tanzania mmoja mwenye uwezo financially ambaye yuko behind this,

Nafikiri wananchi wa Tanzania wanahitaji maelezo zaidi kutoka kwa ubalozi wetu London, na pia ofisi ya rais inahitaji kutoa maelezo mazito, kama kweli hiii safari ipo, unajua siku zote communication ndio mambo yote, I mean wanaohusika tupeni maelezo zaidi, Yes sisi ni wananchi tunazo haki zote za kudai maelezo!

Ahsanteni!

Muulizeni Chinga na Kulikoni wanaweza kuwapa majibu!
 
Hakuna tofauti ya watu walio uingereza na watanzania walio nyumbani. Watu wanaokaa uingereza hawana mawazo mapya kwani uingereza ni kama Tanzania. Watanzania wanamapenzi ya kinafiki, kuna mpaka branch ya CCM, na watu wengi bado wana mawazo ya kufikiria watapata madara waibie wananchi. Kunawatu wachache tofauti lakini Uingereza sio Marekani. Kikwete anakimbia watu hapa kwasababu hana ajibu ya maswali. Maswali hajajengi nchi jamani tunataka Action.

Kamudu I side with you .Umesema yote mwamba hakuna la kubakia na hapa ndipo utaona JK hayuko serious .Gharama zitalipwa na serikali maana faraj yeye kazi yake ni michongo.Pinto kumsifia Maajar ni kazi yake ndiyo hao hao .Kipenzi cha Watanzania sina hakika labda kipenzi cha wana CCM.UK imegawanyika mno kwa U CUF na CCM na wengine wako kimya lakini kuna shida kubwa maana UK CCM hadi Ubalozini .
 
Watanzania wamwita Kikwete Uingereza


Kujadili njia ya kurejesha fedha nyumbani


WATANZANIA waishio nchini Uingereza wameandaa mkutano mkubwa ambao utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete na kufungwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Professa Benno Ndulu, utakaohamasisha Watanzania hao kurejesha fedha nyumbani ili kuchangia pato la Taifa.

Taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana ikiwa imesainiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Bibi Mwanaidi Maajar, ilisema mkutano huo utakaofanyika Aprili 18 mwaka huu London na unatarajiwa kuhudhuriwa na Watanzania wapatao 400.

Haya watu wa London leteni mambo
 
Nyie watz waingereza hivi mkimwita JK what do you expect fro him,kwanini msingemuomba hata Anna Kilango akawafungulia hicho kikao chenu.Tafuteni watu ambao wako serious na kuitetea nchi.
 
Watanzania wamwita Kikwete Uingereza


Kujadili njia ya kurejesha fedha nyumbani


WATANZANIA waishio nchini Uingereza wameandaa mkutano mkubwa ambao utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete na kufungwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Professa Benno Ndulu, utakaohamasisha Watanzania hao kurejesha fedha nyumbani ili kuchangia pato la Taifa.

Taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana ikiwa imesainiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Bibi Mwanaidi Maajar, ilisema mkutano huo utakaofanyika Aprili 18 mwaka huu London na unatarajiwa kuhudhuriwa na Watanzania wapatao 400.

Haya watu wa London leteni mambo
Fedha kama kudaiwa idaiwe mahakamani na sio kwenye vikao huku ni kucheza na wabadhirifu ,ikiwa mtu anakamatwa na kigunia cha mahindi,ukiweka geloni moja ya mafuta ya taa unaambiwa ni mhujumu uchumi ,au WaTz mmesahau vita vya wahujumu uchumi ??Hawa jamaa wanastahili kifungo cha maisha jela,wacha hiyo fedha iliwe na wengine lakini wao wasiifaidi kabisa.
Mambo haya ya kuweka vikao na kujadili vipi fedha irudishwe ni mipango ya CCM tu hii haina baraka za WaTanzania waishio nje au ndani,huku ni kutaka kuzima hoja ya kuchukuliwa hatua kwa watu hawa ,wananchi wanahoji mbona vibaka wa mitaani hawawekewi vikao vya kurudisha mali walizoiba na mbadala wake hufikishwa mahakamani kama kulipa yote wanayakutia huko kwenye jukwaa la Mahakama.
Wasiwasi ni kuwa hata wakubwa waliobaki serikalini wanahusika na mahakamani ni sehemu ambayo ukweli utafichuka.
Je Mh.Kikwete unahusika na huu ubadhirifu ?? Na hizi hekaheka za kusema warudishe fedha kwanza ili hatua za baadae zifuatilie ni kutuzuga wananchi,kumbuka umebakiza miaka mitatu au miwili na kama mitano mingine utafanikiwa basi nayo sio mingi ,zaidi hivi sasa wewe ni Raisi heshima kwako ,lakini utakapoondoka hujui nani atakamata na mizengwe yake itakuwa vipi,pengine nae atataka umaarufu kwa kuwakamata nyie nyote na sheria zote akazipa mgongo ,kama raisi anashitakiwa au hashitakiwi hayo atayaweka kando akiamini wenye nguvu ni Wananchi na yeye atakuwa wakati huo yupo na wananchi zaidi ili kujipatia umaarufu huo ,wala hatahitaji kupigiwa kura ya maoni ,kama mkamatwe au msikamatwe japo atawagusa wananchi wengi.
Umeweza kuonekana shujaa eti kwa uwamuzi wa kuwaondoa mawaziri hawa akina Lowasa na wenziwe ,fikiria sana juu ya hilo huo ni mwanzo tu wa ushujaa wa Raisi wa Tanzania toka tupate UHURU na mambo yanageuka kama umaarufu ndio huo wa kumfukuza Waziri Mkuu, basi atakae kuja baada yako atapata umaarufu zaidi ikiwa atawakamata maraisi waliokwisha pita ukiwemo wewe ,na zaidi kufilisi kila kitu.Ni muda na uhai tu ndio utakaotuhakikishia haya.
Raisi ikiwa anashindwa kuchukua hatua za haraka kwa wabadhirifu waliokwisha kuthibitishwa na wao wenyewe kufika kujiuzulu basi Raisi huyo anaudhaifu ndani ya utawala wake na bado hajajiamini kama yeye ni Raisi au hajui mamlaka yaliyo ndani ya cheo cha Raisi au ni mwoga katika kutumia mamlaka yake ,au anshindwa kuweka kando kati ya biashara na udugu.
 
Nyie watz waingereza hivi mkimwita JK what do you expect fro him,kwanini msingemuomba hata Anna Kilango akawafungulia hicho kikao chenu.Tafuteni watu ambao wako serious na kuitetea nchi.

Hapa JK anacheza mchezo .Maajar kaacha kuwatumikia wananchi sasa anacheza mchezo.Watu wenyewe ni akina Juma Pinto , Faraji baada ya kulamba 600m kisa matangazo ya kuitangaza Tanzania ?Haya tegemee muone kama kuna lolote litatokea.Waandishi wa majira nao najaua waki kazini ku bost rating ya mkuu lakini kazi wanayo sana maana kila wakijaribu CCM na Mkuu wanajipaka mavi kila kukicha .
 
Hapa JK anacheza mchezo .Maajar kaacha kuwatumikia wananchi sasa anacheza mchezo.Watu wenyewe ni akina Juma Pinto , Faraji baada ya kulamba 600m kisa matangazo ya kuitangaza Tanzania ?Haya tegemee muone kama kuna lolote litatokea.Waandishi wa majira nao najaua waki kazini ku bost rating ya mkuu lakini kazi wanayo sana maana kila wakijaribu CCM na Mkuu wanajipaka mavi kila kukicha .
Mkuu Lunyungu,kuendekeza njaa ni kitu kibaya sana.Hao waandishi wa namna hiyo ndio wanaoharibu huu mchakamchaka wanaopelekeshwa hawa WEZI. Ukimpamba na kumsifia mwizi si ataendelea kuiba? Kama huwezi kumfunga,MZOMEE MPAKA ATAAACHA
 
Kikwete alishasema NYC alipokuja kwenye Security council miaka michache iliyopita na hapa narudia main points.

1.Alianza kwa kuchemsha na kusema mna hela gani za kuchangia nyumbani (alikuwa anaongea folksy kama kakaa na vijana wachache wa kijiweni rather than katika mkutano formal) akasema mtatupa lawama tu kwa kutupatia vidola vyenu vichache halafu kutafutana ubaya.

2.Kama kawaida yake, Kikwete anahitaji dakika tano za kufikiri kabla ya kuanza ku make sense .Mwisho kabisa wa jibu akagundua sehemu yake ya kwanza haikuwa ya kiungwana akasema kama mna nia ya kuchangia changieni kibinafsi, kama unataka kutuma hela watumie ndugu zako kijijini na viru kama hivyo.

3.Tetesi ni kwamba watu wa CCM hawataki kuja na mpango wowote wa watanzania kuweza kuchangia strategically kwa sababu wanaogopa political funding.

4.Rais alionyesha uwezo wake mdogo wa kuelewa kuwa kuna wakati watanzania wanataka kuchangia kama watanzania na kuna nyakati vitu vinatokea kama maafa ya ajali etc (eg Mererani juzi hapo) wananchi walio nje wanaweza kuchangia vizuri tu. Hii effort imekuwa undermined na bureaucracy na uoga usio msingi.

Kama kweli Kikwete ni mtu wa msimamo (there is no guarantee here, kwa sababu hata alivyokuwa anasema ilikuwa kama anaongelea personal opinion na experience kuliko policy, typical of African politics) ata reiterate hivyo.
 
Watanzania wamwita Kikwete Uingereza


Kujadili njia ya kurejesha fedha nyumbani


WATANZANIA waishio nchini Uingereza wameandaa mkutano mkubwa ambao utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete na kufungwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Professa Benno Ndulu, utakaohamasisha Watanzania hao kurejesha fedha nyumbani ili kuchangia pato la Taifa.

Taarifa waliyoitoa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana ikiwa imesainiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Bibi Mwanaidi Maajar, ilisema mkutano huo utakaofanyika Aprili 18 mwaka huu London na unatarajiwa kuhudhuriwa na Watanzania wapatao 400.

Haya watu wa London leteni mambo

Huu ni mchemsho wa bamia bila Chumvi.

Wataishia kunawa tu.
 
Kikwete alishasema NYC alipokuja kwenye Security council miaka michache iliyopita na hapa narudia main points.

1.Alianza kwa kuchemsha na kusema mna hela gani za kuchangia nyumbani (alikuwa anaongea folksy kama kakaa na vijana wachache wa kijiweni rather than katika mkutano formal) akasema mtatupa lawama tu kwa kutupatia vidola vyenu vichache halafu kutafutana ubaya.

2.Kama kawaida yake, Kikwete anahitaji dakika tano za kufikiri kabla ya kuanza ku make sense .Mwisho kabisa wa jibu akagundua sehemu yake ya kwanza haikuwa ya kiungwana akasema kama mna nia ya kuchangia changieni kibinafsi, kama unataka kutuma hela watumie ndugu zako kijijini na viru kama hivyo.

3.Tetesi ni kwamba watu wa CCM hawataki kuja na mpango wowote wa watanzania kuweza kuchangia strategically kwa sababu wanaogopa political funding.

4.Rais alionyesha uwezo wake mdogo wa kuelewa kuwa kuna wakati watanzania wanataka kuchangia kama watanzania na kuna nyakati vitu vinatokea kama maafa ya ajali etc (eg Mererani juzi hapo) wananchi walio nje wanaweza kuchangia vizuri tu. Hii effort imekuwa undermined na bureaucracy na uoga usio msingi.

Kama kweli Kikwete ni mtu wa msimamo (there is no guarantee here, kwa sababu hata alivyokuwa anasema ilikuwa kama anaongelea personal opinion na experience kuliko policy, typical of African politics) ata reiterate hivyo.

Pundit,

Unakumbuka ule mkasa wa yule Mwanadada alikuwa Kansas au Missouri ambaye alipewa vifaa mitumba ya mahospitali, ubalozi DC na Serikali ukakasirika sana?
 
SIJAONA WATANZANIA WALIOPO NJE WAKAFANYA YA MAANA kwa WABONGO wenzao(wakiwepo basi tujulisheni)....watu wataishia ktk matumbo yao, Familia zao na wale mmhh....

UBINAFSI, UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UZEMBE, BAADHI HAWATAKI KUSOMA, WAMETOSHEKA AU KURIDHIKA KUBEBA MABOX, NA KULETA MAFRIJI NA MAGARI MABOVU...NA MAFISADI WA WABONGO kwakuwa WANAONA MNAPATA WANAWAWEKEENI MOT...ETI INSPECTION...MWAMVULI wa INSPECTION....

Chuma,

Unataka mpaka watangaze kwenye kwenye gazeti la Uhuru, ndio ujue wanafanya la maana?

Ukifikiria kufanya ya maana kuna maana ya kusaidia Tanzania yote, hapo sahau. Maendeleo ya Tanzania yanakuja pale mtu mmoja mmoja, familia moja nk zinapofanya jambo lolote la maendeleo.

Kama mtu anasomesha familia yake, anawatunza wazazi wake, tayari kafanya la maana kwa nchi. Maendeleo ni sum total of contributions by individuals in the country concerned. Hii sum total inachangiwa na watu mbalimbali kuanzia mipango ya serikali mpaka mipango ya mtu mmoja mmoja.

Pia sio kila mtu lazima asaome, wasomi na wasio soma wote wana nafasi ya kuchangia maendeleo ya Tanzania. Mbeba box anaweza kuchangia zaidi kuliko msomi fisadi anayehamisha pesa toka TZ na kuzificha nje. Mtu akiona hana uwezo au hataki kusoma sio mwisho wa maisha,kuna njia nyingine chungu nzima za kuweza kujisaidia yeye na familia yake.
 
Back
Top Bottom