Ubalozi wa Tanzania UK Wamwita Kikwete Uingereza

M

MegaPyne

Guest
na juma Pinto, london

JUMUIYA ya Wanzania waishio Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, imemualika Rais Jakaya Kikwete katika kongamano kubwa la kujadili maendeleo ya Tanzania litakalofanyika mwezi Aprili, mwakani.

Hayo yalisema na Balozi wa Tanzania nchi Uingereza, Mwanaidi Sinare Maajar katika sherehe ya sikukuu ya Uhuru wa Tanzania zilizofanyika Jumamosi iliyopita katika ukumbi wa Silverspoon, uliopo pembeni ya uwanja wa Wembley.

Balozi Maajar ambae ametokea kwa kipenzi cha Watanzania waishio hapa, alisema kongamano hilo litakalosilikisha Watanzania wenyewe waishio Uingereza, wasomi wa vyuo,wafanyabishara na watu wengine maarufu waliokwishawahi kuishi au kufanyakazi Tanzania.

"Nataka kuwaambia Watanzania wenzangu kuwa sisi Ubalozi kwa kushilikiana na Jumuiya ya Watanzania tumemualika Rais na amekubali kuja kushiliki katika kongamano letu, lengo lake ni kujadili mambo mbalimbali ya Tanzania,"alisema Ballozi Maajar.

Katika sherehe hizo iliyohudhuliwa na halaiki kubwa ya Watanzania, iliandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Uingereza, ikiwa ni shughuli yao ya kwanza kuifanya tangu uongozi mpya uchaguliwe mwaka jana.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,Bw. Abubakar Faraji alisema hatua hiyo ni mwanzo wa uongozi wake kuangalia ni vitu gani ambavvyo vinaweza kufanyika lakini vikaisaidia serikali huko nyumbani kwa faida ya Watanzania wote.

"Kweli tuna mikakati mingi ambayo kama mambo yatakwenda kama tulivyopanga tunaweza kufanya mambo mengi na makubwa kwa faida ya Watanzania wa hapa Uingereza na huko nyumbani," alisema Faraji.

Alisema kongamano hilo litaweza kuwa mfano kwa jumuiya nyingine za Watanzania duniani kote na kuondoa dhana kazi kubwa ya jumuiya hizo ni kusaidiana kwenye misiba na kuandaa sherehe, bali na kuandaa makongamano makubwa kama haya ambayo yataweza kuisaidia nchi.

Katika sherehe hizo, mbali na Balozi Mwanaidi Maajar, wengine ni mbunge wa viti maalumu wa Singi, Mh Martha Mrata aliyekuwa kiongozi wa kuimbisha wimbi wa" happy birthday Tanzania", Naibu meya wa Wilaya ya Ilala, Mohammed Yakub,Mwenyekiti wa CCM London,Bw. Maina Owin, na muasisi wa tawi la CCM Uingereza, Bw. Sharrif Maajar.
 
CMB asante kwa kutuletea taarifa.

Mawazo yangu kuhusu ujumbe huu; kwanini Mh. Rais asifanye mahojiano kupitia mtandao wa intaneti? Kama kweli historia inataka kufanyika basi hili ndilo lifanyike katika karne ya 21 kwenye historia ya Tanzania. Mahojiano ya ana kwa ana miye sioni kipya katika hili..

Mahojiano hayo yanaweza kufanywa na KLH News via online radios kama vile Jamboradio na Bongoradio au nyinginezo. Na hili likitangazwa na mikakati kuwekwa, litakuwa nafuu kwa wengi na litawezesha wengi kuchangia pia lita okoa fedha zetu za kigeni zitokanazo na misafara ya viongozi.

Nimeona hapo juu jinsi habari hii inavyo pambwa ni kama mhalalisho wa viongozi kusafiri nchi hadi nchi kwa mambo ambayo tunayaongelea kila siku hapa JF, na kama wanataka makongamano, wayashughulikie mawaidha ya members wa forum kama hii kwanza, isitoshe, idadi ya wengi watakao weza hudhuria ni member wa forum hii tayari. Hii ni duplication of same issues kama tu jinsi inavyotokea hapa nyumbani, muhimu ni utendaji... wakiyachambua na kuyafanyia utendaji yale yote tuliyo andika hapa JF nina imani tutasonga mbele... sijui kama naona maluweluwe kutokana na kero za viongozi wetu kuto fanyia utendaji wanenayo kila siku, ni hisia na mawazo yangu tu..

SteveD.
 
Kwa vile kongamano linaadaliwa na Jumuia, gharama za waalikwa, na msemaji mkuu Rais zitokane na Jumuia.
 
Balozi Maajar ambae ametokea kwa kipenzi cha Watanzania waishio hapa

At least kuna mabadiliko kulingana na haabari tulizokuwa tukiletewa hapo mwanzoni huyu mama alipofika tu huko London, hii ni good news na tunawatakia wananchi wa huko London, mafanikio mema kwa kushirikiana na huyu mama Balozi, ambaye no question ni kichwa kizima na kikali.
 
MIMI NASUBIRI KWA HAMU MAANA NITAKAA KITI CHA MBELE. HUKU HATUOGOPI NITAMSHONA TU ANZENI KUNIPA DATA ZA UHAKIKA.
 
Hakuna tofauti ya watu walio uingereza na watanzania walio nyumbani. Watu wanaokaa uingereza hawana mawazo mapya kwani uingereza ni kama Tanzania. Watanzania wanamapenzi ya kinafiki, kuna mpaka branch ya CCM, na watu wengi bado wana mawazo ya kufikiria watapata madara waibie wananchi. Kunawatu wachache tofauti lakini Uingereza sio Marekani. Kikwete anakimbia watu hapa kwasababu hana ajibu ya maswali. Maswali hajajengi nchi jamani tunataka Action.
 
Hakuna tofauti ya watu walio uingereza na watanzania walio nyumbani. Watu wanaokaa uingereza hawana mawazo mapya kwani uingereza ni kama Tanzania. Watanzania wanamapenzi ya kinafiki, kuna mpaka branch ya CCM, na watu wengi bado wana mawazo ya kufikiria watapata madara waibie wananchi. Kunawatu wachache tofauti lakini Uingereza sio Marekani. Kikwete anakimbia watu hapa kwasababu hana ajibu ya maswali. Maswali hajajengi nchi jamani tunataka Action.

Muheshimiwa, unaleta utani au? Una maana hapa UK waTz ni vilaza wanaogopa kuuliza maswali?
 
na Juma Pinto, london

JUMUIYA ya Wanzania waishio Uingereza kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, imemualika Rais Jakaya Kikwete katika kongamano kubwa la kujadili maendeleo ya Tanzania litakalofanyika mwezi Aprili, mwakani.

Hayo yalisema na Balozi wa Tanzania nchi Uingereza, Mwanaidi Sinare Maajar katika sherehe ya sikukuu ya Uhuru wa Tanzania zilizofanyika Jumamosi iliyopita katika ukumbi wa Silverspoon, uliopo pembeni ya uwanja wa Wembley.

Balozi Maajar ambae ametokea kwa kipenzi cha Watanzania waishio hapa, alisema kongamano hilo litakalosilikisha Watanzania wenyewe waishio Uingereza, wasomi wa vyuo,wafanyabishara na watu wengine maarufu waliokwishawahi kuishi au kufanyakazi Tanzania.

“Nataka kuwaambia Watanzania wenzangu kuwa sisi Ubalozi kwa kushilikiana na Jumuiya ya Watanzania tumemualika Rais na amekubali kuja kushiliki katika kongamano letu, lengo lake ni kujadili mambo mbalimbali ya Tanzania,”alisema Ballozi Maajar.

Katika sherehe hizo iliyohudhuliwa na halaiki kubwa ya Watanzania, iliandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Uingereza, ikiwa ni shughuli yao ya kwanza kuifanya tangu uongozi mpya uchaguliwe mwaka jana.

Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,Bw. Abubakar Faraji alisema hatua hiyo ni mwanzo wa uongozi wake kuangalia ni vitu gani ambavvyo vinaweza kufanyika lakini vikaisaidia serikali huko nyumbani kwa faida ya Watanzania wote.

“Kweli tuna mikakati mingi ambayo kama mambo yatakwenda kama tulivyopanga tunaweza kufanya mambo mengi na makubwa kwa faida ya Watanzania wa hapa Uingereza na huko nyumbani,” alisema Faraji.

Alisema kongamano hilo litaweza kuwa mfano kwa jumuiya nyingine za Watanzania duniani kote na kuondoa dhana kazi kubwa ya jumuiya hizo ni kusaidiana kwenye misiba na kuandaa sherehe, bali na kuandaa makongamano makubwa kama haya ambayo yataweza kuisaidia nchi.

Katika sherehe hizo, mbali na Balozi Mwanaidi Maajar, wengine ni mbunge wa viti maalumu wa Singi, Mh Martha Mrata aliyekuwa kiongozi wa kuimbisha wimbi wa” happy birthday Tanzania”, Naibu meya wa Wilaya ya Ilala, Mohammed Yakub,Mwenyekiti wa CCM London,Bw. Maina Owin, na muasisi wa tawi la CCM Uingereza, Bw. Sharrif Maajar.

Uandishi kama huu; no wonder waTz wa UK wanaonekana vilaza...!!!
 
Uzushi mtupu, yaani nyie ndio mnachochea pesa za walipakodi zitumiwe vibaya sio?

Au JK kwa kuona watu wanalalamikia safari zake anakuja kwa staili nyingine kwamba 'Nimealikwa na watanzania' too bad
 
Hivi Juma Pinto anafanya kitu gani huko Uingereza ? Mimi naona habari ni spinning thing kama kawaida ili kumjenga JK mwenyekiti wao wa CCM.JP ni kundi la akina Jacky Pemba na Faraji and the likes
 
MKJJ jaribu kumualika JK kwenye mahojiano ya moja kwa moja kupitia mtandao wetu. Halafu waTZ wa USA tujaribu kumualika tuone kama atakataa. Nafikiri tusiwe watu wa kulalamika sana. Tujaribu kwanza halafu ndio tumseme/
 
MKJJ jaribu kumualika JK kwenye mahojiano ya moja kwa moja kupitia mtandao wetu. Halafu waTZ wa USA tujaribu kumualika tuone kama atakataa. Nafikiri tusiwe watu wa kulalamika sana. Tujaribu kwanza halafu ndio tumseme/

Kikwete amealikwa mara kibao ila anakimbia! Ubalozi walishachoka simu zetu wengine. Tukipiga wakiona namba wanachunia tu mpaka inabidi kutumia pay phone.

Hongera watu wa UK, labda mtafanikiwa huko!
 
His Excellency President Jakaya Mrisho Kikwete has kindly agreed to launch Tanzania Diaspora and Skills Forum in London on the 18th of April, 2008.
President Kikwete will deliver the keynote speech at the one day event to be held at the Savoy Place at the first Ever Tanzania Diaspora and Skills Forum to be held in London.

The proposed conference organised by Tanzania High Commission, Tanzania Association UK and Africa Recruit is aimed at mobilizing and engaging the Tanzanian Diaspora, particularly in Europe and mainly in the United Kingdom to ensure that there is greater skills utilisation and investment by the Diaspora communities to the country. During the conference, key speakers will be invited from Tanzania and the Diaspora to inform and engage these groups on the various opportunities in the country.
To register for the forum click below:
http://africarecruit.com/Tanzania_Event/index.php

Target Audience:
Tanzanian Diaspora
Private Sector from Tanzania
Government Officials
Donors/Multilateral organisations
Diaspora Media

Engaging Skills of the Diaspora in Tanzania
The knowledge and skills of the Diaspora is an additional source of engagement for countries to tap into in building the capacity and capabilities of organisations and ultimately the country. The event is aimed at galvanising the Tanzanian Diaspora of all generations in harnessing their skills, knowledge and investment in the continued economic development of Tanzania.

Africa Recruit survey of the Diaspora in 2006 indicated that over half left Africa for career professional reasons with a least over 70% of the respondents indicating that they had plans to return back home at some point in time and will like to explore how they can use their knowledge and skills in their country of origin development. Creating an environment to engage directly with potential employers will enable the Diaspora to make informed decisions.

The Diaspora confrence aims to fulfil key Government mission of endeavouring to create a platform of universal inclusionfor Tanzanian Diaspora Communityin the United Kingdom and Europe, so that they participate in the development of their country.
It will also host specific sessions devoted to employment opportunities in Tanzania, cost effective migrant remittances, how to engage with the host government and systems, role of the Diaspora in the development of Tanzania, issues relating to Brain Drain and Reversal thereof, the case for dual Citizenship, Investment opportunities in both Tanzania and the UK, opportunities in both Tanzania and the UK, opportunities to market Tanzanian products in the United Kingdom , methods of productive access to the Government and other institutions back home and , crucially how to create and maintain a conact network.
Asanteni na karibuni

TANZANIA ASSOCIATION UK
 
Back
Top Bottom