Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini humo, muda mfupi baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege kuanza kutekeleza majukumu yake, tarehe 14 Oktoba, 2023.