Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,157
- 7,822
Hapo kwenye kipimo kuonesha Negative kwa mgonjwa anayetumia ARVs umepotosha mkuu.Mtu ambae ni muthirika anaetumia ARV anakuwa na undetectable status. Hii ina maana viral load imekuwa cleared by ARV's. Sasa basi mtu huyu anachance ndogo ya kukuambukiza lakini mkipima atakutwa -ve.
ARVs inafanya viral suppression lakini siyo mpaka undetectable level.
Na vipimo vinapima Antibodies