Twende Tukapime

Twende Tukapime

Reina....ntakuchapa. Ndo swali gani hilo umeniuliza? We unaonaje...kuna umuhimu?

Kabali inakuhusu.......
Wewe ndo wa kuchapwa unayesema eti siku hizi ukimwi ni kama mafua... Hivi unaujua ukimwi au unausikia tu....

Halafu hujajibu swali....
 
..hii kitu ni hatari sana....binafsi nimeng'oa demu humu jf kwa mtindo huu...tukapima nikachapa uzuri...demu mwenyewe ana hii tabia sana ya kutaka kupima sana....sijui anapima na wangapi....Issue moja watu wanasahau kuwa kuna window period ambalo mtu anaweza kuwa na maambukizi ya vvu lakini yasionekane kwenye vipimo...maana kinachoangaliwa ni kuwepo wa antibodies dhidi ya vvu....na hizi antibodies hazionekani kwenye WK za mwanzo za maambukizi ya vvu....inachukua muda hadi mwili kutengeneza antibodies dhidi ya vvu...hivyo ukikutana na huyu mtu anaweza kukuachia virusi japo anaweza kuwa negative kwenye vipimo...This is a very risky business.... Kwa siku hizi hamna kudanganyika...hata kama vipimo ni negative... Lazima kupiga mpira....mpira ni kila kitu kwenye kujilinda....ukizingatia kuna midemu ni mi carrier... Hata kama uko negative...Na pia kuna midemu mingine inatumia ARVs na wakipima huonekana negative...sasa unakutana na hawa unaloweka tu jiti unategemea nini??...
 
Wewe ndo wa kuchapwa unayesema eti siku hizi ukimwi ni kama mafua... Hivi unaujua ukimwi au unausikia tu....

Halafu hujajibu swali....

Wa kunichapa nani? Reina Princess? Heheheeeeee.....go ahead and make my day!
 
Hivi dawa ya kutibu gonjwa la ukimwi imekosekana? "Gonjwa hili limezua kizazaa mzozo gumzo gumzo kwa mabronzooo...bronzoo masista duu machizi,wazazi,walimu na wanafunzi aaah gonjwa hili lapita kasheshe ni kazeze ni kazeze......."
 
ukiona nakubali kwenda kupima na mtu,ujue siku moja kabla, nilishaenda na nikawa niko poa.ukiona nakataa ujue sijaenda kupima au nilipima ninao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom