Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,106
- 143,430
- Thread starter
- #181
Kwani mchepuko haupimwi? Anaweza kuwa mchepuko permanent.
Mchepuko permanent ndo ukoje we Sister?
Kwani mchepuko haupimwi? Anaweza kuwa mchepuko permanent.
i ,sasa mbona umekaa kimya?,nahumu jukwaani umo na unaendelea na mada zingine?,tafadhali jibu maswali yetu.twende
i ,sasa mbona umekaa kimya?,nahumu jukwaani umo na unaendelea na mada zingine?,tafadhali jibu maswali yetu.twende
Mbona cjakuelewa upo kundi lipi Mkuu??ukiona nakubali kwenda kupima na mtu,ujue siku moja kabla, nilishaenda na nikawa niko poa.ukiona nakataa ujue sijaenda kupima au nilipima ninao.
kwenda kupima inategemea,kama nilipima peke yangu hv karibuni na sijagegedana(nina uhakika nipo negative) ntaenda kupima tena na huyo aliyeniambia tukapime.lakini kama sijapima recently na nishapitapita kwingi,hapo lazima nikapime kwanza peke yangu nione majibu yangu,kama negative tutaenda (hapo najua niko poa nasubir yako) nikikutwa positive ntakataa kwenda kupima tena pamoja na huyo anayetaka tukapime.point yangu ni kwamba siwez pima na mtu kabla sijahakikisha kuwa mimi niko negative sijui umenipata?Mbona cjakuelewa upo kundi lipi Mkuu??
OK.. Nimekuelewa.. Be happykwenda kupima inategemea,kama nilipima peke yangu hv karibuni na sijagegedana(nina uhakika nipo negative) ntaenda kupima tena na huyo aliyeniambia tukapime.lakini kama sijapima recently na nishapitapita kwingi,hapo lazima nikapime kwanza peke yangu nione majibu yangu,kama negative tutaenda (hapo najua niko poa nasubir yako) nikikutwa positive ntakataa kwenda kupima tena pamoja na huyo anayetaka tukapime.point yangu ni kwamba siwez pima na mtu kabla sijahakikisha kuwa mimi niko negative sijui umenipata?
Ukisema vifaa unakosea pakubwa sana labda ungetuaminisha kwa kusema wana wataalamu waliokula yamini ktkWana vifaa vya kisasa zaidi. Pia rafiki yangu aliniambia walikwenda kupima Muhimbili kumbe jamaa alishajijua ni +ve. Alitangulia a day b4 akaweka pesa ya chai. Walipofika kesho yake unajua kilichoendelea.
Kuna update,baada ya mwezi unaweza ku-detect hawa virusbaada ya miezi mitatu.
Hukumuuliza anamaanisha nini?Hii mada imenigusa sana kwani ni weekend iliyopita tu nominate na mdada wa chuo. Tulipoingia Lodge akawa mbishi sana kuvua kyupi ili anipe mizigo, nikamlazimisha sana tena sana ila akawa mgumu wa kutoa mbunye take.
Ikabidi nitumie nguvu kidogo na kumwonyesha kuwa mie ni kidume mjanja mpaka akachia alichonibani nikala japo sio kwa kuridhisha (like forced sex) na tulipotoka kila mtu akatoka kivyake huku tumenuniana.
Baada ya siku 3 nikapata nikapokea ujumbe huu toka kwake "SIO KILA MWANAMKE ANAYEKUNYIMA *MBUNYE* YAKE HAKUTAKI NA HAKUPENDI, WENGINE WANANAKUONEA HURUMA UNAVYOKUFA KIZEMBE KWA UKIMWI"
Kikwazo hiki cha kupima kinakuwa kitamu pale jana yake tu ulishapima na kuambiwa ''Non reactive''hivyo akitamka umwambie twende sasa hivi na majibu umwambie yake uchukue wewe na yako mpe yeyeNani keshawahi kuambiwa hivyo na mtu ambaye anataka kutoka naye?
Nimefanya kautafiti kadogo kasiko rasmi na kugundua kwamba, hususan kwa wadada, kama kuna mkaka kawatokea na kama wao hawamfeel kivile na wanataka kumkataa bila kujeruhi hisia zake sana, basi huja na hiyo gia ya kwenda kupima.
Hiyo kupima si kwenda sijui kupima malaria au sijui presha ni kwenda kupima VVU.
Teh teh teh sasa kusema ukweli si watu wengi wenye ujasiri wa kwenda tu kupima hiyo makitu. Kwa hiyo mtu ukimwambia hivyo utaona pole pole anaanza kula kona kwa sababu ni sharti lililo gumu.
Kwa mfano mnakutana leo mnaenda kwenye kideti chenu halafu baadaye mwenzio anachomekea mambo ya kwenda kupima tena kesho tu.
Hapo kama huna ujasiri wa kwenda lazima utakula kona tu.
Kupima hakuna uzoefu mkuu. Mambo ya kuloweka ndio yanaleta hizo presha.Kupima ni jambo jema. Binafsi, ni manzi ndie aliyewahi kunishawishi kupima, na wala sikumtokea. Aliniweka wazi kuwa hapendi gloves, so If I was down for the nasty, ni vyema kupima.
Sikuwa na body count wala historia ya ajabu, ila ilibidi nipime peke yangu mara 2 kabla hatujaenda wote. Funny enough, hata baada ya kupima hizo mara mbili, bado nilikuwa nervous hiyo mara ya 3 tuliyoenda pamoja.
Mbona kwenye jina kuna correction fluid?
Mbona kwenye jina kuna correction fluid?
Hongera kwa majibu.Hata mi sijui...lab technician kaniletea iko hivyo hivyo.
Hongera kwa majibu.