Paap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,493
- 1,401
For the three months you are with her kama amekutana na mtu mwingine basi bahati si yako. Na hata kama amekutana na mtu mwingine itachukua wiki 12 kwa virus kuonekana kwenye damu. Kama sio mwaminifu unangoja nini hapo?
Sio kila sehem utakuwa nae. Kwani wangap wanachepuka na wako kwenye ndoa bila wenzi wao kujua.? Na sio wote hukumbuka kinga. Na hapo ndo tatizo linapoanzia