Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,868
hujanielewa let say x kasex na y mwenye vvu.akipata ngoma jana hawezi kukuambukiza wewe leo.
x atachukua muda gani kupata majibu sahihi ya hiv status yake?
hujanielewa let say x kasex na y mwenye vvu.akipata ngoma jana hawezi kukuambukiza wewe leo.
Lipitie upya---hili hapa......Thanks sister, uliposema "mpaka mfahamiane vizuri" waweze kumfahamu ilhali virus wake ni undetectable kwenye kipimo? Maana HIV hawatambuliki kwa macho, na kama una date na mtu anayetumia ARV wengi wanafanya siri, ni namna gani waweze kumfahamu?Swali nilivyo lielewa ni kuwa kama mtu ana undetectable status atajuaje?
hujanielewa let say x kasex na y mwenye vvu.
x atachukua muda gani kupata majibu sahihi ya hiv status yake?
Nowadays, ni ndani ya miezi 3 ka sikosei( I stand to be corrected). Na ukiwahi kugundua pia ndani ya siku 3 tangu ukutane na mtu ambaye ni HIV Positive unaweza save baada ya kutumia dawa maalumu iitwayo PEP, ambayo utatumia kwa muda wa siku 30. Efficiency yake ni 99.9%Ni baada ya miezi mitatu mkuu, lakini kama umeambukizwa kwa ngono zembe kwa sasa hivi dawa ni nzuri ukiwahi kwa dr wiki mbili baada ya maambukizi wanaweza kurekebisha.
Undetectable status ni mpaka mtu akueleze mwenyewe.Swali nilivyo lielewa ni kuwa kama mtu ana undetectable status atajuaje?
Inategemea na immune system yako inanguvu kiasi gani, wengine inawachukia miaka kumi au zaidi. HIV inadhoofisha immune system kwahiyo kila ugonjwa utakaopita ambao mwili uliweza kufight b4 itashindikana, utaanza safari za hospitali na mwisho dr. wako ataamua acheck na hili. Otherwise kuna wanaokufa na HIV bila wao kujua ni wazima kabisa.vipi dalili zinaonekana baada ya muda gani toka upate maambukizi?na ni dalili zipi
Do basi huyo mchawi anaua dunia aisee. Tena anawaonea sana gay population. Maana si Warusi, wachina, wafaransa, waingereza, africa asia kila jamii imepapuzwa.Sijawahi kupima ukimwi...
.
.
.
KUPATA UKIMWI NI HADI ULOGWE!
I said this b4 mkuu. Theory is very easy but how to practice that is where the problem starts.Nyuma ya keyboard watu wengi huwa ni wema sana. Watu wengi hupima. Na blah blah zingine kibao.
Lakini uhalisia tunaouona huku uraiani hauakisi maneno ya watu walio anonymous nyuma ya keyboard.
duuuh hiyo kali mkuuSijawahi kupima ukimwi...
.
.
.
KUPATA UKIMWI NI HADI ULOGWE!
It can be a PhD thesis. Ni zaidi ya neno lenyewe.duuuh hiyo kali mkuu
ahahahaaaaIt can be a PhD thesis. Ni zaidi ya neno lenyewe.
I said this b4 mkuu. Theory is very easy but how to practice that is where the problem starts.
hahaaaaaaa na madaktari wetu wengi njaaa utajutraaaa mbona jitu positive dokta anasema negative[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Word!
Halafu wengine huwa wana insist muende sehemu anayotaka yeye...kama pale kwa Mama Ngoma....
Ukiona hivyo stuka.
kwaiyo mwezi itaonesha majibu gani?baada ya miezi mitatu.