Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
Le Mutuz kama bado una connection NY, please muagizie haka kabinti brazilian wax aondoe huo ukungu wa kukwapa.

Kumbe nawe umeona eeh?

Anahitaji hii makitu huyo kinuka mkojo.

14.png
 
hata wewe leo umeiguika CCM yako hivo? msamehe mCCM mwenzako Anna Tibaijuka.
Mkuu tpaul kadri siku zinavyosonga mbele, ile JF Lumumba team, inaendelea kupoteza wanachama, tayari weshawapoteza Mamndenyi na lusungo, hivi sasa naye Le Mutuz na Nyaningabu, nao wanaelekea kuzirejesha kadi zao za uanachama wa Lumumba team.

Hadi itakapofika wakati wa uchaguzi mkuu mwakani, itakuwa imebaki list ndogo humu JF, watakaokuwa wanaendelea kuwa 'loyal' kwa lichama lao la mafisadi.

Miongoni mwa hao die hard supporters, huwezi kuwakosa mama FaizaFoxy, Lizaboni, laki si pesa, simiyu yetu, mjepo, angalau kwa kuwataja hao wachache wao ambao ni wanachama wa kufa na kupona wa Lumumba team humu JF.
 
Last edited by a moderator:
willy, hata kwenu mlikuwa stressed tena zaidi ya hivi, wakati Mzee Malecela anapotezwa kwenye siasa, hadi mkamchafua sana JK ikiwemo hadi kufungua "zeutamu"!
 
Sijamuelewa au nini? anasema anatafuta mtu wa kum *** au nini?
 
willy, hata kwenu mlikuwa stressed tena zaidi ya hivi, wakati Mzee Malecela anapotezwa kwenye siasa, hadi mkamchafua sana JK ikiwemo hadi kufungua "zeutamu"!
Hahaha have mercy with this old chap.
 
Kwani hilo jina Kagem, lina maana ya Kamchezo? Coz hawa nao kila kabla ya nukta,english
 
Kama wana ushahidi dhidi yake wa yeye kupokea mgao kwa jina lake au kupitia kwa yeyote yule awe mama Wama au muajiriwa wa Ikulu aliyepewa maelezo huu ni mgao wa DHAIFU basi waweke kila kitu hadharani tena bila kuchelewa. Rais anasema ripoti ya CAG ichapwe magazetini ili Watanzania tuisome, mbona haruhusu ripoti ya TAKUKURU nayo ichapishwe magazetini ili nayo tuisome!?

Takukuru mbona hawajawahi kutoa ripoti ndugu? Kina Zitto wanasema waliwahoji si kutoa ripoti. Raisi mwenyewe alisema takukuru hawatoi ripoti bali utaisikilizia mahakamani
 
....anamfariji mam.....sie wakati tunakuzwa Baba, mama wakifanya maongezi hatustahili kusema neno.....pia wageni wakija wakijadili jambo na wazazi hatukutakiwa kusema chochote....au ndo tabia za watoto wa ukanda ule?

Nahisi hajasoma TZ kabsaaaa ndo maana amesahau maadili ya kitanzania
 
Dodoma. Sakata la uchotaji wa Dola za Marekani 200 milioni katika akaunti ya Tegeta Escrow limeendelea kuibuka kwa sura mbalimbali bungeni. Safari hii, Bunge limetakiwa kueleza ni kwa nini Ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) isifikishwe katika chombo hicho cha kutunga sheria sambamba na ile ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Takukuru mbona hawajawahi kutoa ripoti ndugu? Kina Zitto wanasema waliwahoji si kutoa ripoti. Raisi mwenyewe alisema takukuru hawatoi ripoti bali utaisikilizia mahakamani
 
Kwa watoto wa vigogo wa ccm wala sishangai kamwe! Wao wanaamini ndo Tanzania, na tanzania ndo wao. Hiyo yote ni kwa sababu ya ccm kuacha misingi yake!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom