Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,184
when a serious blow like this hits you or your family it's better to remain silent.
Mtoto hana maadili mema huyu.
This is aimed at diaspora Tanzanians who are so desperate to be part of the convo but you aren't here with us. Shut. the. ***.up (5/7)
Katutukana wakati mama yake ni MWIZI??
Tena si wizi wa DHIKI ni wizi wa kutaka zaidi?
Ada ya kusaidia watoto wa kike wasio jiweza ni TShs 4,000,000.
Ada ya shule za kata tu inawatoa kamasi wazazi malofa hizo 4M watazinya wapi?
You beautiful young lady just shut up and enjoy the ride.
Kufungua domo kwenye so la mama yako kutafanya ujipakaze shombo la wizi.
Mbona watoto wenzio wa MAFISADI wamejisindilia miamba vinywani mwao na kujibanza pembeni?
Wewe unajiona Asali?
Do the same, take a big rock shove in your big mouth and never talk again.
Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa Stanbic bank wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!
Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!Kwani inavyoonyesha,ametolewa muhanga kwa ajili ya kuipoza tu hii saga!
Time will tell!!
Chadema acheni matusi, Mama Tibaijuka hana kosa
Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa Stanbic bank wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!
Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!Kwani inavyoonyesha,ametolewa muhanga kwa ajili ya kuipoza tu hii saga!
Time will tell!!
![]()
Acha kurusha matusi bhanaaa
Look, she is not beautiful like myself. Her words are also ugly. but anyway, she has made herself availabe for public accussations and possible prey against her human dignity. Why using words like "*** you". Who is to be fucked if not herself! Does she have an organ to ***?
Nimeamini ule msemo sura sio roho. Ila kazuri sana na kana kafiga. Kwa shepu nafikiri nimekapenda.
Huyo ndio kafa hata ubunge hatopata mwakani. Akipita mm nakunya dar tu moro.
ha ha ha umenifurahisha wanachekana wao kwa wao na kulaumiana wao kw wao yani hawa watoto wa viongozi ni Shida sanaHii ni ajabu, nyani mzee ana shangaa makalio ya nyani mtoto, wakati yeye anayo ya kwake tena ya mekomaa.
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 56m56 minutes ago
This is aimed at diaspora Tanzanians who are so desperate to be part of the convo but you aren't here with us. Shut. the. ***.up (5/7)
0 replies6 retweets0 favorites Reply
Retweet6
Favorite
More
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 58m58 minutes ago
My mum did nothing wrong except wanting to help young girls get an education. A school built with my late father. Accepted a donation (2/7)
0 replies12 retweets0 favorites Reply
Retweeted12
Favorite
More
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 46m46 minutes ago
But more disappointed about the women in Tanzania who are so happy to see a woman down on her luck. Don't worry your time will come.
0 replies9 retweets0 favorites Reply
Retweet9
Favorite
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 44m44 minutes ago
So glad I can finally say how I feel about this whole #EscrowSaga. People believe what they want to believe, I know the truth.
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 60m60 minutes ago
A donation that was from clean money upon which TRA taxes were paid (3/7)
0 replies[/COLORweets[/B]0 favorites Reply
Retweet11
Akili ya kiwizi ka ya mama yako......nendeni mkare pesa zetu Randan.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
- Haya ni matusi yaliyorusshwa na mtoto wa Waziri wa zamani wa Ardhi Mama Anna Tibaijuka, maana yake ni kwamba huyu mtoto alidhani Mama yake atakuwa Waziri mpaka mwisho wa Dunia na hiki kiburi cha kuamini Mama yake atakuwa Waziri wa Milele anakitoa wapi kama sio toka kwa mzazi wake? Hawa ndio Viongozi wetu wa sasa hata watoto wao nao wamejivika kiburi cha ajabu maana hata Mama yake naye alidai akijizulu Rais atamshangaa na kwamba yeye ni jembe la Rais, huku wafanyakazi wa Ardhi wamepanga kufanya sherehe kubwa za kushangilia kuondoka kwake. CCM irudishe tena ile taibia ya Viongozi wake wa juu kupitia Kivukoni kwanza maana ni huzuni kwa mtoto wa Waziri wa zamani wa CCM kurusha maneno machafu kama haya kwa wananchi, ina maana mpaka sasa huyu mtoto haelewi madhambi ya Mama yake ya kupokea mapesa mengi akiwa kwenye nafasi ya UWaziri wa Jamhuri, sasa kama hata watoto wao hawaelewi na wanakimbilia kugombea uongozi wa Taifa tutegemee nini hasa kutoka kwa hawa Viongozi wetu na watoto wao?
- Kuna siku Mama yake aliwahi kukuta magari mengi kwenye njia anayopita kwenda nyumbani kwake kwa sababu inapitia Club ya 327 Mikochen, Mama kwa hasira akafunga ile Club kisa magari yamemsumbua kwenye njia ya kufika kwake, sasa niambie huyu ni kiongozi wa Taifa ambaye hawezi kuheshimu starehe za wananchi, anaifunga Club kwa sababu tu kakasirika sasa ndio maana na watoto wao wanakuwa na kiburi cha ajabu kama huyu mjinga aliyerushia wananchi matusi huko twitter, this is sad!!
Le Mutuz