DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
Acha ujinga usifikiri hiyo degree wewe ndio uliye ipata peke yako wenzio tulisha pita huko tena kabla hata hujamaliza fm4 so usifikiri nimeyatoa kwenye riwaya za shigongo, degree ya hapa nchini kwa upande wa elimu haiwezi kufikia ufanisi wa diploma , hii ni kiuhalisia lakini kwa nadharia mlizo nazo watu kama wewe mtaendelea kuzitukuza degree zenu zisizo kuwa na ubora na kushikiria vyeti tu vyenye sifa ya degree.
Ya nini kutoa matusi?
Mtu unasema kunadegree za chupi mara sijui nini, nnavyo jua kila semeste kuna masomo yake na karibia kila somo lina mwalimu wake je huyo anaetoa chupi anatoa kwa walim wote miaka yote?
Na je inamaana hao maprof ni wanaume tu? Na je hiyo ni kila mwanamke? Vpa kuhusu wanaume wanafauluje?
Kuniambia umemaliza degree na unaongea haya unanipa wasiwasi.
Tumia logic na sio hisia,