Rose Moris K.
Member
- Jan 15, 2014
- 51
- 9
degree kuna : classroom learning and pedagogy of teachers edn,edn media&technlgy,methodsof teaching (any of ur subject )
bold: ina maana taaluma ya mwenye diploma ni kubwa kuliko ya mwenye digrii?
blue: serikali na wanafunzi wanalalamika kuwa walimu hawatoshi. kauli hii naona inapingana na uhalisia wa idadi ya walimu(achilia mbali wenye digrii). kuhusu utendaji unaweza ukajikumbusha madudu ya kuitendaji, kisera na kimaamuzi ktk wizara ya elimu.
red: kwa mujibu wa uzi huu wanaotamba elimu yao ni wenye diploma, wakionyesha kuwa wao ni bora kuliko wenye digrii.
swala liangaliwe individually. mi ninasumbuliwa kila siku na wenye diploma niwasaidie hiki mara kile, sijui hao mnawachukuliaje?
Kama mi ni kilaza nikupe mtihani niliofanya may 2013 ukipata wastani hata nusu niliopata mimi....na logout
degree kuna : classroom learning and pedagogy of teachers edn,edn media&technlgy,methodsof teaching (any of ur subject )
Mwalimu wa dip kwenye haiba na nidhamu, wa shahada yuko vizuri kwenye content. Hata hivyo uwezo wa kuwapa content wanafunzi hutegemeana na mwalimu na mwalimu,unaweza ukawa unajua vitu lkn ikawa shida kumwelimisha mwanafunza.
Ndugu yangu Lilendi kwa mfumo tulionao sasa mwenye taaluma kubwa ni mwenye digrii (cheti bila kuangalia ufanisi)
Ni kweli kuna upungufu wa walimu lakini Sio katika shule zote za Kata Tanzania hivyo utofauti ulitakiwa uonekane katika shule zenye walimu wa shahada wengi lakini matokeo ni Yale Yale kama ambavyo shule zenye upungufu wa walimu yalivyo
Mwalimu ni mwalimu na ubora na uzuri wa mwalimu umeshapimwa kwa kuangalia cheti na ndio maana mishahara hatulingani ukweli unabakia mwalimu mzuri ni Yule anayetumia mbinu shirikishi, anayefuata maadili ya Kazi, anayejiendeleza kitaaluma na anayejitoa kikamilifu kwa manufaa yake binafsi, mwanafunzi, jamii na Taifa kwa ujumla
Mwisho Watanzania tumekuwa mabingwa wa kutoa lawama na kunyooshea wengine vidole na hatutoi jawabu na masuluhisho ya malalamiko yetu. Wizara ikiharibu mwalimu rekebisha katika ngazi yako huko ndiko kujenga na kuonyesha serikali haijakosea kuajiri wasomi maana tukiwa na wafanyakazi wasomi tunatarajia wanaweza kujisimamia (Reduce worker supervision)Matokeo yake tunaonyesha lazima tusimamiwe maana hatupendi Kazi, wavivu Nk(theory X and Y)
Ili hii nchi iendelee tunapashwa tufanye Kazi kwa bidii na kupunguza lawama ambazo hazina tija
[/COLOR]
mkuu, uko sahihi kwenye mambo kadhaa
bold: kuna makosa mengine ya wizara walimu hawawezi kurekebisha. wakijaribu kufanya hivyo wanaweza haribu zaidi au wakaonekana wamekaidi maaigizo ya mwajiri wao. mfano:
wizara ya elimu iliamua kupingana na maamuzi yake ya mwaka 2012 ya kuwataka wanafunzi wa kidato cha 2 waingie kidato cha 3 kwa kuchujwa kupitia mtihani wa taifa. kwa mwaka 2013 wakafanikiwa. mwaka huu wamebadili msimamo. watoto wote waliopata wastani wa alama 0-19 warudie mtihani, waliopata wastani wa alama 20-39 waendelee kidato cha 3 huku wakipata REMEDIAL CLASSES. tena manispaa inataka na ratiba ya hivyo vipindi. Waliopata 40 kuendelea waendelee na masomo kama kawaida.
maamuzi haya yameibua maswali mengi
1. remedial classes ya masomo ya fomu 3 au madarasa ya chini?
2. kama wanafunzi hao walikwama na hayo ya fomu 2, watafaulu wakiongezewa na hizo remedial classes(endapo hazitakuwa za fomu 3?)
3. je kuna mtihani wa kuwapima maendeleo yao kitaaluma kutoka NECTA?
4. Je kuna nguvu kazi na mazingira rafiki ya remedial classes kwa walimu na wanafunzi?
n.k
Mwalimu, kuna mambo walimu hulalamika bila sababu ya msingi sana lakini kwa hili utatatuaje mkanganyiko wa kimaamuzi na kiutendaji kama huu?
red:nchi hii inajengwa na wenye moyo na inaliwa na wenye meno. najua ni usemi wa kukatisha tamaa lkn ndo ukweli wenyewe. angalia maslahi ya walimu na wafanyakazi wengine serikalini na mishahara ya wanasiasa!!!
Hapo ndipo nawashangaa wataalamu wetu waliopo Wizarani maana Mipango yao inabadilika badilika katika vipindi vifupi sana.
Napatwa na wasiwasi wamesoma wapi au ni Wale wenye vyeti bila ujuzi na maarifa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums