Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

nyie bishaneni turn Mimi tar 30,nachukua 510000 wakati dip unachukua 370000,Lakini pia walimu wa diploma hawako na ujasri huburuzwa name wakuu wehuuuuu.
 
nyie bishaneni turn Mimi tar 30,nachukua 510000 wakati dip unachukua 370000,Lakini pia walimu wa diploma hawako na ujasri huburuzwa name wakuu wehuuuuu.

the difference its juct hundred thousand, and soon with in a year or two the loan board will be deducting more thn 50 thousand per year,,
 
Hata ungekuwa profesa kutoka Havard University ukienda kufundisha level isio ya kwako mfano kwenye shule ya msingi tegemea kuonekana less competent than mwalimu alieandaliwa kufundisha level hiyo, i.e. mwalimu daraja la IIIA atafundisha vizuri zaidi primary kuliko mwalimu mwenye masters, kama wote wawili wamepewa say darasa la tatu.

Bear in mind, mwalimu wa diploma ki kanuni yampasa kufundisha kidato cha 1 na 2, na degree cha 3 na 4
 
hivi ndivyo mtakavyoenda kujibizana maofisini! Kuwa na adabu kijana mwl wa degree ni sawa na mkufunzi aliyekupatia hiyo diploma!

Mimi nimesoma diploma na baadae nikaenda degree so usilete dharau degree wanamaarifa kukuzidi! Najua unaweza ukabeza ila tutakutana kazini. Walimu wa diploma hata kuandaa examination blueprint ni mgogoro yaani mtoto wa kidato cha kwanza unampa maswali asilimia sabini ya thesis na application!! Halafu akifeli unamchapa, halafu unajiita teacher by professional!

Diploma kusimamia nidhamu ya mavazi nawapa asilia zote maana walimu wa degree hivyo si vipaumbele vyao!

All in all tutakutana nyanjani tutajua nani ni nani!

Hapo unaongopa mkuu, kumbuka kuna kitu chaitwa ,reserch, mesurement and Evaluation, ktk diploma!. Kuna vitu kama Test construction, na vitu kibao, mmh test reliability and test validity!. Ko jenga hoja nyingine, pia mambo haya yapo ktk Curriculum an Teachng, na pia katika pedagogy ya kila teaching subject,,
 
degree kuna : classroom learning and pedagogy of teachers edn,edn media&technlgy,methodsof teaching (any of ur subject )

diploma kuna proffessional subject 8, na teaching subject 2.,
1: Education Media and Technology (EMT)
2: Information and computer technology (ICT)
3:Reserch evaluation and mesurement (REM)
4:Curriculum teachng ( CT)
5:Foundation of education(FED)
6: Pschology Guidance and counsellin(PGC)
7:Communication skills(CS)
8:development studies(DS),, Kama kuna jipya kwa BAED mtujuze kwa hoja.....
 
Hebu kukata mzizi wa fitina mwenye jiwe mmoja atufafanulie mbinu hizi za ufundixhaj
1:Gigsaw
2:KWK
mbili tu
 
Watu wa degree walichomzidi mwalimu wa diploma ni awareness sababu dip mnafundishwa nidhamu ya uoga na ndo maana wengi wenu ni waoga kama kunguru hata kwenye haki zenu za msingi kabisa. Ukiachilia mbali hilo kwenye competence hakuna tofauti yoyote ile..
 
Tofauti ni kwamba mwenye digree ana mshara mkubwa na ana qualifications za kusoma masterz ila mwenye diploma mshahara wake ni mdogo na ili apate dgree ni lazima asote kwa 3yrz ili apate BAED. Lingine ni respect mwenye dgree anaruhusiwa hata kugombea urais ila mwenye diploma hana xifa za kugombea urais.
 
Acheni kujifariji hapa, nyie mnaoenda diploma/certificate mna uwezo mdogo ndo maana mnapikwa zaidi ila huyu wa degree anauwezo mkubwa wa kuelewa na kujifunza ndo maana hatutumii nguvu nyingi kumuandaaa
Ukiwalaza wenu ndo unawatesa ila sio mbaya mkiendelea kujifariji
 
kwel wasomi now days ndo mnaonekana mambulula kweli daah nimepitia text zote hapo naona bora nimtafute mtoto wa primary nipge nae stor tu coz huku n matapishi matupu. andaaeni njia za ku make money cyo kujitambia ufala.
 
hivi ndivyo mtakavyoenda kujibizana maofisini! Kuwa na adabu kijana mwl wa degree ni sawa na mkufunzi aliyekupatia hiyo diploma!

Mimi nimesoma diploma na baadae nikaenda degree so usilete dharau degree wanamaarifa kukuzidi! Najua unaweza ukabeza ila tutakutana kazini. Walimu wa diploma hata kuandaa examination blueprint ni mgogoro yaani mtoto wa kidato cha kwanza unampa maswali asilimia sabini ya thesis na application!! Halafu akifeli unamchapa, halafu unajiita teacher by professional!

Diploma kusimamia nidhamu ya mavazi nawapa asilia zote maana walimu wa degree hivyo si vipaumbele vyao!

All in all tutakutana nyanjani tutajua nani ni nani!

Walimu hamna umoja jaribuni kujifunza hata kwa madereva wa magari wakiamua kitu hata Serikali inapiga magoti.

Mmebakia kujisifu visomo vyenu wakati haviwasaidii chochote, mnanyonywa na Serikali kiasi wanachotaka wenyewe mkitaka kugoma mnapigwa zuio la Mahakama pamoja na kufuata taratibu zote za migomo kiwapi kisomo chenu. Hata madereva wasiokuwa na hiyo Diploma unayoidharau juzi wameonesha mfano wa mshikamano na wameshinda.

Ukimdharau mwenzio wa Diploma kwa kuwa una Degree tena ya Ualimu huo huo nini kinafuata kama sio na wewe kudharauliwa na Degree za Fani nyingine. Unadhani kamshahara ka mwalimu wa Degree kanafanana na Degree ya Mchumi, Muhandisi, Madini na Miamba, Uhasibu, Procurement, Urubani, IT nk. Hapo sijaongelea posho za ndani ya mwezi, safari, warsha/semina na sio kimshahara cha mwalimu mwezi mpaka mwezi au la uwe na tuisheni ambayo nayo serikali ilishavipiga marufuku. Walimu badilikeni mnatia aibu, kuweni wamoja mpate haki yenu.
 
siku diploma mkirudishwa primary ndo mtajua kusoma ni muhimu

Kama unadhani kufundisha Primary ni adhabu au kuwa na elimu ndogo basi fikiri upya. Mimi mdogo wangu kwa maana ya mtoto wa Baba mdogo anafundisha shule ya msingi. Alianzia na cheti akajiendeleza UDSM mpaka level ya Shahada. Anakula pesa ya shahada huku akifundisha Primary anasema ataacha akimaliza Uzamili wa BA.

Nilichotaka kusema ni kwamba jaribu kutembelea Primary walimu wa Shahada wapo ila kwa Malengo. Huyo unayemsubiria aje ofcn ili umtawale kama mmoja alivyosema hapo juu anaweza kujikuta yeye ndiye anampigia saluti siku moja somewhere else apart from Teaching field.

Walimu Badilikeni msikanyagane maana mtazidi kukanyagwa...
 
Watu wa degree walichomzidi mwalimu wa diploma ni awareness sababu dip mnafundishwa nidhamu ya uoga na ndo maana wengi wenu ni waoga kama kunguru hata kwenye haki zenu za msingi kabisa. Ukiachilia mbali hilo kwenye competence hakuna tofauti yoyote ile..

Hili ni kweli mkuu, hii hutokana na maisha ya vyuo vya ualimu mavazi, lugha na panctuality ni extra curriculum zinazozingatiwa ndo maana wengi the can work properly hata kama sio under pressure
 
kwel wasomi now days ndo mnaonekana mambulula kweli daah nimepitia text zote hapo naona bora nimtafute mtoto wa primary nipge nae stor tu coz huku n matapishi matupu. andaaeni njia za ku make money cyo kujitambia ufala.

duuh Mike na wewe kumbe upo huku?.
 
Hapo unaongopa mkuu, kumbuka kuna kitu chaitwa ,reserch, mesurement and Evaluation, ktk diploma!. Kuna vitu kama Test construction, na vitu kibao, mmh test reliability and test validity!. Ko jenga hoja nyingine, pia mambo haya yapo ktk Curriculum an Teachng, na pia katika pedagogy ya kila teaching subject,,

unachekesha sn, tatizo mnasolve sn past paper za nacte ndo maana application ya mlichokisoma mnakuwa poor! Mimi nimesoma diploma shycom tc so naongea ninachokijua! Ni kweli diplm mnasoma kila somo content na methodology lkn when we come to application sioni maujanja yenu!

Mnaongoza kwa kutunza portifolio lkn mnafanya hivyo ili kupata marks za mwisho lkn unajikuta hakuna unachokijua! Hata modality ya presentation zenu hazina changamoto yyt!!

Nimezungumzua mitihani coz nimepitia mitihani iliyoandaliwa na walimu wa diplm yaan unashindwa kujua huyu mwalimu alikuwa anapima nini!! Yaan hata ukitaka kucompute discrimination index unakuta inakupa negative hii ni ishara tosha kuwa mtihani hauko standard.

Tunajua mmeyasoma mengi ila tunataka tuone yakitendeka! Umesoma reliability and validity of test halafu test zako zinakosa reliability and validity halafu unaleta hadithi hapa sijui measurement and evaluation kitu ambacho hata a form six student anaweza akaongea!

Tutakutana nyanjani ndo utajua tofauti ya degree na diploma!
 
Walimu hamna umoja jaribuni kujifunza hata kwa madereva wa magari wakiamua kitu hata Serikali inapiga magoti.

Mmebakia kujisifu visomo vyenu wakati haviwasaidii chochote, mnanyonywa na Serikali kiasi wanachotaka wenyewe mkitaka kugoma mnapigwa zuio la Mahakama pamoja na kufuata taratibu zote za migomo kiwapi kisomo chenu. Hata madereva wasiokuwa na hiyo Diploma unayoidharau juzi wameonesha mfano wa mshikamano na wameshinda.

Ukimdharau mwenzio wa Diploma kwa kuwa una Degree tena ya Ualimu huo huo nini kinafuata kama sio na wewe kudharauliwa na Degree za Fani nyingine. Unadhani kamshahara ka mwalimu wa Degree kanafanana na Degree ya Mchumi, Muhandisi, Madini na Miamba, Uhasibu, Procurement, Urubani, IT nk. Hapo sijaongelea posho za ndani ya mwezi, safari, warsha/semina na sio kimshahara cha mwalimu mwezi mpaka mwezi au la uwe na tuisheni ambayo nayo serikali ilishavipiga marufuku. Walimu badilikeni mnatia aibu, kuweni wamoja mpate haki yenu.

umeongea maongea maneno mazito sn mkuu nimekuelewa! Niliwahi kuwaambia walimu wenzangu kuwa mchawi wa walimu ni mwalimu mwenyewe kutokana na kudharauliana!!

Kuna siku kwenye mkutano wa CWT walimu wa sekondari walikuwa wakiwalaumu walimu wa primary kuwa ndo wanaowaangusha kutokana na elimu yo ndogo na wakashauri kuwe na vyama viwili yaani cha sekondari na primary!

Niliwaambia leo mnawaona primary wanaelimu ndogo na mnataka kuwatenga lkn tukumbuke hata sekondary hatulingani visomo ipo cku tutatengana na hapo tusahau kuhusu ushindi.

Walimu tuungane, nimewahi kwenda shule moja nikakuta kuna staff room mbili yaan moja ya walimu wa diploma na nyingine inadegree holder! Tunakwenda wapi walimu!!!
 
Back
Top Bottom