Kweli kuna haja sekta ya elimu ikawekewa vyeo kama jeshini na vikawa na sare kwa kila mwalimu wa daraja husika ili tuheshimiane na kupigiana saluti. Mwalimu mwenye elimu ya cheti avae kaptula jeusi na shati jeupe lenye alama Grade "A" T mabegani, mwenye diploma avae suruali jeusi shati jeupe lenye mikono mirefu na liandikwe Diploma holder Teacher (DHT), wenye degree wavae suruali za kijivu na mashati ya pinki mikono mirefu yaandikwe began Degree Holder Teacher(DEHT), wahadhiri wavae nguo zozote ila ziwe na alama mabegani ikionesha elimu na cheo chake mfano: dr. John dean of coed, prof juma principal coed etc. Hapo tuta eshimiana kama wanafunzi wa sekondari wanavyo vaa suruali wakati wa msingi wakivaa makaptula. Pia mbona manesi wana uniform zinazo alamisha vyeo why not for teachers?