shenaizer
Member
- Feb 16, 2017
- 47
- 51
unajua mtu anapoamua kuchepuka wengi huwa wana sababu zao ila kuna wengine ni asili yao yani hawezi kutulia na mke mmoja na hii ni tabia ambayo ameizoea tangu ujana wake na hashituki kama umri umeenda ni muda sasa wa kutulia na kutunza familia yaani yeye siku zote anajiona ni kijana bado, wakati umri umeenda hili ni tatizo la kutokujitambua na anaweza kuzeeka nalo!! labda akipata ukimwi ndio atastuka na kuamua kutulia kitu ambacho ni too late!!!!!!!
wengine huamua kuchepuka kwa sababu hawaridhishwi kimapenzi na wenzi wao ikumbukwe kuwa mwanaume/mwanamke anapochepuka huko nje haendi kufata chakula wala kufuliwa nguo! anafata kupetiwa na kuridhishwa kimapenzi tu kitu ambacho anakikosa kwa mume au mke wake, unaweza kuwa na mke mzuri au mume mzuri tu ila kitandani mambo hayaendi sawa sawa na wengine hawawezi kuwaambia wenza wao wanaona kimbilio ni kutoka nje ya ndoa tu,
ushauri: tuwasome wenza wetu tujue wanapenda nini na nini hawapendi na tubadilike!
wengine huamua kuchepuka kwa sababu hawaridhishwi kimapenzi na wenzi wao ikumbukwe kuwa mwanaume/mwanamke anapochepuka huko nje haendi kufata chakula wala kufuliwa nguo! anafata kupetiwa na kuridhishwa kimapenzi tu kitu ambacho anakikosa kwa mume au mke wake, unaweza kuwa na mke mzuri au mume mzuri tu ila kitandani mambo hayaendi sawa sawa na wengine hawawezi kuwaambia wenza wao wanaona kimbilio ni kutoka nje ya ndoa tu,
ushauri: tuwasome wenza wetu tujue wanapenda nini na nini hawapendi na tubadilike!
