Kula mboga ya aina moja kila siku inachosha, ndio maana tunabadilisha!
Hii ni kwa me na ke ndugu kukaa na kitu moja inaboa na kuchosha.
Kula mboga ya aina moja kila siku inachosha, ndio maana tunabadilisha!
Siku nkikuachia usije itisha kikao na waandishi. lolUsiku niteke uniweke inbox tufanye yetu.
Mkuu nani kakwambia mwanamke aliyeolewa hachepuki!?? Nani?Ukitrace back wazungu walipotukana kwamba poligami aka kuwa na wanawake wengi ni uhuni ndipo waafrika wenye roho nyepesi wakapokea mafunzo ya dini wakabadilika na kuamini kuwa kuwa na wanawake wengi no dhambi.
Lakini so kweli kwa afrika hili jambo ni la kihistoria, la kitamaduni. Kana unabisha muulize bibi yako alikuwa mke wa ngapi kwa babu yako au muulize babu yako alikua au ana wake wa ngapi na kwa nini. Na kwa afrika iliwezekana kwa sababu wanawake walikua wengi kuliko wanaume na utamaduni huu uliwasaidia sana wanawake wote waliolewa tena kwa kutolewa mahali.
Wazungu wakaleta propaganda za mke mmoja ili kutimiza malengo za kumdharau mwafrika na kupunguza tegemezi, kupunguza birth rate in africa wakaleta na uzazi wa mpango apo apo na matokeo yake wanaume wa kiafrika wamewaacha wanawake wao wakizunguka mtaani bila wanaume hawawatunzi tena kama zamani hawaoi tena wanawake wanne sasa kwa nini wasiwe malaya au michepuko ya watu huko mtaani nani atawatia kama si nyie wenyewe mnaokataa kuwaoa ndo mwanzo wa michepuko
Hahahah kwanza nitakuua kisaikolojia kabla hujaniacha, nategemea tutakuwa wapenzi wa aina yake toka JF ianzeSiku nkikuachia usije itisha kikao na waandishi. lol
Uprofesa wa lipumba au jkTunafanana mimi nnajua kutunza siri kwa kiwango cha uprofesa
Tatizo saikolojia zingine zilishakufaga zamani..Hahahah kwanza nitakuua kisaikolojia kabla hujaniacha, nategemea tutakuwa wapenzi wa aina yake toka JF ianze
Hahahaa staki kutekwa mie.Uprofesa wa lipumba au jk
Sawa tutoke kwenye kuku wengi tuzame ndani wenyewe.Tatizo saikolojia zingine zilishakufaga zamani..
Kwani watekaji wanafika hata huku kwetu Mbagala Maji matitu ?Hahahaa staki kutekwa mie.
Wewe wake 4 nani anawaweza au unaongea tu? Mke 1 tu mtu hamlizishi kuchomekea tu mkanda nje kumbe kazi yenyewe bila bila gori moja tu chali wiki inapita hao wake wengi utawapa nini au marafiki na jirani wakusaidie acheni hizo! Tumalize haja za wake zetu kwanzaUkitrace back wazungu walipotukana kwamba poligami aka kuwa na wanawake wengi ni uhuni ndipo waafrika wenye roho nyepesi wakapokea mafunzo ya dini wakabadilika na kuamini kuwa kuwa na wanawake wengi no dhambi.
Lakini so kweli kwa afrika hili jambo ni la kihistoria, la kitamaduni. Kana unabisha muulize bibi yako alikuwa mke wa ngapi kwa babu yako au muulize babu yako alikua au ana wake wa ngapi na kwa nini. Na kwa afrika iliwezekana kwa sababu wanawake walikua wengi kuliko wanaume na utamaduni huu uliwasaidia sana wanawake wote waliolewa tena kwa kutolewa mahali.
Wazungu wakaleta propaganda za mke mmoja ili kutimiza malengo za kumdharau mwafrika na kupunguza tegemezi, kupunguza birth rate in africa wakaleta na uzazi wa mpango apo apo na matokeo yake wanaume wa kiafrika wamewaacha wanawake wao wakizunguka mtaani bila wanaume hawawatunzi tena kama zamani hawaoi tena wanawake wanne sasa kwa nini wasiwe malaya au michepuko ya watu huko mtaani nani atawatia kama si nyie wenyewe mnaokataa kuwaoa ndo mwanzo wa michepuko

Wameenea nchi nzimaKwani watekaji wanafika hata huku kwetu Mbagala Maji matitu ?
Tumuombe mungu awasaidie wanaume waacha tabia hiyo ingawa ni ngumu kuacha
Umeona eee kwa mke analinga kisa kapoza kwa mchepuko siku mke akionja huko nje ndiyo mtu ana anza wanawake hawaaminiki wala hawapendeki hata umpe nini kwani alivyotoka kwao alifuata nini kwako? kumbe chanzo ni wewe mwenyewe upendo ulihamishia nje ukasahau kwa mkeo, na ukichunguza sababu nyingi za wake kuchepuka waume hawa wajibiki au wana michepuko huko wanasahau wake zao.Mi niliwahi kuambiwa kwamba wanaume tunakosea kitu kimoja.Kwamba ukichepuka unataka uache alama na kumbukumbu,mechi ya uhakika kwa sababu la wizi.Na ukifika kwako unalinga kisa umeitolea mahari.Sasa nikaambiwa kwamba kila mwanamke anamtaka huyo anayemkanyaga kisawasawa na kumkata kiu.Sasa fanyia hili kazi.Home mpe mambo hata wiki iishe hana hamu na dushe,lakini akinogewa nae huko nje,utajuta.Sasa ndo ujiulize,una ubavu wa kuhudumia sehemu tofauti tofauti kwa kiwango hicho? Baki njia kuu,michepuko siyo dili.
Juzi usiku nimeota member mmoja wa jf yupo kwenye kikundi cha utekaji.Wameenea nchi nzima
Aisee...kwelikweliHii ni kwa me na ke ndugu kukaa na kitu moja inaboa na kuchosha.
Umeona eee kwa mke analinga kisa kapoza kwa mchepuko siku mke akionja huko nje ndiyo mtu ana anza wanawake hawaaminiki wala hawapendeki hata umpe nini kwani alivyotoka kwao alifuata nini kwako? kumbe chanzo ni wewe mwenyewe upendo ulihamishia nje ukasahau kwa mkeo, na ukichunguza sababu nyingi za wake kuchepuka waume hawa wajibiki au wana michepuko huko wanasahau wake zao.