Tuulizane maswali kuhusu kuchepuka!

Tuulizane maswali kuhusu kuchepuka!

Nawakumbusha tu...Kuchepuka=men+WOMEN,Nyie mnajitoa katika hili Mungu anawaona!
 
Kumzuia mwanaume asichepuke inahitaji mafunzo maalumu kutoka CIA ila kwa akili za kinyambo ni ngumu sana.

Mwanaume anaweza kula rafiki yako na usijue hadi akitaka ujue, Wanaume tumeumbwa kuchepuka naombeni mtuvumilie tafadhali.
 
Baadhi ya wanaume hua siwaelewi kabisa,ivi una mkeo mzuri mlezi wa watoto wako anakupenda,mara unakwenda ku cheat na mwanamke mpaka mke akijua anajiuliza nini sababu au nini kimekuvutia...
Ndio maana unashauriwa ukichepuka hakikisha chepuko lako hata wife akiliona anpiga salute.
 
Kumzuia mwanaume asichepuke inahitaji mafunzo maalumu kutoka CIA ila kwa akili za kinyambo ni ngumu sana.

Mwanaume anaweza kula rafiki yako na usijue hadi akitaka ujue, Wanaume tumeumbwa kuchepuka naombeni mtuvumilie tafadhali.
Teh teh teh eti akili za kinyambo
 
Ila kwanini kuchepuka kwa wananwake iko very sensitive kuliko wananume maana yake ukimfumania mwanamke kumsamehe ni ngumu kuliko mwanamme akifumaniwa anasamehewa
 
mke wangu ni mzuri sana hata nikifa leo nikifufuka nitamchagua tena yeye kuwa mke wangu nampenda sana, hivi karibuni nilichepuka na dada mmoja wa ofisini kwetu, ilikua siku ya jumamosi ilipofika jumanne tumbo lilianza kumuuma ghafla mke wangu aliyekuwa ni mjamzito wa miezi sita lilipozidi tukaenda hospital na bahati mbaya ile mimba ikawa imeharibika wakampa madawa akajifungua kitoto cha kike kikiwa kimekufa, hadi leo nawaza labda ni ule mchepuko ndo ulitia gundu, juzi umenipigia kuulizia gemu nyingine nasikia moyo mzito sana!
 
Kumzuia mwanaume asichepuke inahitaji mafunzo maalumu kutoka CIA ila kwa akili za kinyambo ni ngumu sana.

Mwanaume anaweza kula rafiki yako na usijue hadi akitaka ujue, Wanaume tumeumbwa kuchepuka naombeni mtuvumilie tafadhali.
Hahaha Rafaeliii hivi hujui kuwa mkeo /girlfriend wako anaweza kuchepuka na marafiki zako wote?
 
Back
Top Bottom