Mugunga
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 640
- 911
Kukaa na mke mmoja kama mama ni kosa na huyatendei Haki maumbile yako. Kibiologia kazi ya mwanaume ni kupandikiza Mbegu kwa mwanamke, ndiyo maana mda wote Mbegu za mwanaume zipo tayari kuoteshwa kwa mwanamke. Anaye miliki hati ya ndoa ni mwanamke siyo mwanaume. Mwanaume msiogope kuwahudumia wanawake.
