Tuulizane maswali kuhusu kuchepuka!

Tuulizane maswali kuhusu kuchepuka!

Hahaha Rafaeliii hivi hujui kuwa mkeo /girlfriend wako anaweza kuchepuka na marafiki zako wote?
Huwa nikiona mwanamke ana uelekeowa kuwa na dharau huwa najipangaa mapema yaani kabla hajanipindua kwa ujinga wake huwa nimekwisha hifadhi ujinga wangu namsubiri akurupuke.

Kuna mmoja nilikuwa nae kimapenzi akaanza dharau na majivuno hataki kunipa papuchi nilibembeleza sana ila nikaona huo ni upuuzi (wakati huo nimeshafanya ujinga) nilipoona amekuwa sugu nilimpelekea picha ya mwanangu na kumwambia huyo ni mwanangu nilimpata nikiwa masomoni toka siku hiyo alikuwa kama sisimizi.

Siwezi kuacha msichana kabla sijamuua kisaikolojia lazima nimuue kisaikolojia kwanza ndipo nimwache.
 
Ila kwanini kuchepuka kwa wananwake iko very sensitive kuliko wananume maana yake ukimfumania mwanamke kumsamehe ni ngumu kuliko mwanamme akifumaniwa anasamehewa
Mimi ni mmoja wapo,nimeshawaacha watatu kwa Kwa kuniletea hizo sinema! Huwa sina msamaha aisee kwani bei gani bwana. Yaani midudu mitatu ndani ya shimo moja huo moyo sina ntawaacha sana.
 
Huwa nikiona mwanamke ana uelekeowa kuwa na dharau huwa najipangaa mapema yaani kabla hajanipindua kwa ujinga wake huwa nimekwisha hifadhi ujinga wangu namsubiri akurupuke.

Kuna mmoja nilikuwa nae kimapenzi akaanza dharau na majivuno hataki kunipa papuchi nilibembeleza sana ila nikaona huo ni upuuzi (wakati huo nimeshafanya ujinga) nilipoona amekuwa sugu nilimpelekea picha ya mwanangu na kumwambia huyo ni mwanangu nilimpata nikiwa masomoni toka siku hiyo alikuwa kama sisimizi.

Siwezi kuacha msichana kabla sijamuua kisaikolojia lazima nimuue kisaikolojia kwanza ndipo nimwache.
Kuna aina ya huyo. Ambao huwa wana matendo yanayoashiria kuchepuka lkn wapo ambao hutakaa ujue hapa duniani kama ni mchepukaji. Ila tujue tu kuwa kuchepuka ni kwa wotee men + women.
 
Mimi ni mmoja wapo,nimeshawaacha watatu kwa Kwa kuniletea hizo sinema! Huwa sina msamaha aisee kwani bei gani bwana. Yaani midudu mitatu ndani ya shimo moja huo moyo sina ntawaacha sana.
Sasa wewe ndo una ushuhuda mzuri kuwa wanawake nao huchepuka haijalishi unamtimizia mahitaji na kumgegeda kwa 100%. So kuchepuka sio eti kwa sababu ya mapungufu ya mwenza Bali ni kutaka 'kuonja ' na vingine
 
Ukitrace back wazungu walipotukana kwamba poligami aka kuwa na wanawake wengi ni uhuni ndipo waafrika wenye roho nyepesi wakapokea mafunzo ya dini wakabadilika na kuamini kuwa kuwa na wanawake wengi no dhambi.
Lakini so kweli kwa afrika hili jambo ni la kihistoria, la kitamaduni. Kana unabisha muulize bibi yako alikuwa mke wa ngapi kwa babu yako au muulize babu yako alikua au ana wake wa ngapi na kwa nini. Na kwa afrika iliwezekana kwa sababu wanawake walikua wengi kuliko wanaume na utamaduni huu uliwasaidia sana wanawake wote waliolewa tena kwa kutolewa mahali.
Wazungu wakaleta propaganda za mke mmoja ili kutimiza malengo za kumdharau mwafrika na kupunguza tegemezi, kupunguza birth rate in africa wakaleta na uzazi wa mpango apo apo na matokeo yake wanaume wa kiafrika wamewaacha wanawake wao wakizunguka mtaani bila wanaume hawawatunzi tena kama zamani hawaoi tena wanawake wanne sasa kwa nini wasiwe malaya au michepuko ya watu huko mtaani nani atawatia kama si nyie wenyewe mnaokataa kuwaoa ndo mwanzo wa michepuko
 
Back
Top Bottom