Tutambue idadi ya makamanda humu JF

Tutambue idadi ya makamanda humu JF

sasa kimekuleta nini huku kama sio umbeya,kwa nini mnakuwa wagumu wa kuelewa? Hapa wanahitajika makamanda,basi ungetype poweer hata kinafiki basi sio kutuletea DP sijui ndio kitu gani,chama hakina hata mbunge mmoja na wewe unajiita mwanachama? Aacheni kujiaibisha

Acha kutapika wewe! kadi yako ni no ngapi? ondoa uchuro!
 
sasa kimekuleta nini huku kama sio umbeya,kwa nini mnakuwa wagumu wa kuelewa? Hapa wanahitajika makamanda,basi ungetype poweer hata kinafiki basi sio kutuletea DP sijui ndio kitu gani,chama hakina hata mbunge mmoja na wewe unajiita mwanachama? Aacheni kujiaibisha

tazama watu wanaojua siasa! wako kunako wanakula mvinyo! mpita njia unatokwa povu mdomoni,shame on you!
upinzani_katiba.jpg
 
Kweli chadema mna Power maana kumnyang'anya mtu mke wake inahitaji nguvu za ziada.
 
sijui umeelewa? Au ni up.umbavu na unafiki tu unakufanya uandike haya?

We ndo hujanielewa,na ingekuwa busara kama ungeniuliza namaanisha nini kuliko kunitukana,hv na mimi nikijibu hilo tusi lako unahisi ningetukanaje,chunga sn kijana,usidhani jf ni jamvi la wavuta bangi km wewe
 
poweeeeer kamanda. Hadi kieleweke.
 
Kama watu ni wafamilia moja,taasisi moja na itikadi zinazofanana,zipo njia za kutambuana.Moja,kwa njia ya mavazi,pili kwa njia ya mazungumzo yaani lafudhi nk.Lakini kwa humu ndani,hatuwezi kutambuana kwa mavazi wala mazungumzo,kwa hiyo naomba makamanda titambuane humu JF.Kama wewe ni kamanda na unaikubali CHADEMA...naanza na kauli mbiu yetu"peoplesssss" comment by typing Poweeeer! Lumumba Fc a.k.a Magamba hawana nafasi,watawachafua makamanda hatutaki kuchanganyikana na machizi ya Lumumba.Hayo tu makamanda



Poooooooooower.
 
Jf inspendwa na wengi wapenda msendeleo i.e wazalendo. Kwa misingi hii makamanda wengi watakuwepo.
 
Hivi wanachama wa CDM nao makamanda? Kwa kozi gani za kijeshi walizopitia?
 
Back
Top Bottom