matimbanyula
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 268
- 120
hakiiiiiiiiii sawa kwa wote.
kwa hiyo umeletwa nini huku?
Kamanda! JF siyo mali ya Chadema.Kama watu ni wafamilia moja,taasisi moja na itikadi zinazofanana,zipo njia za kutambuana.Moja,kwa njia ya mavazi,pili kwa njia ya mazungumzo yaani lafudhi nk.Lakini kwa humu ndani,hatuwezi kutambuana kwa mavazi wala mazungumzo,kwa hiyo naomba makamanda titambuane humu JF.Kama wewe ni kamanda na unaikubali CHADEMA...naanza na kauli mbiu yetu"peoplesssss" comment by typing Poweeeer! Lumumba Fc a.k.a Magamba hawana nafasi,watawachafua makamanda hatutaki kuchanganyikana na machizi ya Lumumba.Hayo tu makamanda
Kamanda! JF siyo mali ya Chadema.
kwa hiyo umeletwa nini huku?
kuangaza chama changu cha kutafuta HELA....
Kamanda! JF siyo mali ya Chadema.
Shemeji taratibu basi.
Japo kichama tuko itikadi tofauti, ila kamanda mwenzangu hajasema Jf ni mali ya Chadema...
Mi ni mmoja wao,mwenye tindikali aje aone ntakachomfanya!
kidumu chama tawala,zidumu fikra sahii za mwenyekitiKama watu ni wafamilia moja,taasisi moja na itikadi zinazofanana,zipo njia za kutambuana.Moja,kwa njia ya mavazi,pili kwa njia ya mazungumzo yaani lafudhi nk.Lakini kwa humu ndani,hatuwezi kutambuana kwa mavazi wala mazungumzo,kwa hiyo naomba makamanda titambuane humu JF.Kama wewe ni kamanda na unaikubali CHADEMA...naanza na kauli mbiu yetu"peoplesssss" comment by typing Poweeeer! Lumumba Fc a.k.a Magamba hawana nafasi,watawachafua makamanda hatutaki kuchanganyikana na machizi ya Lumumba.Hayo tu makamanda
Bora umenisaidia,ccm ina vijana vichaa,huwa hawaelewi thread inasema nini,utashangaa lingine litakuja kutaja Dr.Slaa wewe subiri tu utaona.
Hahaha!
Tunawaweka matumbo joto.